Rais Samia Suluhu Hassan: Hii ni Serikali ya Awamu ya 6

Rais Samia Suluhu Hassan: Hii ni Serikali ya Awamu ya 6

Alijipa awamu ya sita ili kujitenga na utawala wa jembe magufuli, pia ili ionekane kwamba yupo kwenye muhula wa kwanza wakati kimsingi ni muhula wake wa pili, ukichukulia kwamba walijinadi kwa pamoja na JPM mwaka 2015....
 
Awamu zinahesabika kwa vichwa vya marais so as to document legacy correctly! Hata akikaa mwezi, AWAMU IMEISHA NA LEGACY YAKE TAYARI, HUWEZI KUIUNGANISHA NA YA RAIS MWINGINE.
Wazee wa legacy wanataka kulazimisha agenda zao🤔.
 
Mi najua awamu ya Urais ni miaka mitano. So hapa tutakuwa tupo awamu sijui ya ngapi, mi tano ya Magu awamu moja, Kikwete 2, Mkapa 2, Mwinyi 2. Nyerere alipigiwa kura mara ngapi? Kama ni kila miaka mitano basi alitawala karibi awamu tano. So tupo awamu ya ngapi?

Hii tupo awamu ya 13.
 
Je, serikali ya kikoloni ilikuwa ni awamu ya ngapi?

Hivi vitu viwe defined na kutambulkka kisheria.
Tukiwaambia katiba mpya wanafinya finya pua na midomo. Kwa hii iliyopo wanakaribia hata kushindwa kutambua kama ni usiku au mchana, bado wanaing'ang'ania tuu.
 
Mi najua awamu ya Urais ni miaka mitano. So hapa tutakuwa tupo awamu sijui ya ngapi, mi tano ya Magu awamu moja, Kikwete 2, Mkapa 2, Mwinyi 2. Nyerere alipigiwa kura mara ngapi? Kama ni kila miaka mitano basi alitawala karibi awamu tano. So tupo awamu ya ngapi?

Hii tupo awamu ya 13.
Nchi inaenda hovyo hovyo tu.
 
Msomi Joseph Magata akufafanua vizuri wewe ndiye hukusoma akichoandika.


Hiki hapa ukisome



Mods naheshimu msimamo wenu na kazi yenu ya kuunganisha nyuzi zenye mfanano wa aina fulani. Lakini naomba kwa upole na unyenyekevu nkubwa msiunganishe huu uzi na nyingine. Nimeomba, asante sana!

Wana JF wa CCM na Upinzani na wasio na chama, Je ni kweli Rais Samia ni Rais wa awamu ya 6 ama 5?

Kumradhi:
Naomba nitangulie kusema kwamba kati ya Jambo kubwa linaloigharimu nchi yetu ni kukosekana wasomi 'very competent'; naweza kusema wasomi wetu wengi kwenye hili Taifa ni product ya 'Q & A' kwenye vitini vya hapa na pale. Taifa letu halina wasomi wenye 'natural thinking ability' badala yake tuna wasomi wengi wanao reason kwa kuambaambaa na upepo wa wakati ule. Again, kumradhi!

Nasema hivyo kwa sababu, hadi sasa hakuna msomi yeyote wa chuo chochote ama kutoka popote ambaye amewahi ku 'challenge' kisomi uwepo wa awamu ya 6 badala ya kuitwa awamu ya 5.

Awamu ya uongozi inakuwa na elements kuu tatu:
1. Uchaguzi wa urais na makamu wake
2. Uchaguzi wa wabunge kwenye majimbo pia na viti maalum
3. Uchaguzi wa Madiwani pia viti maalum.

Ilivyo ni kwamba, lazima Rais anayegombea awe na makamu wake. Logic ya kuwa na makamu ni kwamba, in case of anything unusual basi makamu wa Rais ndio anashika usukani na kuendelea. Kwa maneno mengine makamu wa Rais ni Rais.

Kuna nyakati Rais anakuwa na hali mbaya ya ki afya hivyo Makamu wake ndio anasimama kwenye nafasi yake hivyo ni Rais.

