Rais Samia Suluhu Hassan usikubali kuyumbishwa

Rais Samia Suluhu Hassan usikubali kuyumbishwa

Hivi mchakato wa Bunge la Katiba ulivugikaje?
JK ndiye chanzo cha kuvurugika kwa lile Bunge la Katiba, kwa kuteua wanasiasa wengi kuingia kwenye lile Bunge (inawezekana kwa kufahamu au kwa kutofahamu).

Baada ya kujaza Wanasiasa wengi, kukaibuka yale makundi mawili! Ccm na UKAWA! Kilichotokea baada ya pale, kimebakia tu kuwa huzuni kwa wapenda mabadiliko! Vijembe, ubabe, ubinafsi na ujuaji vikatawala!

Ccm wakataka Serikali mbili, Ukawa wakaungana na mapendekezo ya wananchi kutaka serikali tatu!!

Anyway, inauma sana mpaka leo kuendelea kutumia Katiba ile ile ya 1977! Naungana na Chadema kuipigania Katiba Mpya!
 
Umenitukana bure,ukisoma vizuri ujumbe wangu nitake radhi.(alisema Mimi Rais sikosei)
Kabugula ndugu yangu,
Samahani sana kaka!! Nilikuwa sijasoma between the lines nkafikiri ni wale wale Mahafidhina wanamtetea mama kwa upuuzi wao!
Uko sahihi kabisa kwamba CCM na M/kiti wao siku zote wako sahihi ila Wapinzani na Watz wanaowakosoa ndo wanakosea!! What a nonsensical idea?
 
Taarifa kwa Rais juu ya mambo mabaya na machafu kwa taifa letu inatosha kwa mama kukaza,hata wewe mleta mada ukiletewa ushahidi wa kuleta athari kwako kama Rais na nchi yako hauwezi kukubali kamwe.
 
Maza bana, dk ya 25 tu ulimi nje...poo kwa mapolice!!
Mapolice wa Tanzania ndo MAGAIDI WAKUBWA halafu wana wasingizia Wapinzani kama Mhe. Mbowe @ ndo Magaidi!!! Pambaf kabsaa!
Wao Mapolice a.k.a Wasojulikana do walopanga kumwua Tundu Lissu, hawahawa ndo waliowapoteza Ben Saanane na Axory Gwanda! Yumkini mpaka leo hawajakamata hata NZI tu wa kumsingizia kwa matukio haya..!!
Huyu IGP ZERO haijambui na hajielewi. But one day he gonna pay the Big Price. Malipo ni hapahapa duniani!
 
Taarifa kwa Rais juu ya mambo mabaya na machafu kwa taifa letu inatosha kwa mama kukaza,hata wewe mleta mada ukiletewa ushahidi wa kuleta athari kwako kama Rais na nchi yako hauwezi kukubali kamwe.
Wewe ndo mmoja wa Mahafidhina wa CCM wanafiki wakubwa kabisa. Nyie endeleeni na ubabe wenu tu lakini Mungu yupo na hakopeshi. Kama hamjajifunza kwa Mwenda zake subirini tu bakora ya Mungu!!!
Hivi Mhe. Mbowe alihusikanaje na kifo cha Mwendazake??? Huu uzushi meingine muwe mnajitafakari !!!
 
Hivi mchakato wa Bunge la Katiba ulivugikaje?
Bunge la Katiba lilikuwa chini ya Uongozii wa Mwenyekit8i iiiiii
Why kikundi cha wanaCDM wachache ndiyo wanakomaa na hiyo katiba bila uungaji mkono kutoka makundi mengine ya jamii?
Unataka kutetea nini ewe bwege usiyejitambua?
Katiba ni Mali ya Watz siyo ya CDM wala CCM wala mtu away yote!!!
Mahafidhina wa CCM acheni kuwayumbisha Watz tafadhalini sana!
Hivi mnajua kuna KATIBA PENDEKEZWA ambayo CCM mmeikatalia na kuifungia kwene makabati yenu inakula vumbi??
Hivi enyi Mahafidhina mnajua kwamba Nchi ilitumia takribani Bilioni 270 kodi za Watz? Kwa ujinga na ulevi tu wa Madaraka mkazuia mchakato kwa Tamaa zenyu kwa maana mlijua na mnajua kabisa KATIBA MPYA ikianza kutumika ndiyo KIFO CHA CCM!!!
 
