Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Huyo mtu wa Kikwete alimtoa world bank 2007 kasome cv yake

But Allegiances can change due course!

Unless the late JPM was ‘advised’ by JK to take on VP Mpango as Minister then it doesn’t hold!

Unless you mean to say kwamba JK alikua na the whole plan since 2007 to date (2021) of the all Tanzania’s political arena!

If so, then the Serpent is on the move!!
 
Kwa katiba yetu hii, vp hatakiwi awe na mbwembwe wala tamaa, ninachoweza kusema tuzidi kumuombea mama yetu bila kukoma.
 
Nilidhani yeye anakwenda kufanya yale atakayoagizwa na Rais kuyafanya, je ilikuwa sawa kuahidi yale aliyoyaahidi kufanya kabla ya kujua muelekeo wa boss wake?
Amenikera Sana aliposema atatekeleza maono ya Magufuli. Kwa mtu ambaye ni bingwa wa uchumi maono ya Magufuli hayana mpangilio.
 
Mimi mkatoliki mwenzangu hata afanye madudu gani, hata aseme pumba gani, as long as ni mkatoliki and is at whelm, hata sijishughulish kumfatilia...nawaaamini sana hawa ndugu zangu katika bwana.
 
Pia naomba mama awateue pia Maria Sarungi pamoja na Fatuma Karume kwenye baraza lake la mawaziri.
 
Kama ilivyokuwa 2015 kwa JPM ,sasa hivi tena Chadema wako bize kumsifia, kumfundisha na kumpa maelekezo mbalimbali Rais Samia bila kujua kuwa huyo ni rais anayetokana na ccm na anatekeleza ilani ya ccm.

Godbless Lema ,Tundu Lisu hawazungumzii kabisa maendeleo ya chadema wao ni bize kumpangia cha kufanya rais Samia. !

Tundu Lisu ni kaimu mwenyekiti wa chadema lakini hutakaa usikie akiiongelea wala kuitangaza chadema popote. Kwani haoni kaimu mwenyekiti wa ccm Philip Mangula anavyokinadi chama chake?

Tundu Lisu ni mtanzania lakini hutakaa usikie popote akizungumzia mazuri ya nchi yake ,yeye ni kuchafua tu nchi yake.
Kuchafua nchini.au uongozi?
 
Nimekuwa kama nashindwa kushangaa wakati Mh. Spika Ndugai anasema jina bado hajalijua lakini wabunge wanashangilia sana je. Wanashangilia mtu au tukio tu.
 
Hao ni kama vichaa. Hakuna bunge hapo yani haiwezekani wafanane mawazo watu zaidi ya 300 hushangai hilo wote wamepiga kura ya Ndio?
 
Jina hilo limepelekwa Bungeni na Mpambe wa Rais (ADC) Kanali Nyamburi Mashauri, na kukabidhiwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai.

Spika Ndugai akisoma ujumbe wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema..

Mheshimiwa Spika, nawasilisha Bungeni Jina la Mheshimiwa Philip Isdori Mpango kwa Nafasi ya Makamu wa Rais Tanzania.

Soma >>Wasifu wa Dkt. Philip Isdor Mpango


Bunge lamthibitisha kwa kishindo
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemthibitisha Dkt. Philip Isdor Mpango kwa asilimia 100 kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kura zote 363 za wabunge waliopiga kura.







Dk Philip Mpango alizaliwa July 14, 1957 alikuwa ni Waziri wa Fedha na Mipango katika Serikali ya Awamu ya Tano.

Mpango ni mzaliwa wa Kigoma, baba yake ni marehemu Isidori Nzabhayanga Mpango, ambaye alizaliwa Kijiji cha Kasumo, Wilaya ya Kasulu. Dk Mpango alizaliwa hapohapo Kasumo na ni kaka mdogo wa Askofu mstaafu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Tanganyika Magharibi – Kasulu mkoani Kigoma, Dk Gerard Mpango.

Dk Mpango ni mchumi mwenye shahada ya uzamivu ya uchumi.

Kuanzia miaka ya 1990 hadi 2000, alifanya kazi akiwa mhadhiri mwandamizi wa uchumi katika kitivo cha Biashara (sasa Shule ya Biashara) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM). Alikuwa akifundisha “Microeconomics”,

“Macroeconomics” (kwa mwaka wa pili) na “Public Finance” kwa mwaka wa tatu na kozi za uzamili.

Amewahi kuwa Mchumi Mwandamizi wa Benki ya Dunia, Mkuu wa Kamati ya kumshauri Rais Jakaya Kikwete wakati huo kuhusu masuala ya uchumi, Katibu binafsi wa Rais anayeshughulikia masuala ya uchumi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, kabla ya kuhamishiwa Tume ya Mipango, Ofisi ya Rais. Nyadhifa hizi zote amezishika wakati wa utawala wa Kikwete.

