Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Mkuu naona unachanganya awamu na muhula. Inategemea na unayatumia hayo maneno kwa muktadha upi.
Muhula ndiyo hiyohiyo awamu. Awamu inajitifautisha kwa sera zake na mipango yake. Na hili suala la sera na mipango linatanyika kila baada ya miaka mitano.