Hayupo kwenye TV kila siku, ni matukio anayohudhuria ndiyo yanamfanya awe kwenye TV kila Siku, And ukiacha TBC ambao ya Taifa, TVs nyingine pamoja na social medias wanarusha matukio yake bila kulipwa chochote, sababu zipo 3;1. Kuna ambao ni wazalendo wa nchi 2. Kuna wengine wanatafuta viewers and 3. Wengine wanajipendekeza kwa chama na serikali ili kakitokea kafursa wasiachwe!! MwanahalisiTV (Unawafahamu msimamo wao) kutwa kuchwa wanamfuata Rais anapokuwa kwenye matukio na kuyarusha live kwenye social medias zao, hao tafuta kundi la kuwaweka Bwana Tindo