kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Donald Trump kabla ya urais sio tu kwamba hakuwahi kugombea chochote ila pia hakuwahi kuwa mwanasiasa! Sometimes situations za aina hiyo zinatokeaga.Nimefuatilia sehemu Mbalimbali yanapopatikana madini ya historia ya Mhe. RAIS, sijapata sehemu amewahi kugombea akapigiwa kura na kushinda. Naomba anayejua kama amewahi kushinda Uchaguzi atushirikishe.
Kama ajawahi kushinda, Je wapo Marais wengine walioingia madarakani kidemokrasia ambao hakuna historia Yao yakushinda Uchaguzi Kwenye maisha Yao? Kama Wapo situation yakuingia kwao madarakani ilikuwaje?
Donald Trump kabla ya urais sio tu kwamba hakuwahi kugombea chochote ila pia hakuwahi kuwa mwanasiasa! Sometimes situations za aina hiyo zinatokeaga.
Huyu aliwahi kugombea ubunge huko Zanzibar , bali aliangukia pua bila huruma lakini amekuwa mtu wa kubebwa bebwa tuNimefuatilia sehemu Mbalimbali yanapopatikana madini ya historia ya Mhe. RAIS, sijapata sehemu amewahi kugombea akapigiwa kura na kushinda. Naomba anayejua kama amewahi kushinda Uchaguzi atushirikishe.
Kama ajawahi kushinda, Je wapo Marais wengine walioingia madarakani kidemokrasia ambao hakuna historia Yao yakushinda Uchaguzi Kwenye maisha Yao? Kama Wapo situation yakuingia kwao madarakani ilikuwaje?
... kama mleta mada hajaweka scope kwanini mimi niweke?Huwa ni upopoyo kulinganisha Mambo ya Marekani na Tanzania. Tafadhali tafuta mifano mingine kama ya Malawi hivi na the likes.
Aliwahi kushinda uchaguzi wa ubunge Zanzibar baada ya kuwa mbunge wa viti maalumu kwa muda. Ila raisi wetu ana nyota aisee. Toka viti maalumu alikuwa anakula wizara tuHuyu aliwahi kugombea ubunge huko Zanzibar , bali aliangukia pua bila huruma lakini amekuwa mtu wa kubebwa bebwa tu
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
... kuna watu wana bahati za kuzaliwa sio mchezo!Huyu aliwahi kugombea ubunge huko Zanzibar , bali aliangukia pua bila huruma lakini amekuwa mtu wa kubebwa bebwa tu
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Donald Trump kabla ya urais sio tu kwamba hakuwahi kugombea chochote ila pia hakuwahi kuwa mwanasiasa! Sometimes situations za aina h
lakini alichaguliwa kuwa Rais, ila huyu katiba mbovu imembeba ila ni sawa tu kwa sisi tunaoamini ‘kila kitu kinatokea kwasababu’Donald Trump kabla ya urais sio tu kwamba hakuwahi kugombea chochote ila pia hakuwahi kuwa mwanasiasa! Sometimes situations za aina hiyo zinatokeaga.
Unajua maana ya connection , tunaheshimu jf tu , lakini tukifunguka hapa nchi haitakalika... kuna watu wana bahati za kuzaliwa sio mchezo!