Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Vipi Bwashee! Umeridhika na uteuzi lakini? Maana isije ikawa ulishanunua madumu ya ulanzi kitoka Tanangozi na Ifunda,na kudhani Makamu wa Rais atakuwa ni Mwanamke, tena wa kutokea hapo kwenu Iringa Mjini (Jesca Msambatavangu) Bwashee!!
Alitaka Rose Migiro sijui ndiyo hivyo
 
Hata mim naiona dira.mi ni magufulian..so naiona mitazamo ya magu kwa mama huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…