Kuna wakati mwingine Rais anakuwa yupo nje ya mipaka ya nchi yake hivyo anayesimama kwenye nafasi yake ni makamu wa Rais hivyo ni Rais.

Kipekee sana, kuna mifano mingi mno inayohalalisha kuwa makamu wa Rais ni Rais kwa maneno mengine kiasi kwamba hawezi kujitenga na awamu alioombea kura.


Kama hivyo, ni lini Rais Samia aliomba kura ya kuwa Rais wa nchi hii? Hajawahi, bali aliomba ya kuwa makamu wa Rais wa awamu ya 5.

Ni lini Rais Samia aliomba kura ya wabunge wake? Ameomba akiwa awamu ya 5.

Na Madiwani je? Pia akiwa awamu ya 5.

Kuna mambo mengi yanayoelezea kiwaziwazi kuwa Rais Samia ni Rais wa awamu ya 5 na sio ya 6.

Awamu ya urais ni package (Kuomba kura ukiwa na makamu wako + Kuunda Bunge Jipya + Kuteua Waziri Mkuu mpya + Kuteua speaker qa Bunge mpya) na kuendelea!

Ndio maana, nasisitiza tena ndio maana Magufuli alipochaguliwa awamu yake ya Kwanza aliunda Serikali yake kuanzia Bunge, Madiwani, na kwingine kote.

Alipochaguliwa awamu yake ya pili alifanya hivyo hivyo kama alivyofanya hapo awamu ya Kwanza, yaani as if anaanza kitu kipya tena kama vile hakuwepo.

Sasa, Rais Samia yeye ameunda Serikali yake? Ndio aliunda wakisaidiana na Rais Magufuli na ndio maana hata baada ya Magufuli kufariki aliendelea na serikali ile ile iliyopo maana ndio Serikali yake.

Kwa sasa kama Rais Samia akigombea mwaka 2025 - 2030 basi anakuwa rasmi ni Rais wa awamu ya 6 (sita).

Nawaasa wasomi wa Taifa hili wa kila kada, amkeni kwa ajili ya Taifa lenu!
 
Msomi Joseph Magata akufafanua vizuri wewe ndiye hukusoma akichoandika.


Hiki hapa ukisome


Dah hii nchi hii!

Kwa hio wewe umesoma alichoandika na kweli ukaelewa kwamba Rais Samia ni wa awamu ya 6?

Hebu soma haya maneno aliyoyaandika!

.....
Sasa tuirejee ibara ya 51(2) inayosema rais "akishashika madaraka" atateua waziri mkuu. Je, Rais Samia alishika lini madaraka ya urais? Mfumo wa urithi tuliouona na pia katiba yetu vinajibu swali hili kama ifuatavyo.

Moja, makamu wa rais ni mrithi kama "prince" na "princess", hivyo, si tu madaraka aliyarithi sekunde ya kifo cha Rais Magufuli, bali pia hakulazimika kuapishwa.

Mbili, kwa kuwa anapofanya "kazi zote" za rais ibara ya 47(1)(c) ya katiba haimuhitaji aapishwe, ndivyo pia haikumuhitaji aapishwe sekunde Rais Magufuli alipokosekana kazini kwa kufariki.

Kiapo alichoapa Rais Samia hakikuongeza jukumu jipya nje ya aliyoyapata sekunde ile aliyofariki Rais Magufuli. Hivyo Samia Suluhu ameanza urais tangu sekunde aliyofariki Rais Magufuli.

Hata inapotokea anapishwa, japo si lazima....

Jisomee hayo maneno yake!
 
Mods naheshimu msimamo wenu na kazi yenu ya kuunganisha nyuzi zenye mfanano wa aina fulani. Lakini naomba kwa upole na unyenyekevu nkubwa msiunganishe huu uzi na nyingine. Nimeomba, asante sana!

Wana JF wa CCM na Upinzani na wasio na chama, Je ni kweli Rais Samia ni Rais wa awamu ya 6 ama 5?

