Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Kama ulimsikiliza alisemaje juu ya upinzani? Angalia hata Gazeti la Mwanachi la leo 31/013/2021 ukurasa wa kwanza. Au huwa hujui namna ya kumsikiliza msemaji. Usiwe unachati wakati unasikiliza hotuba muhimu.
sawa, ndo mana nikasema kama ameiongelea upinzani kwenye namna tofauti (mbaya) hapo alikosea lakini kwenye maelezo haliyoyatoa. yalikuwa ni kushilikiana na Mh. Raisi katika kusimamia na kuliendeleza taifa..

Usitembee na tafsili zako mzee.
 
Katiba yetu hairuhusu mtu anayependekezwa kuwa Makamu wa Rais kusema priorities atakazozisimamia ni zipi?

Unaelewa ile ilikuwa ni interview kabla ya kupewa kazi?

Unataka mtu apewe kazi bila kufanyiwa interview?

Yani kama Dr. Mpango anataka kuua watu, unataka asipewe nafasi ya kusema ataua watu ili wabunge wajue huyu hafai na kumkataa?
 
MKuu katiba aitaki hivyo lakiini ujue?
huy ni wa kutumwa na kumnyenyekea Raisi wake tu.
Katiba imesema mtu anayeteuliwa kuwa Makamu wa Rais atafanyiwa confirmation na bunge.

Sasa wewe unafikiri confirmation inafanywa vipi?

Anawekwa mbele anaangaliwa sura kama ana tabasamu zuri au baya?

Confirmation maana yake anapewa job interview, yani hata kama akisema "Mimi mkinipa u Mkamu wa Rais, siku ya kwanza naenda kumuwekea sumu kwenye chai rais, afe, ili mimi niwe rais mara moja" ni sawa.

Kwa kusema hivyo ndivyo wabunge watajua anataka kufanya nini na kupata uwezo mzuri wa kumkubali au kumkataa.

Unataka kwenye confirmation process afiche anachoona ni priority?
 
Kazi yake ni kumsaidia na pengine kumshauri tu Rais basi, Rais anaweza kuamua kuwateua wapinzani kwenye serikali yeye atafanya nini na keshasema wapinzani ni wabaya?
 
Kazi yake ni kumsaidia na pengine kumshauri tu Rais basi, Rais anaweza kuamua kuwateua wapinzani kwenye serikali yeye atafanya nini na keshasema wapinzani ni wabaya?
Sijakuuliza kazi yake ni nini.

Nimekuuliza katiba yetu imekataza mtu anayependekezwa kuwa Makamu wa Rais kueleza priorities zake ni zipi?

Unaelewa kwamba yule aliyesimama bungeni alikuwa Waziri wa Fedha bado alikuwa hajawa Makamu wa Rais kwa kuwa hakuwa confirmed na Bunge wala kuapishwa?

Wapi Katiba imesema mtu anayekuwa confirmed kuwa Makamu wa Rais asieleze priorities zake ni zipi?

Weka hicho kifungu cha katiba hapa tukijadili.
 
Unapopewa Kazi lazima ujue vision, mission, values na objectives za mwajiri wako kwanza kabla ya kusema priorities zako, priories za mwajiri ndiyo priorities zako vinginevyo labda uache Kazi.
 
Unapopewa Kazi lazima ujue vision, mission, values na objectives za mwajiri wako kwanza kabla ya kusema priorities zako, priories za mwajiri ndiyo priorities zako vinginevyo labda uache Kazi.
Sasa hao wabunge wanaopiga kura za kumkubali au kumkataa Mpango wangejuaje kama anajua vision ya muajiri wake bila yeye kujieleza?

Kuna priority gani aliyoisema Dr. Mpango ambayo ni tofauti na priority ya Rais na ilani ya CCM?
 
Mipango yupo wapi?
Naombeni namba yake ya watsup.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…