jojipoji koromije
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,024
- 1,466
Sasa kama mama kasema hii ni awamu ya sita wewe ni nani kutuambia hii ni awamu ya tano? Tena usishupaze shingo mpaka akajua kuna watu kama nyingi, ndio atafutilia mbali hio legasi sijui legasi
Kwanza jambo lenyewe la awamu haliko mahali popote kwenye katiba wala sheria. Ni mtu mmoja tu alilitunga nyie mkaruka nalo, awamu awamu. Kama mama kasema ni awamu ya sita basi tembea na hilo. Mwenye awamu hata akiwa kaletwa kwa kuhongwa na rais aliyepo madarakani huyo ni rais halali taga. Nani kakwambia rais ni mpaka sanduku la kura. Kwa sasa raisi wa JMT ni Samia ambaye amesema hii ni awamu ya sita. AWAMU YA SITA
Watu wasomi wa ukweli hawalishwi tango pori!! Awamu zinatengezwa na Uchaguzi Mkuu!! Mama kutaja Awamu ya Sita inawezekana alikosea kama Bin Adam yeyote!!! Kama alikosea kutaja siku za maombolezo sembuse Awamu!!! Tumia bongo brother!! Sio unameza tu!!! Period!!