Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wao, upeo na uwezo wao ni mdogo. Maswali ambayo huwa wanauliza ni mepesi sana.Ngoja tusubiri wahariri huwa qaoga na kujipendekeza sana utaona maswaki ya kitoto watayouliza ....leading questions ...subiri uone unafiki wao...
Kiplmo cha Dunia nzima kilichoanzishwa wapi na lini? Eleza jinsi Siku 100 zilivyo na uhusiano wa muelekeo wa Utawala au Uongozi! Kwa nini Siku 100 na sio Pungugu ya hapo au baada ya hapo? Kwa nini isiwe miaka 5 ya Kikatiba?Acha makasiriko, siku 100 ni kipimo cha dunia nzima kupima uelekeo wa utawala mpya.
Narudia tena, acha makasiriko. Unahatarisha afya yako.Kiplmo cha Dunia nzima kilichoanzishwa wapi na lini? Eleza jinsi Siku 100 zilivyo na uhusiano wa muelekeo wa Utawala au Uongozi! Kwa nini Siku 100 na sio Pungugu ya hapo au baada ya hapo? Kwa nini isiwe miaka 5 ya Kikatiba?
Mkuu huu ni umbumbumbu. Haya Mambo mbona yako tele mitandaoni? Si ujisomee!! Unadhani siku 100 zimeanzishwa na ccm ama wakosoaji wa Samia? Ingia mtandaoni kuna maelezo ya kueleweka usiwe mvivu.Kiplmo cha Dunia nzima kilichoanzishwa wapi na lini? Eleza jinsi Siku 100 zilivyo na uhusiano wa muelekeo wa Utawala au Uongozi! Kwa nini Siku 100 na sio Pungugu ya hapo au baada ya hapo? Kwa nini isiwe miaka 5 ya Kikatiba?
Najiuliza pia. Hivi ameshindwa kabisa kumkamata mtukanaji Cyprian Mulaga Musiba!!?Mama hivi mmeshindwa kabisa kumkamata kigogo? Kama vipi muombe msaada kwa kwa fbi na cia
Hili nalo neno zuri kumuuliza ubaya qatu tisswameshafanya yao kwa waalikwa....maswali hayo hayatakuwepo.....mtashangaaVip kuhusu watu wetu waliopotea ,anamkakati gani kuhakikisha wanapatikana ,tujue hata makabuli yaoo....!
Cyplian wa nini tena wakati ni mtetezi wa haki!!Najiuliza pia. Hivi ameshindwa kabisa kumkamata mtukanaji Cyprian Mulaga Musiba!!?
Mnajuwa mnatakiwa muache viherehere mama ndiyo kwanza anaendelea na mchakato wakukutana na makundi mbalimbali na anaendelea kwanini mnalazimisha hao wapinzxani wawe wa kwanza? kwani ameshamaliza?1. Rais uliahidi kukutana na wapinzani, Je ni lini hasa wananchi watarajie mkutano huu?
2. Wewe ulikuwa makamu mwenyekiti wa BMK Mchakato huo haujafikia mwisho bado. Je unawaahidi nini wa watanzania ili mchakato huo uwezo kukamilika na kuwapatia wananchi katiba mpya?
Umbumbu Ni kunitaka Mimi nikopi methodologies za watu wengine kana kwamba hiyo Ni Natural phenomenon! Nimeumbwa Kwa akili inayojitegemea na sio akili za kukopi na ku-paste!Mkuu huu ni umbumbumbu. Haya Mambo mbona yako tele mitandaoni? Si ujisomee!! Unadhani siku 100 zimeanzishwa na ccm ama wakosoaji wa Samia? Ingia mtandaoni kuna maelezo ya kueleweka usiwe mvivu.
Rais Franklin Delano Roosevelt wa Marekani ndio mwanzilishi wa utaratibu wa siku 100 za mwanzo za rais. Wakati mwingine rais mwenyewe huwa anasema kuwa apewe siku 100 na ndani ya muda huo atakuwa keshafanya masuala fulani yaliyoandikwa kwenye ilani yake.Kiplmo cha Dunia nzima kilichoanzishwa wapi na lini? Eleza jinsi Siku 100 zilivyo na uhusiano wa muelekeo wa Utawala au Uongozi! Kwa nini Siku 100 na sio Pungugu ya hapo au baada ya hapo? Kwa nini isiwe miaka 5 ya Kikatiba?