Hivi mchakato wa Bunge la Katiba ulivugikaje?
Mama Samia Suluhu Hassan alikuwa MAKAMU MWENYEKITI WA BMK(Bunge Maalumu la Katiba). Leo ni Rais anadai hataki kusikia habari ya Katiba Mpya!! Kwa kweli ukishangaa ya Mussa utaona ya Mafirauni.
HAKIKA CCM NI JINAMIZI LA TANZANIA. Nchi hii haitakaa ifikie DEMOKRASIA YA KWELI MPAKA HILI DUBWASHA LIWE LIMETOKOMEZWA!!!
 
Mama yetu wa Taifa, mpendwa wetu nani kama Mama?

Umeanza vzr sana ktk siku zako 100 kwa kusimamia Haki, Sheria, Amani, Upendo na Mshikamano. Katika siku 100 tumehuhudia kesi za kubambikiwa zikifutwa, watu waliodhulumiwa wakirudishiwa haki zao, wapinzani wakijumuishwa kwene Serikali yako etc.

Kasoro imeanza kujitokeza juzi wakti CHADEMA na uongozi wake walipotangaza kufanya Kongamano la ndani kuhusu Katiba mpya!
Kitendo cha kuwakamata Viongozi Waandamizi wa CHADEMA huku Mwenyekiti Mhe. Freeman Aikael Mbowe akikamatwa na kurudishwa Dar @ KUJIBU KESI/TUHUMA ZA UGAIDI KUTAKA KUUA VIONGOZI WA KITAIFA ni DOA KUBWA KWA UTAWALA WAKO MAMA YANGU.

Nina shawishika kabisa haya siyo mawazo yako! Tatizo ninalo liona hapa ni MAHAFIDHINA WA CCM ambao wameanza KUKUPOTOSHA ili upoteze mwelekeo ili urudi kulekule kwa mtangulizi wako Hayati Magufuli. Mama siasa zinahitaji uvumilivu, upendo na mshikamano. Usije ukakubali Mahafidhina wa CCM waanze kukuyumbisha. Wengi wana hofu ya kupoteza maharaja!

Usikubali Mahafidhina waanze kukuyumbisha wakilitumia JESHI LA POLISI kukuchonganisha na Watanzania hasa Wapinzani. Haiwezekani Mhe. Mbowe akamatwe na RPC MWANZA kwa madai ya mkutano wa ndani @ usio na kibali!! Halafu Ghafla polisi wakabadilisha maelezo kuwa MHE. MBOWE AMERUDISHWA DAR ANAKODAIWA ALIPANGA MAUAJI YA VIONGOZI WA SERIKALI!! Huu uongo na utengenezaji wa matukio ili kuwanyamazisha Wapinzani utali gharimu Taifa.

Kwa sasa kuna hasira za Watz kuanza KUBAMBIKIWA UTITIRI WA KODI KWENYE MIAMALA YA SIMU NA MAFUTA YA MAGARI! Ulishatoa maelekezo kwa Mawaziri husika kuangalia kodi hizi. Lakini ujue kuna tabia ya Mawaziri Mahafidhina ndani ya CCM kubadilisha mtazamo/mwelekeo wa Watz ili waache kufuatilia mambo ya msingi yanayowagusa.

Hii ni aibu kubwa kwa Serikali inayotaka kuongoza nchi kwa MATUKIO YA KUBUMBA.

Wasaalamu.
Anajiyumbisha mwenyewe na ujinga wake wa kujipaka ma lips stick kila mara
 
Yaani miezi michache tu madaraka yamesha mlevya mtu! Sijui mpaka 2025, itakuwaje!! Urais wenyewe ni wa zari tu la mentali!! Lakini siyo kujitutumua huko!!

ningekuwa ndiyo mimi, ningekuwa very humble! Ndani ya hii miaka minne, ningehakikisha Katiba Mpya ya Wananchi inapatikana kwa haki! Ningetanguliza maslahi ya Nchi kwanza, huku ya kwangu na chama yakifuatia!

