Rais Samia Suluhu, Kuzaliwa 20/1/20/1960 [64], Tundu Lissu, kuzaliwa 21/1/1968 [56]. Kwa takwimu hizi ni kwa vipi Lissu anaweza kuwa “mtoto wa Samia”?

Rais Samia Suluhu, Kuzaliwa 20/1/20/1960 [64], Tundu Lissu, kuzaliwa 21/1/1968 [56]. Kwa takwimu hizi ni kwa vipi Lissu anaweza kuwa “mtoto wa Samia”?

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
1,967
Reaction score
4,267
Bi. Samia Suluhu Hassan (Rais wa JMT) ni mwanamke. Alizaliwa tarehe 27/1/1960 Umri wake Sasa ni miaka 64..............
Screenshot_20240825-221134.png


Tundu A. M. Lissu (Makamu M/Kiti CHADEMA Taifa Upande wa Tanganyika na mgombea Urais ktk uchaguzi mkuu wa 2020) ni mwanamume. Alizaliwa tarehe 20/1/1968. Umri wake kwa Sasa ni miaka 56...........
Screenshot_20240825-221259.png


Tofauti yao kiumri kati ya Bi. Samia Suluhu Hassan na Tundu Lissu ni miaka 8 kwa maana kuwa Samia Suluhu Hassan ni mkubwa kiumri kwa TL kwa miaka 8 tu...........

Juzi akiwa kwao Zanzibar, kamwita Tundu Lissu "mwanangu". Sijui kwa kutumia kigezo kipi. Je, kwa kigezo kuwa "kila mwanamke ni mama...?"

Lakini kama ametumia kigezo cha Umri, hapo atakuwa amechemka vibaya. Kwa vyovyote and by default hawezi kumzaa Tundu Lissu ktk Umri wake wa miaka 8........!!

Nadhani there's something wrong with this mama. Binafsi, naitazama na kuitafsiri hii "joke" ya huyu mama dhidi ya TL in a very serious note.....

Bila shaka, Tundu Lissu keshamshanganya kiasi cha yeye na kambi yake huko ikiongozwa na Lucas Mwashambwa kwa mbali akisaidiwa na Tlaatlaah kukabiliwa na tatizo sugu linalojulikana kwa lugha ya malkia wa Uingereza kama "tunduphobia syndrome.........!!"

Hakika kabisa huyu mama kumwita mwanamume aliye karibu kwa 99% kulingana naye kiumri "Mwanangu" ni kupitiwa na kuchanganyikiwa kwa kiwango cha juu sana.......!

Siku zote amekuwa akim - address kama "mdogo wangu". Wewe unafikiri juzi ikawaje aanze kumwita "mwanangu.....???"
 
Mwanamke ni mama....

Kwa heshima ya ulezi wa akina mama sishangai kumsikia mwanamama akimuita mwanaume aliyemzidi umri kuwa ni MTOTO WAKE....

Hili hutolisikia nchi za ulaya bali kwetu waafrika na mila zetu za heshima za kuutukuza UMAMA NA UBABA.....

Hakika chifu Hangaya ni mama wa wengi ,kiumri ,kimadaraka na kimamlaka......[emoji7][emoji7]

#Ewe Mwenyezi Mungu tutunzie mja wako Rais Samia Suluhu Hassan ,aaamin aaaamin[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mwanamke ni mama....

Kwa heshima ya ulezi wa akina mama sishangai kumsikia mwanamama akimuita mwanaume aliyemzidi umri kuwa ni MTOTO WAKE....

Hili hutolisikia nchi za ulaya bali kwetu waafrika na mila zetu za heshima za kuutukuza UMAMA NA UBABA.....