Kumradhi:
Naomba nitangulie kusema kwamba kati ya Jambo kubwa linaloigharimu nchi yetu ni kukosekana wasomi 'very competent'; naweza kusema wasomi wetu wengi kwenye hili Taifa ni product ya 'Q & A' kwenye vitini vya hapa na pale. Taifa letu halina wasomi wenye 'natural thinking ability' badala yake tuna wasomi wengi wanao reason kwa kuambaambaa na upepo wa wakati ule. Again, kumradhi!

Nasema hivyo kwa sababu, hadi sasa hakuna msomi yeyote wa chuo chochote ama kutoka popote ambaye amewahi ku 'challenge' kisomi uwepo wa awamu ya 6 badala ya kuitwa awamu ya 5.

Awamu ya uongozi inakuwa na elements kuu tatu:
1. Uchaguzi wa urais na makamu wake
2. Uchaguzi wa wabunge kwenye majimbo pia na viti maalum
3. Uchaguzi wa Madiwani pia viti maalum.

Ilivyo ni kwamba, lazima Rais anayegombea awe na makamu wake. Logic ya kuwa na makamu ni kwamba, in case of anything unusual basi makamu wa Rais ndio anashika usukani na kuendelea. Kwa maneno mengine makamu wa Rais ni Rais.

Kuna nyakati Rais anakuwa na hali mbaya ya ki afya hivyo Makamu wake ndio anasimama kwenye nafasi yake hivyo ni Rais.

Kuna wakati mwingine Rais anakuwa yupo nje ya mipaka ya nchi yake hivyo anayesimama kwenye nafasi yake ni makamu wa Rais hivyo ni Rais.

Kipekee sana, kuna mifano mingi mno inayohalalisha kuwa makamu wa Rais ni Rais kwa maneno mengine kiasi kwamba hawezi kujitenga na awamu alioombea kura.


Kama hivyo, ni lini Rais Samia aliomba kura ya kuwa Rais wa nchi hii? Hajawahi, bali aliomba ya kuwa makamu wa Rais wa awamu ya 5.

Ni lini Rais Samia aliomba kura ya wabunge wake? Ameomba akiwa awamu ya 5.

Na Madiwani je? Pia akiwa awamu ya 5.

Kuna mambo mengi yanayoelezea kiwaziwazi kuwa Rais Samia ni Rais wa awamu ya 5 na sio ya 6.

Awamu ya urais ni package (Kuomba kura ukiwa na makamu wako + Kuunda Bunge Jipya + Kuteua Waziri Mkuu mpya + Kuteua speaker qa Bunge mpya) na kuendelea!

Ndio maana, nasisitiza tena ndio maana Magufuli alipochaguliwa awamu yake ya Kwanza aliunda Serikali yake kuanzia Bunge, Madiwani, na kwingine kote.

Alipochaguliwa awamu yake ya pili alifanya hivyo hivyo kama alivyofanya hapo awamu ya Kwanza, yaani as if anaanza kitu kipya tena kama vile hakuwepo.

Sasa, Rais Samia yeye ameunda Serikali yake? Ndio aliunda wakisaidiana na Rais Magufuli na ndio maana hata baada ya Magufuli kufariki aliendelea na serikali ile ile iliyopo maana ndio Serikali yake.

Kwa sasa kama Rais Samia akigombea mwaka 2025 - 2030 basi anakuwa rasmi ni Rais wa awamu ya 6 (sita).

Nawaasa wasomi wa Taifa hili wa kila kada, amkeni kwa ajili ya Taifa lenu!
Mkuu hapa bongo bora liende ,Samia ni rais wa awamu ya tano ,watake wasitake
 
Awamu zinahesabika kwa vichwa vya marais so as to document legacy correctly! Hata akikaa mwezi, AWAMU IMEISHA NA LEGACY YAKE TAYARI, HUWEZI KUIUNGANISHA NA YA RAIS MWINGINE.
Maelezo yameshiba halafu unapotosha waziwazi ,nchi hii?,tuna viazi kweli
 
Mkuu mbona haya mambo hata hayahitaji usomi wowote?