Na hiyo 2025, nisingegombea!
Hakika ningestaafu kwa heshima.
Kulikuwa na watu wengi walikuwa na shaka na SSH tena wengi kutoka ccm sasa wameongezeka kutoka upinzani. Nashauri achukue hatua kuhusu hili.
 
.... CHADEMA wana siasa za confrontation. Wanang'ang'aniza wanachokihisi kinakinzana na CCM.

Alafu hawaelewi....Rais kasema "anataka kujenga uchumi'' wamuache kwanza. Au mpaka aseme hazina hakuna fedha? ( Jiwe kafilisi)

Hata Mama Samia akiweka mchakato wa katiba, bado watazua kingine.

Na kingine matusi ya wakina Mdude..walishapewa fair warning, 'tukosoane kistaarabu' wakaacha wapumbavu watukane kwenye majukwaa..Mbowe analipa gharama.
Kwa kiwango gani ndipo tujue umejengek. Ni kwa muda gani
 
Mama yetu wa Taifa, mpendwa wetu nani kama Mama?

Umeanza vzr sana ktk siku zako 100 kwa kusimamia Haki, Sheria, Amani, Upendo na Mshikamano. Katika siku 100 tumehuhudia kesi za kubambikiwa zikifutwa, watu waliodhulumiwa wakirudishiwa haki zao, wapinzani wakijumuishwa kwene Serikali yako etc.

Kasoro imeanza kujitokeza juzi wakti CHADEMA na uongozi wake walipotangaza kufanya Kongamano la ndani kuhusu Katiba mpya!
Kitendo cha kuwakamata Viongozi Waandamizi wa CHADEMA huku Mwenyekiti Mhe. Freeman Aikael Mbowe akikamatwa na kurudishwa Dar @ KUJIBU KESI/TUHUMA ZA UGAIDI KUTAKA KUUA VIONGOZI WA KITAIFA ni DOA KUBWA KWA UTAWALA WAKO MAMA YANGU.

Nina shawishika kabisa haya siyo mawazo yako! Tatizo ninalo liona hapa ni MAHAFIDHINA WA CCM ambao wameanza KUKUPOTOSHA ili upoteze mwelekeo ili urudi kulekule kwa mtangulizi wako Hayati Magufuli. Mama siasa zinahitaji uvumilivu, upendo na mshikamano. Usije ukakubali Mahafidhina wa CCM waanze kukuyumbisha. Wengi wana hofu ya kupoteza maharaja!

Usikubali Mahafidhina waanze kukuyumbisha wakilitumia JESHI LA POLISI kukuchonganisha na Watanzania hasa Wapinzani. Haiwezekani Mhe. Mbowe akamatwe na RPC MWANZA kwa madai ya mkutano wa ndani @ usio na kibali!! Halafu Ghafla polisi wakabadilisha maelezo kuwa MHE. MBOWE AMERUDISHWA DAR ANAKODAIWA ALIPANGA MAUAJI YA VIONGOZI WA SERIKALI!! Huu uongo na utengenezaji wa matukio ili kuwanyamazisha Wapinzani utali gharimu Taifa.

Kwa sasa kuna hasira za Watz kuanza KUBAMBIKIWA UTITIRI WA KODI KWENYE MIAMALA YA SIMU NA MAFUTA YA MAGARI! Ulishatoa maelekezo kwa Mawaziri husika kuangalia kodi hizi. Lakini ujue kuna tabia ya Mawaziri Mahafidhina ndani ya CCM kubadilisha mtazamo/mwelekeo wa Watz ili waache kufuatilia mambo ya msingi yanayowagusa.

Hii ni aibu kubwa kwa Serikali inayotaka kuongoza nchi kwa MATUKIO YA KUBUMBA.

Wasaalamu.
Aisee Mama amekwama tena
 
Yaani miezi michache tu madaraka yamesha mlevya mtu! Sijui mpaka 2025, itakuwaje!! Urais wenyewe ni wa zari tu la mentali!! Lakini siyo kujitutumua huko!!

ningekuwa ndiyo mimi, ningekuwa very humble! Ndani ya hii miaka minne, ningehakikisha Katiba Mpya ya Wananchi inapatikana kwa haki! Ningetanguliza maslahi ya Nchi kwanza, huku ya kwangu na chama yakifuatia!

