Rais Samia Suluhu Hassan anaipaisha Tanzania kimataifa kisiasa na kiuchumi

Rais Samia Suluhu Hassan anaipaisha Tanzania kimataifa kisiasa na kiuchumi

Uongo huu peleka kwingine. Wachumia tumbo hapa JF wanajulikana wazi kabisa. Ni watu ambao hawajitambui na hawana misimamo hata chembe. Unakuwaje msomi halafu huoni udikteta, dhuluma na udhalimu wa dikteta mwendazake/Chifu hang ya? Kila leo ni kuunga mkono hoja tu za kipuuzi kusifia yasiyostahili kusifiwa. Nchi iko njia panda kila kitu hovyo uchumi ulianza kuyumba tangu 2016 lakini wewe mchumia tumbo hukuliona hilo na COVID-19 ikaumalizia kabisa. Sera MUFILISI zilizoua uchumi bado zinaendelezwa lakini bado hujastuka tu!!! 😩😩😩
It is very unfortunate, baadhi ya Watanzania wenzetu, ni macho yao ni myopic, uwezo wao wa kuona ni mpaka mwisho wa pua zao, na pia licha ya kuwa na myopia, pia wana impaired vision, uwezo wao wa uoni ni unidirectional, wanaona upande mmoja tuu pekee, ule upande wa mabaya na mapungufu na negatives tuu, upande wa mema, mazuri na positives, wao, hawaoni, hivyo kazi yao ni kulalamika tuu, kulaani na kushutumu, na wewe ni miongoni mwao.

Kutokana na kuwa one sised, hata mabandiko yangu yanayokosoa, huyaoni, unayaona yanayosifia tuu. Ukiwa mkweli wa dhati toka ndani ya nafsi yako, utayaona mazuri na utasifu mna kukosoa mabaya. Haiwezekani watu mnao mabaya tuu, huo ni ushetani.
Karibu mitaa hii
P.
 
Nadhani tuje na hoja jakaya alizurura DUNIA YOTE akapewa na fursa ya kuwa rais kutokea africa aliye enda kumuona obama

Lakini hakuna alichofanya mimi nakueleza kuwa hakuna mtu anayezurura akawa anaipenda nchi yake

Mtu anayependa kwake hazururi ila anakuwa na maono ya kwake

Nchi yetu itashuka kiuchumi MAGUFULI HII NCHI ALIJARIBUBKUIOMBOA

alikuwa shupavu sasa tunaona mambo magumu sana

Mfano serikali ya awamu ya sita sijaona mbiu kazi yake au hii serikali inalega kipi nadhani
Tusianze kusifia jakaya

Alizurura kote aliacha masikini haina hata ndege hakuna meli

Kila kitu kilikuwa hovyo kuvaa tu tshirt ya ccm kariakoo ilikuwa laana

Lakini sasa tunawaona na hizo nguo kila mahali

Hivyo tunaomba rais aache ziara nyingi
Hujielewi
 
Back
Top Bottom