Mwalimu alitawala zaidi ya miaka 10, inahesabiwa awamu 1.
Mwinyi akaingia mihula miwili, hatukuambiwa awamu ya pili na ya tatu japo tulishuhudia chaguzi mbili.

Mkapa mihula miwili hiyo ikawa ni awamu ya tatu.

Kikwete akaingia awamu ya nne akiongoza kwa mihula miwili pia.

JPM amekua wa awamu ya tano aliyoitumikia mhula mmoja kamili na awamu ya pili miezi michache.
Kwa utaratibu huo, awamu inahesabiwa kwa anayeshika usukani.

Kama ni vigezo ulivyovitoa vya vhaguzi na kuunda serikali basi Mwinyi angekua na awamu ya pili na ya tatu, Mkapa hali kadhalika angepojea awamu ya nne na ya tato. Kumbuka hao wote waliunda serikali mara mbili na kushinda chaguzi mihula miwili.
 
Sijasema Samia ni wa awamu ya 6. Niliposoma hii makala nikajua awamu ya 5 inaendelea na Samia hakuhitaji kiapo.

Ninapoga kauli yako kwamba wasomi hawaja analyse hili


Dah hii nchi hii!

Kwa hio wewe umesoma alichoandika na kweli ukaelewa kwamba Rais Samia ni wa awamu ya 6?

Hebu soma haya maneno aliyoyaandika!

.....
Sasa tuirejee ibara ya 51(2) inayosema rais "akishashika madaraka" atateua waziri mkuu. Je, Rais Samia alishika lini madaraka ya urais? Mfumo wa urithi tuliouona na pia katiba yetu vinajibu swali hili kama ifuatavyo.

Moja, makamu wa rais ni mrithi kama "prince" na "princess", hivyo, si tu madaraka aliyarithi sekunde ya kifo cha Rais Magufuli, bali pia hakulazimika kuapishwa.

Mbili, kwa kuwa anapofanya "kazi zote" za rais ibara ya 47(1)(c) ya katiba haimuhitaji aapishwe, ndivyo pia haikumuhitaji aapishwe sekunde Rais Magufuli alipokosekana kazini kwa kufariki.

Kiapo alichoapa Rais Samia hakikuongeza jukumu jipya nje ya aliyoyapata sekunde ile aliyofariki Rais Magufuli. Hivyo Samia Suluhu ameanza urais tangu sekunde aliyofariki Rais Magufuli.

Hata inapotokea anapishwa, japo si lazima....

Jisomee hayo maneno yake!
 
Mkuu hapa bongo bora liende ,Samia ni rais wa awamu ya tano ,watake wasitake
Mwinyi alitawala mihula mingapi na alihesabiwa kuwa Rais wa awamu ya ngapi?

Rejea vigezo vya mtoa mada anavyohesabu awamu na uone anavyojichanganya.
 
... yote yameshajadiliwa humu; hii ni Awamu ya Sita vs Awamu ya Tano na kinyume chake! Pamekuwa na two strong schools of thought na hakuna upande unaokubali kushindwa! To make it simple, Samia ni Rais wa Sita; that simple! Ondoa takataka inaoitwa awamu sijui hata ipo kwa sheria ipi!
 
Mods naheshimu msimamo wenu na kazi yenu ya kuunganisha nyuzi zenye mfanano wa aina fulani. Lakini naomba kwa upole na unyenyekevu nkubwa msiunganishe huu uzi na nyingine. Nimeomba, asante sana!

Wana JF wa CCM na Upinzani na wasio na chama, Je ni kweli Rais Samia ni Rais wa awamu ya 6 ama 5?

Kumradhi:
Naomba nitangulie kusema kwamba kati ya Jambo kubwa linaloigharimu nchi yetu ni kukosekana wasomi 'very competent'; naweza kusema wasomi wetu wengi kwenye hili Taifa ni product ya 'Q & A' kwenye vitini vya hapa na pale. Taifa letu halina wasomi wenye 'natural thinking ability' badala yake tuna wasomi wengi wanao reason kwa kuambaambaa na upepo wa wakati ule. Again, kumradhi!

