Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Wajumbe.
Rais Samia Suluhu anazungumzia na wahariri leo mnamo saa 9 alasiri. Tukio hilo linafuatia Rais kumaliza siku 100 akiwa madarakani.
JamiiForums kama mdau mkuu wa habari humu nchini tupendekeze hapa maswali ambayo tungependa wahariri kamuulize mama . Japo siyo hayo lakini yenye mlengo huo
1. Rais uliahidi kukutana na wapinzani, Je ni lini hasa wananchi watarajie mkutano huu?
2. Wewe ulikuwa makamu mwenyekiti wa BMK Mchakato huo haujafikia mwisho bado. Je unawaahidi nini wa watanzania ili mchakato huo uwezo kukamilika na kuwapatia wananchi katiba mpya?
Ongeza mengine
Karibu.
Rais Samia Suluhu anazungumzia na wahariri leo mnamo saa 9 alasiri. Tukio hilo linafuatia Rais kumaliza siku 100 akiwa madarakani.
JamiiForums kama mdau mkuu wa habari humu nchini tupendekeze hapa maswali ambayo tungependa wahariri kamuulize mama . Japo siyo hayo lakini yenye mlengo huo
1. Rais uliahidi kukutana na wapinzani, Je ni lini hasa wananchi watarajie mkutano huu?
2. Wewe ulikuwa makamu mwenyekiti wa BMK Mchakato huo haujafikia mwisho bado. Je unawaahidi nini wa watanzania ili mchakato huo uwezo kukamilika na kuwapatia wananchi katiba mpya?
Ongeza mengine
Karibu.