Hakika chifu Hangaya ni mama wa wengi ,kiumri ,kimadaraka na kimamlaka......[emoji7][emoji7]

#Ewe Mwenyezi Mungu tutunzie mja wako Rais Samia Suluhu Hassan ,aaamin aaaamin[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Una hoja za kijinga sana! kwahiyo Dadaako ni Mamaako? Unatia aibu sana
 
Bi. Samia Suluhu Hassan (Rais wa JMT) ni mwanamke. Alizaliwa tarehe 27/1/1960 Umri wake Sasa ni miaka 64..............
View attachment 3079238

Tundu A. M. Lissu (Makamu M/Kiti CHADEMA Taifa Upande wa Tanganyika na mgombea Urais ktk uchaguzi mkuu wa 2020) ni mwanamume. Alizaliwa tarehe 20/1/1968. Umri wake kwa Sasa ni miaka 56...........
View attachment 3079239

Tofauti ya kiumri kati ya Bi. Samia Suluhu Hassan na Tundu Lissu miaka 8 tu kiumri kwa maana kuwa Samia Suluhu Hassan anamzidi TL kwa miaka 8...........

Juzi akiwa kwao Zanzibar, kamwita Tundu Lissu "mwanangu". Sijui kwa kutumia kigezo kipi. Je, kwa kigezo kuwa "kila mwanamke ni mama...?"

Lakini kama ametumia kigezo cha Umri, hapo atakuwa amechemka vibaya. Kwa vyovyote and by default hawezi kumzaa Tundu Lissu ktk Umri wake wa miaka 8........!!

Nadhani there's something wrong with this mama. Binafsi, naitazama na kuitafsiri hii "joke" ya huyu mama dhidi ya TL in a very serious note.....

Bila shaka, Tundu Lissu keshamshanganya kiasi cha yeye na kambi yake huko ikiongozwa na Lucas Mwashambwa kwa mbali akisaidiwa na Tlaatlaah kukabiliwa na tatizo sugu linalojulikana kwa lugha ya malkia wa Uingereza kama "tunduphobia syndrome.........!!"

Hakika kabisa huyu mama kumwita mwanamume aliye karibu kwa 99% kulingana naye kiumri "Mwanangu" ni kupitiwa na kuchanganyikiwa kwa kiwango cha juu sana.......!

Siku zote amekuwa akim - address kama "mdogo wangu". Wewe unafikiri juzi ikawaje aanze kumwita "mwanangu.....???"
Mkuu nilikua na swali pia kichwani pia , mwisho nikaona ni maneno ya siasa tu , kwa hoja yako SSH hawezi kuwa na mtoto wa umri huo. So lissu sio mwanae ni mtu na dada ake period
 
Aisee Mama Anaweweseka na huyu mtu.

Juzi kawaambia wahifahi wanyama wamwite Simba Tundu Lisu[emoji23][emoji23]
Naam ukimuuliza mtu mzima aliyekulia Mahambe wilayani Ikungi atakunong'oneza kuwa ndugu TL ni msumbufu toka utoto wake....sijui ni "ADHD "?!!!

Ni Simba asiyetulia....

ADHD- Attention deficit hyperactive disorder.

#Nchi Kwanza[emoji7]
#Tuko na Simba wetu asiyetulia mh.Tundu Lissu[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ni kukosa agenda au nini? Vijana wanavyoitana kiongozi, mwana, mkuu huwa ndo iko hivyo? Acheni upuuzi. Ongeleeni hata kilimo cha pareto au alizeti Singida.
Mimi naitazama na kuitafsiri hiyo joke with a very serious note hasahasa ukitazama na kuzingatia yanayoendelea sasa ktk nchi yetu.......

Wewe nenda kalime pareto huko...........

Lakini sisi pamoja na hayo, bado macho yetu na akili na ufahamu wetu na udadisi wetu kufuatilia na kuchunguza kila jambo uko upright......

Hata hivyo, Asante kwa maoni na mtazamo wako maana na wewe ndivyo ulivyo......!!
 