Hayati Magufuli alipoingia madarakani alimteua kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na baada ya siku chache akateuliwa kuwa Waziri wa Fedha na Mipango.

Dk Mpango ni kiongozi mwenye msimamo thabiti. Baadhi ya watendaji ambao wamewahi kufanya kazi chini yake kwenye ofisi ya Rais wanamuelezea kama mtu anayetaka waliomzunguka wazungumze kwa takwimu na ushahidi hasa katika masuala ya uchumi. Msimamo huo pia aliuonyesha alipokuwa mtaalamu wa Benki ya Dunia. Hakuwa mwoga kuieleza ukweli Serikali pale ambako ilikuwa haifanyi vizuri.

Mathalan, wakati wasomi wengi wa uchumi wakiwa wanapiga kelele za kuisifia Serikali juu ya ukuaji wa uchumi miaka ya mwanzoni ya 2000, Dk Mpango alieleza wazi kuwa lengo hilo la kukuza uchumi kwa asilimia 5.9 haliwezi kufikiwa kwa sababu katika miaka minne iliyopita, Serikali ilishindwa kulifikia.

Alisema: “Angalia kwa miaka minne hadi mitano iliyopita ambayo tulikuwa na sera nzuri za kibajeti, hakuna mwaka ambao ukuaji huo ulifikiwa, hizo ni dalili tosha kwamba hali hiyohiyo ndiyo itajitokeza mwaka huu.”

Born – July 14, 1957, Kasumo, Kigoma region

Education
*1993-1996 University of Dar, PHD Economics
*1990-1992 Lund University, PHD Course Work, Sweden
*1986-1988 University of Dar, Master in Economics
*1981-1984 University of Dar, BA Economics
*1976-1977 Ihungo High (A) Bukoba
*1974-1975 Itaga Seminary (O) Tabora
*1971-1973 Ujiji Seminary (O) Kigoma
*1968-1970 Munyama Primary Kigoma
× 1965-1967 Kasumo Primary Kigoma
*1964-1965 Kipalapala Primary Tabora

Mpango’s Career
*1980-1980 Public relations assistant, National Provident Fund
*1980-1981 Research assistant, Elimu Supplies Ltd
*1984-1988 Economist, Ministry of Labor
*1988-2002 Economics Lecturer Dar-es-Salaam University
*2002-2006 Senior Economist World Bank
*2007-2009 Economic advisor to the President, President’s Office
*2009-2010 Deputy Permanent Secretary, Ministry of Finance
*2010-2015 Executive secretary, President’s Office Planning Commission
*2015-2015 Acting Commissioner General, Tanzania revenue Authority
*2015 – Appointed Member of Parliament
*2015 – Minister of Finance and Planning
Leo watu hufurahiii kwa kishindo ila hapo mbele zile kauli hafai mara oooh kafojii cv msijekutuambia huku
 
Ni sawa na kusema makamu wewe utakuwa na mafanyikio kuliko wate waliopita hata aliemaliza muda wake juzi hajafanya makubwa?
 
Nilimshangaa aliposema " Nitakuwa mwana CCM hadi mwisho wa maisha yangu" hii kauli haikutakiwa kutolewa na mtu mwenye PhD
 
You might have a point! But my intuition opposes it!

If so, how did VP Mpango come to be hand in glove with the late JPM?

I mean he knows ‘almost’ all the transactions made in this country!

Or maybe he was a doubleheader? For 5years? Mmh!
my very own questions, will VP mpango perform like he did when he was financial minister?
for a while now, VP position has been taken for granted, some it as person who does light job for president. like uzinduzi and other things.

hii position ya VP sio kwamba wame suppress utendaji wa mpango?
 
Nilimshangaa aliposema " Nitakuwa mwana ccm hadi mwisho wa maisha yangu" hii kauli haikutakiwa kutolewa na mtu mwenye PhD
Ukiingia kwenye siasa, Ph.D unaweka pembeni.

Maneno mengine ni kwa "public consumption" zaidi.


Mpango ni bureaucrat, si mwanasiasa, labda ana overcompensate.

Huyo Nyerere mwenyewe aliyeianzisha CCM alisema CCM si mama yake, ikimzingua anaiacha.
 
Nilidhani yeye anakwenda kufanya yale atakayoagizwa na Rais kuyafanya, je ilikuwa sawa kuahidi yale aliyoyaahidi kufanya kabla ya kujua muelekeo wa boss wake?
Amemrahisishia boss wake kumjua msimamo wake atambue kila Rais na Aina yake ya Utawala
 
Back
Top Bottom