Na hiyo 2025, nisingegombea!
Hakika ningestaafu kwa heshima.
Ndio maana wewe ni Machinga pale Mbagala
 
Bunge la Katiba lilikuwa chini ya Uongozii wa Mwenyekit8i iiiiii

Unataka kutetea nini ewe bwege usiyejitambua?
Katiba ni Mali ya Watz siyo ya CDM wala CCM wala mtu away yote!!!
Mahafidhina wa CCM acheni kuwayumbisha Watz tafadhalini sana!
Hivi mnajua kuna KATIBA PENDEKEZWA ambayo CCM mmeikatalia na kuifungia kwene makabati yenu inakula vumbi??
Hivi enyi Mahafidhina mnajua kwamba Nchi ilitumia takribani Bilioni 270 kodi za Watz? Kwa ujinga na ulevi tu wa Madaraka mkazuia mchakato kwa Tamaa zenyu kwa maana mlijua na mnajua kabisa KATIBA MPYA ikianza kutumika ndiyo KIFO CHA CCM!!!
Hahaha, waliosusia katiba si ndio hao wapinzani wenu uchwara ambao wengine leo hii mnawaita wasaliti (Mbowe, Lipumba, Mbatia=UKAWA), kilaza mkubwa
 
Why kikundi cha wanaCDM wachache ndiyo wanakomaa na hiyo katiba bila uungaji mkono kutoka makundi mengine ya jamii?
katiba inaweza kuhitajika.lakn sio priority ya watz.

Narudia tena sio kipaumbele chao.

kipaumbele maana yake ni lile hitaji lisilohtaji kusubr.ni la lazima.

Afya, maji, elimu nk ndio vpaumbele.

Hata hyo katiba inayodaiwa..content yao au focus yao..ni masuala ya uchaguzi tu.
 
JK ndiye chanzo cha kuvurugika kwa lile Bunge la Katiba, kwa kuteua wanasiasa wengi kuingi kwenye lile Bunge (inawezekana kwa kufahamu au kutofahamu).

Baada ya kujaza Wanasiasa wengi, kukaibuka yale makundi mawili! Ccm na UKAWA! Kilichotokea baada ya pale, kimebakia tu kuwa huzuni kwa wapenda mabadiliko! Vijembe, ubabe, ubinafsi na ujuaji vikatawala!

Ccm wakataka Serikali mbili, Ukawa wakaungana na mapendekezo ya wananchi kutaka serikali tatu!!

Anyway, inauma sana mpaka leo kuendelea kutumia Katiba ile ile ya 1977! Naungana na Chadema kuipigania Katiba Mpya!
Chadema wanakosea sana kudai katiba ya Warioba tu ili hali kuna mapendekezo ya katiba ya Bunge la Katiba. Wawe strategic kwa kudai katiba mpya itakayounganisha maudhui ya rasimu ya warioba na ile pendekezwa hapo wataeleweka kwa vile zote zina uhalali wa kisheria
 
Chadema wanakosea sana kudai katiba ya Warioba tu ili hali kuna mapendekezo ya katiba ya Bunge la Katiba. Wawe strategic kwa kudai katiba mpya itakayounganisha maudhui ya rasimu ya warioba na ile pendekezwa hapo wataeleweka kwa vile zote zina uhalali wa kisheria
Acha porojo zako. Hakuna Katiba ya Warioba brother! Tulicho nacho ni KATIBA PENDEKEZWA iliyotokana na BMK chinj ya Usimamizi wa Hayati Samwel Sitta kama M/Kiti na Mama Samia Suluhu kama M/Mkiti!.
 
katiba inaweza kuhitajika.lakn sio priority ya watz.

Narudia tena sio kipaumbele chao.

kipaumbele maana yake ni lile hitaji lisilohtaji kusubr.ni la lazima.

Afya, maji, elimu nk ndio vpaumbele.

Hata hyo katiba inayodaiwa..content yao au focus yao..ni masuala ya uchaguzi tu.
Usiwasemehe watz, kama siyo hitaji basi ni kwa upande/mtazamo wako. Na siyo kila mtu yuko timamu upstairs so jiangalie
 
Back
Top Bottom