Rashda Zunde
JF-Expert Member
- May 28, 2022
- 204
- 231
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, imekuwa mstari wa mbele kutekeleza kwa vitendo dhana halisi ya demokrasia hususan katika tafsiri ya demokrasia kuwa ni nguzo ya kisiasa inayoendesha serikali ya kidemokrasia.
Amekuwa kiongozi msikivu aliyekuja na mbinu mbadala ya kuwaweka watu pamoja na kuzungumzia maendeleo na amejitanabainisha ni muumini wa 4R ikiwa ni ufupisho wa maneno manne ya lugha ya kiingereza.
Maneno hayo ni Reconciliation (Maridhiano), Resiliency (Ustahamilivu), Reforms (Mabadiliko) na Rebuilding (Kujenga Upya), ambapo alisema yeye sio muumini wa tamhilia maarufu ya karne ya 19 ya lolanthe.
Tangu alipoingia madarakani ameweza kuwaweka pamoja wanasiasa wote na kufanya siasa kwa ustaarabu na uvumilivu na kama kuna vitendo vya ukiukwaji wa taratibu vinatoka kwao wenye na si serikalini.
Nchi inapumua na kila mmoja yuko huru kufanya siasa zake kwa sababu serikali imejielekeza katika kusaka maendeleo ya nchi na sio 'ku-deal' na kundi au makundi ya wanasiasa.
Kelele za uminywaji wa demokrasia zimepungua,w atu kukamatwa bila utaratibu au kuminywa uhuru wa kuzungumza nao hakuna tena. Rais Samia Suluhu anaisha katika demokrasia na kutekeleza kwa vitendo maono ya mwanazuoni Abraham Lincoln.
Amekuwa kiongozi msikivu aliyekuja na mbinu mbadala ya kuwaweka watu pamoja na kuzungumzia maendeleo na amejitanabainisha ni muumini wa 4R ikiwa ni ufupisho wa maneno manne ya lugha ya kiingereza.
Maneno hayo ni Reconciliation (Maridhiano), Resiliency (Ustahamilivu), Reforms (Mabadiliko) na Rebuilding (Kujenga Upya), ambapo alisema yeye sio muumini wa tamhilia maarufu ya karne ya 19 ya lolanthe.
Tangu alipoingia madarakani ameweza kuwaweka pamoja wanasiasa wote na kufanya siasa kwa ustaarabu na uvumilivu na kama kuna vitendo vya ukiukwaji wa taratibu vinatoka kwao wenye na si serikalini.
Nchi inapumua na kila mmoja yuko huru kufanya siasa zake kwa sababu serikali imejielekeza katika kusaka maendeleo ya nchi na sio 'ku-deal' na kundi au makundi ya wanasiasa.
Kelele za uminywaji wa demokrasia zimepungua,w atu kukamatwa bila utaratibu au kuminywa uhuru wa kuzungumza nao hakuna tena. Rais Samia Suluhu anaisha katika demokrasia na kutekeleza kwa vitendo maono ya mwanazuoni Abraham Lincoln.