auferet dominus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,804
- 1,292
fafanua unataka kusema niniNeno awamu tumelitumia sana kwa marais wa Zanzibar ambako Karume alikufa na Aboud Jumbe alijiuzulu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fafanua unataka kusema niniNeno awamu tumelitumia sana kwa marais wa Zanzibar ambako Karume alikufa na Aboud Jumbe alijiuzulu.
Haihitaji ufafanuzi kan kwamba nimeleta jambo jipya. Si jipya kama unaijua Zanzibar.fafanua unataka kusema nini
Awamu hizi zilianza kuhesabiwa mara baada ya Nyerere kutoka madarakani..na na awamu haijalishi miaka ya utawala wa Rais mmoja...ndiposa nikakueleza kuwa mfno JPM wangemuongezea miaka still angekuwa Rais wa tano..katika awamu za vipindi tofauti tofauti, kulingana na muda ambao angeongezewa...Kwa maelezo yako,je Nyerere anakuwa na awamu ngapi hapo?.
Jitahidini kuvumilia maumivu,mkubali ihalisia wa Mambo.
Mh Samia ni Rais wa awamu ya Sita.
Zanzibar wanq awamu 8,hujiulizi kwann??Ikitokea huyu naye kafariki na mpango kuingia kisha naye kafariki na mwingine kuingia tutasema tumekuwa na awamu nne ndani ya miaka kumi!!?
Ni kweli wamarekani wanasema Rais wa 44 au 43, Kama wangetumia awamu sijui wangekuwa awamu ya ngapi, Ni vizuri itumike Rais wa sita,itapendezaNeno lenyewe awamu limekaa vibaya, tulipige chini. Nchi nyingi wanasema Rais wa Kwanza, watatu, watano nk. Kutumia awamu ni kujichanganya .
Na ndo maana kwa Tanzania Awamu ni Rais na sio uchaguzi....mwinyi hakufanyiwa uchaguzi ila uongozi wake tunauita wa Awamu ya Pili....Uchaguzi ni vipindi tu vya kuongoza...Soma Katiba ya Tanzania hakuna sehemu uchaguzi umeitwa Awamu bali wanasema Rais ataongoza kwa kipindi cha miaka miaka mitano...so lugha inayotumika katika uongozi ni kipindi na sio awamu. Awamu ni Rais aliopo madarakani.Uchaguzi wa vyama vingi ulianza mwaka gani mkuu na mbona hujaulizia nyerere
Hapo tu haoni vizuri kwa uzeeMiaka 14 kwa age yake itamsumbua mbeleni....Pirika pirika za urais hata kama unakula shushu lazima uzeeke kwa haraka...si umeona obama kaingia kijana katoka BABU.
Ha ha ha alijichanganya akajiita yeye ni awamu ya 6. Ilibidi aseme namalizia hii miaka 4 ya awamu ya marehemu kisha naanza yangu.Kwani si anamalizia awamu ya 5 halafu agombee awamu yake ya sita yenye miaka 10 jumla 14
Hapo tu haoni vizuri kwa uzee