Nasema hivyo kwa sababu, hadi sasa hakuna msomi yeyote wa chuo chochote ama kutoka popote ambaye amewahi ku 'challenge' kisomi uwepo wa awamu ya 6 badala ya kuitwa awamu ya 5.

Awamu ya uongozi inakuwa na elements kuu tatu:
1. Uchaguzi wa urais na makamu wake
2. Uchaguzi wa wabunge kwenye majimbo pia na viti maalum
3. Uchaguzi wa Madiwani pia viti maalum.

Ilivyo ni kwamba, lazima Rais anayegombea awe na makamu wake. Logic ya kuwa na makamu ni kwamba, in case of anything unusual basi makamu wa Rais ndio anashika usukani na kuendelea. Kwa maneno mengine makamu wa Rais ni Rais.

Kuna nyakati Rais anakuwa na hali mbaya ya ki afya hivyo Makamu wake ndio anasimama kwenye nafasi yake hivyo ni Rais.

Kuna wakati mwingine Rais anakuwa yupo nje ya mipaka ya nchi yake hivyo anayesimama kwenye nafasi yake ni makamu wa Rais hivyo ni Rais.

Kipekee sana, kuna mifano mingi mno inayohalalisha kuwa makamu wa Rais ni Rais kwa maneno mengine kiasi kwamba hawezi kujitenga na awamu alioombea kura.


Kama hivyo, ni lini Rais Samia aliomba kura ya kuwa Rais wa nchi hii? Hajawahi, bali aliomba ya kuwa makamu wa Rais wa awamu ya 5.

Ni lini Rais Samia aliomba kura ya wabunge wake? Ameomba akiwa awamu ya 5.

Na Madiwani je? Pia akiwa awamu ya 5.

Kuna mambo mengi yanayoelezea kiwaziwazi kuwa Rais Samia ni Rais wa awamu ya 5 na sio ya 6.

Awamu ya urais ni package (Kuomba kura ukiwa na makamu wako + Kuunda Bunge Jipya + Kuteua Waziri Mkuu mpya + Kuteua speaker qa Bunge mpya) na kuendelea!

Ndio maana, nasisitiza tena ndio maana Magufuli alipochaguliwa awamu yake ya Kwanza aliunda Serikali yake kuanzia Bunge, Madiwani, na kwingine kote.

Alipochaguliwa awamu yake ya pili alifanya hivyo hivyo kama alivyofanya hapo awamu ya Kwanza, yaani as if anaanza kitu kipya tena kama vile hakuwepo.

Sasa, Rais Samia yeye ameunda Serikali yake? Ndio aliunda wakisaidiana na Rais Magufuli na ndio maana hata baada ya Magufuli kufariki aliendelea na serikali ile ile iliyopo maana ndio Serikali yake.

Kwa sasa kama Rais Samia akigombea mwaka 2025 - 2030 basi anakuwa rasmi ni Rais wa awamu ya 6 (sita).

Nawaasa wasomi wa Taifa hili wa kila kada, amkeni kwa ajili ya Taifa lenu!
Awamu ya urais ni package (Kuomba kura ukiwa na makamu wako + Kuunda Bunge Jipya + Kuteua Waziri Mkuu mpya + Kuteua speaker qa Bunge mpya) na kuendelea!

Haya ni maoni yako au ukweli? Kama ni kweli tupe chanzo; kama ni maoni yako tueleze ni kwa nini unatuona siye wote wajinga kiasi cha kukosa maoni na kwa sababu hiyo tukubaliane na maoni yako!
 
Mods naheshimu msimamo wenu na kazi yenu ya kuunganisha nyuzi zenye mfanano wa aina fulani. Lakini naomba kwa upole na unyenyekevu nkubwa msiunganishe huu uzi na nyingine. Nimeomba, asante sana!

