Mkuu naona unachanganya awamu na muhula. Inategemea na unayatumia hayo maneno kwa muktadha upi.
Awamu hii ni ya TANO, hayo mengine ni ulaghai tu
Long experience, observation, and public chekability, the law is informally writtenWapi imeandikwa ama what is the.basis of your argument
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Kwa nini?Ukiniuliza mie ngwini nitakwambia ni awamu ya tano period.
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Sio kosa la wasomi wala suala la kujiamulia.Bali ni matakwa ya katiba, Kuwa Rais akipokea kijiti ndani ya miaka isiýopungua mitatu hiyo itakuwa awamu yake
Ya 6!Awamu hii ni ya TANO, hayo mengine ni ulaghai tu
Aluta ContinueRais Samia Suluhu Hassan amesema hii ni Serikali ya awamu ya 6 hivyo atakayeshindwa kasi yake ataachwa njiani.
Namshukuru sana Rais Samia kwa kuliweka sawa hili kwani jana watu wengi walinibishia nilipowaambia mimi naamini hii ni awamu ya 6.
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
aliomba lini kura? alinadi lini ilani yake?Ya 6!
Shida ni kwamba, hili jambo la awamu/ muhula lipo kimazoea zaidi. Halipo kwenye katiba. Kule wanaongelea vipindi, kipindi cha kwanza na kipindi cha pili.Muhula ndiyo hiyohiyo awamu. Awamu inajitifautisha kwa sera zake na mipango yake. Na hili suala la sera na mipango linatanyika kila baada ya miaka mitano.