Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss wake alishasema kuwa naye ataendeleza zote yale mwendazake alipania kuendeleza!! Mpango hakusema kitu tofauti na Rais aliyoisha yasema; acheni fitina!!Nilidhani yeye anakwenda kufanya yale atakayoagizwa na Rais kuyafanya, je ilikuwa sawa kuahidi yale aliyoyaahidi kufanya kabla ya kujua muelekeo wa boss wake?
Umemsikia VP Mpango? Au ulitaka awe Freeman?Hakuna chumia tumbo kuliko maccm
Acha afagie uchafu uliokithiri Kwanza ukiisha atazungumza mazur ya TzKama ilivyokuwa 2015 kwa JPM ,sasa hivi tena Chadema wako bize kumsifia, kumfundisha na kumpa maelekezo mbalimbali Rais Samia bila kujua kuwa huyo ni rais anayetokana na ccm na anatekeleza ilani ya ccm.
Godbless Lema ,Tundu Lisu hawazungumzii kabisa maendeleo ya chadema wao ni bize kumpangia cha kufanya rais Samia. !
Tundu Lisu ni kaimu mwenyekiti wa chadema lakini hutakaa usikie akiiongelea wala kuitangaza chadema popote. Kwani haoni kaimu mwenyekiti wa ccm Philip Mangula anavyokinadi chama chake?
Tundu Lisu ni mtanzania lakini hutakaa usikie popote akizungumzia mazuri ya nchi yake ,yeye ni kuchafua tu nchi yake.
Naona unamshobokea sana Mbowe ,badala umshobokee mwenyekiti wenuUmemsikia VP Mpango? Au ulitaka awe Freeman?
Pale huwezi kusema kuwa alidanganywa,no ilikuwa planned kabisana nakumbuka atcl walitoa gawio.takriban kama 28b.
my question ile ilikuwa hoax.
campain? ama smoke screen kufurahisha legacy yake?
kwa maana yoyote ile alidanganya, evn though naamini ukweli aliujua.
Kuna mchezo sio wa bahati mbaya ila swala la kila wakati watu sifia marehemu Kama vile mpaka muda huu hatuna serikali mpya, sio mzuri naweza sema Kuna agenda ya kikundi flani na haya yanatoka karne hii, hivi mbona kipindi kile Mwl. Nyerere ameacha kiti mrithi wake, au Mkapa KWA mrithi wake hatukusikia, na je ni kwamba mh kikwete alitenda mema zaidi mzidi mtangulizi wake au mh Mwinyi alitenda zaidi mzidi Mw Nyerere, kola uongonzi na Zama zake,KWA siku hizi Chache Kama anasimama na kuona marehem bado ni zaidi ya uongozi uliokabidhiwa nchi ni muogopen Kama ukoma na ni lazima ashughulikie haraka, anachofanya ni kuaribu psychology ya viongozi walio madarakani,Nilidhani yeye anakwenda kufanya yale atakayoagizwa na Rais kuyafanya, je ilikuwa sawa kuahidi yale aliyoyaahidi kufanya kabla ya kujua muelekeo wa boss wake?
Alijuaje kama kura za kumpitisha kuwa makamu zitatosha hadi awe na uhakika wa kuhutubia bunge kwa uhakika vile?Muonee tu huruma! Athari za ule ugonjwa bado hazijaisha mwilini mwake kwa 100%
Aliliaga bunge kabla ya kujua kama kama wabunge watampitisha au la..Hajahutubia Mkuu..
Ameliaga tuu bunge Chief
Ndo maana amesema atalimiss sana bunge!..sasa ulitaka aondoke kimya kimya ilihali wameshirikiana wote kule Bungeni kwa kipindi chote? How?
Mpaka leo hujui nani kawanyonga?? duh!Eti wanyonge si Ni watu walionyongwa!? Nimewaza tu! Na Ni nani anewanyonga.
Kuendeleza miradi iliyopo au la ni baada ya kukutana na Rais au Baada ya Rais kuhutubia na kuufahamu mwelekeo wake. Anajuaje kama Rais hana mpango wa kuendelea na miradi hiyo kama ilivyo? Inawezekana kuwa Amepre-empty hotuba ya Rais. The cat before the horse.Kwani ameahidi nini zaidi ya kupambana na umasikini na kuendeleza miradi iliyopo (ambao ndiyo mueleleo wa serikali ya ccm)? Hakuna ahadi mpy aliyotoa zaidi ya kupima mulemule alipopita Mama.
Mbona kuna Rais ambae aliwahi kusemaga kuwa ilani aliyopewa haitekelezeki, alifanywa nini? Hakuna mtu yeyote anaweza kumlazimisha Rais Samia atekeleze ilani na ahadi za JPM kama ilivyo. Maana baadhi ya ahadi inawezekana nyingi zililalia upande mmoja tu wa nchi. Mh. Rais hawezi kuwa mtumwa wa ahadi za mtangulizi na ilani.Sasahivi hakuna ahadi. Ahadi ziliisha mwaka Jana .
Saivi utekelezaji wa ilani
Nenda karudie tena kusikiliza alichokisema mara ya kwanza na mara ya pili alipopewa fursa ya kuhutubiaAta hivo,katika kumnukuu kwangu kila alichokua anakihaidi alikua anaweka maneno kwa kumshauri na kusaidiana na mh Rais wa Tanzania maan yake hapo anajua nan amby yup juu yake na yy kama kiongozi mkuu wa pili wa nchiii hii baada ya mh Rais
Eti wanyonge si Ni watu walionyongwa!? Nimewaza tu! Na Ni nani anewanyonga.
Amesahau CCM ilikuwepo madarakani tangu 1961Eti wanyonge si Ni watu walionyongwa!? Nimewaza tu! Na Ni nani anewanyonga.
Kama nchi ina maskini wengi, hii dhana ya uchumi wa kati ina maana gani? Je, wachache ndiyo wamehodhi na kumiliki utajiri wa nchi?Kwa nini aseme nchi ina masikini wengi????
Ufafanuzi please!