Wana JF wa CCM na Upinzani na wasio na chama, Je ni kweli Rais Samia ni Rais wa awamu ya 6 ama 5?

Kumradhi:
Naomba nitangulie kusema kwamba kati ya Jambo kubwa linaloigharimu nchi yetu ni kukosekana wasomi 'very competent'; naweza kusema wasomi wetu wengi kwenye hili Taifa ni product ya 'Q & A' kwenye vitini vya hapa na pale. Taifa letu halina wasomi wenye 'natural thinking ability' badala yake tuna wasomi wengi wanao reason kwa kuambaambaa na upepo wa wakati ule. Again, kumradhi!

Nasema hivyo kwa sababu, hadi sasa hakuna msomi yeyote wa chuo chochote ama kutoka popote ambaye amewahi ku 'challenge' kisomi uwepo wa awamu ya 6 badala ya kuitwa awamu ya 5.

Awamu ya uongozi inakuwa na elements kuu tatu:
1. Uchaguzi wa urais na makamu wake
2. Uchaguzi wa wabunge kwenye majimbo pia na viti maalum
3. Uchaguzi wa Madiwani pia viti maalum.

Ilivyo ni kwamba, lazima Rais anayegombea awe na makamu wake. Logic ya kuwa na makamu ni kwamba, in case of anything unusual basi makamu wa Rais ndio anashika usukani na kuendelea. Kwa maneno mengine makamu wa Rais ni Rais.

Kuna nyakati Rais anakuwa na hali mbaya ya ki afya hivyo Makamu wake ndio anasimama kwenye nafasi yake hivyo ni Rais.

Kuna wakati mwingine Rais anakuwa yupo nje ya mipaka ya nchi yake hivyo anayesimama kwenye nafasi yake ni makamu wa Rais hivyo ni Rais.

Kipekee sana, kuna mifano mingi mno inayohalalisha kuwa makamu wa Rais ni Rais kwa maneno mengine kiasi kwamba hawezi kujitenga na awamu alioombea kura.


Kama hivyo, ni lini Rais Samia aliomba kura ya kuwa Rais wa nchi hii? Hajawahi, bali aliomba ya kuwa makamu wa Rais wa awamu ya 5.

Ni lini Rais Samia aliomba kura ya wabunge wake? Ameomba akiwa awamu ya 5.

Na Madiwani je? Pia akiwa awamu ya 5.

Kuna mambo mengi yanayoelezea kiwaziwazi kuwa Rais Samia ni Rais wa awamu ya 5 na sio ya 6.

Awamu ya urais ni package (Kuomba kura ukiwa na makamu wako + Kuunda Bunge Jipya + Kuteua Waziri Mkuu mpya + Kuteua speaker qa Bunge mpya) na kuendelea!

Ndio maana, nasisitiza tena ndio maana Magufuli alipochaguliwa awamu yake ya Kwanza aliunda Serikali yake kuanzia Bunge, Madiwani, na kwingine kote.

Alipochaguliwa awamu yake ya pili alifanya hivyo hivyo kama alivyofanya hapo awamu ya Kwanza, yaani as if anaanza kitu kipya tena kama vile hakuwepo.

Sasa, Rais Samia yeye ameunda Serikali yake? Ndio aliunda wakisaidiana na Rais Magufuli na ndio maana hata baada ya Magufuli kufariki aliendelea na serikali ile ile iliyopo maana ndio Serikali yake.

Kwa sasa kama Rais Samia akigombea mwaka 2025 - 2030 basi anakuwa rasmi ni Rais wa awamu ya 6 (sita).

Nawaasa wasomi wa Taifa hili wa kila kada, amkeni kwa ajili ya Taifa lenu!
Ni aibu kubwa kwake ndg.Polepole...

Ukatibu wake mwenezi haukumpa elimu ya kujua kuwa AWAMU inahesabiwa kwa KICHWA ofisini?!!!!

Aibu kubwa kwa MROPOKAJI HUYU....

SIEMPRE CCM🙏
 
Back
Top Bottom