It will cots her at the endKuna MFUMO DUME unamnyemelea na uko ndani ya ri-CCM lake mwenyewe....!!! Asipoangalia atatupwa nje very soon! Just a matter of time.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It will cots her at the endKuna MFUMO DUME unamnyemelea na uko ndani ya ri-CCM lake mwenyewe....!!! Asipoangalia atatupwa nje very soon! Just a matter of time.
Anaogopa kivuli chakeMama kuna baadhi ya viongoz anawaogopa
Unata kujiaminisha kwamba lile Bunge Maalum la Katiba mwaka 2014 lilikuwa kusanyiko la Chadema? Tumia akili badala ya makamasi wewe.Why kikundi cha wanaCDM wachache ndiyo wanakomaa na hiyo katiba bila uungaji mkono kutoka makundi mengine ya jamii?
Tume ya Jaji Warioba ilitembea Tanzania nzima kupata maoni ya Watanzania juu Katiba wanayoitaka,lakini kikundi kidogo cha wanaccm wasiozidi 400 kikachakachua maoni ya Watanzania milioni 50 kwa uchu wao wa kutaka kuendelea kutawala. Ni CCM waliovuruga huu mchakato.Hivi mchakato wa Bunge la Katiba ulivugikaje?