Bi. Samia Suluhu Hassan (Rais wa JMT) ni mwanamke. Alizaliwa tarehe 27/1/1960 Umri wake Sasa ni miaka 64..............
View attachment 3079238

Tundu A. M. Lissu (Makamu M/Kiti CHADEMA Taifa Upande wa Tanganyika na mgombea Urais ktk uchaguzi mkuu wa 2020) ni mwanamume. Alizaliwa tarehe 20/1/1968. Umri wake kwa Sasa ni miaka 56...........
View attachment 3079239

Tofauti ya kiumri kati ya Bi. Samia Suluhu Hassan na Tundu Lissu miaka 8 tu kiumri kwa maana kuwa Samia Suluhu Hassan anamzidi TL kwa miaka 8...........

Juzi akiwa kwao Zanzibar, kamwita Tundu Lissu "mwanangu". Sijui kwa kutumia kigezo kipi. Je, kwa kigezo kuwa "kila mwanamke ni mama...?"

Lakini kama ametumia kigezo cha Umri, hapo atakuwa amechemka vibaya. Kwa vyovyote and by default hawezi kumzaa Tundu Lissu ktk Umri wake wa miaka 8........!!

Nadhani there's something wrong with this mama. Binafsi, naitazama na kuitafsiri hii "joke" ya huyu mama dhidi ya TL in a very serious note.....

Bila shaka, Tundu Lissu keshamshanganya kiasi cha yeye na kambi yake huko ikiongozwa na Lucas Mwashambwa kwa mbali akisaidiwa na Tlaatlaah kukabiliwa na tatizo sugu linalojulikana kwa lugha ya malkia wa Uingereza kama "tunduphobia syndrome.........!!"

Hakika kabisa huyu mama kumwita mwanamume aliye karibu kwa 99% kulingana naye kiumri "Mwanangu" ni kupitiwa na kuchanganyikiwa kwa kiwango cha juu sana.......!

Siku zote amekuwa akim - address kama "mdogo wangu". Wewe unafikiri juzi ikawaje aanze kumwita "mwanangu.....???"
nadhani jambo muhimu zaidi kwa waTanzania ni yale maendeleo wanayohitaji kule walipo mathalani, maji, umeme wa uhakika, huduma za afya, maji, miundombinu , biashara, kilimo usafirisha wa anga,majini na hata huu wa sgr,

haya ndio hasa waTanzania wanafurahia na ndio maana wanampenda sana huyu mama Dr Samia Suluhu Hassan, na ndio maana waTanzania wote nchi nzima wanamuomba huyu mama shupavu aendelee kua Rais hadi 2030...

huto tu political statements nadhani waTanzania hawana haja ya kubabaika navyo kabisa..
kikikubwa wameshaamua ya 2025 ni Dr.Samia Suluhu Hassan ikiwa atagombea uraisi tena 🐒
 
Una hoja za kijinga sana! kwahiyo Dadaako ni Mamaako? Unatia aibu sana
Sijawahi kuwa mwerevu kwako dadangu Tusekelege....

Mimi mnyakyusa kama ulivyo wewe....kule kwetu Matema ,dada ana thamani sana....sisi ni MATRILINEAL....

Sikushangaa mh.Rais Samia kupewa uchifu wa Hangaya...

Sitoacha dada zangu kuwaita mama kwani simaanishi mama mzazi aliyenizaa....

Ya mtoto wa MWENZAKO NI MWANAO[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Bi. Samia Suluhu Hassan (Rais wa JMT) ni mwanamke. Alizaliwa tarehe 27/1/1960 Umri wake Sasa ni miaka 64..............
View attachment 3079238

Tundu A. M. Lissu (Makamu M/Kiti CHADEMA Taifa Upande wa Tanganyika na mgombea Urais ktk uchaguzi mkuu wa 2020) ni mwanamume. Alizaliwa tarehe 20/1/1968. Umri wake kwa Sasa ni miaka 56...........
View attachment 3079239

Tofauti yao kiumri kati ya Bi. Samia Suluhu Hassan na Tundu Lissu ni miaka 8 kwa maana kuwa Samia Suluhu Hassan ni mkubwa kiumri kwa TL kwa miaka 8 tu...........

Juzi akiwa kwao Zanzibar, kamwita Tundu Lissu "mwanangu". Sijui kwa kutumia kigezo kipi. Je, kwa kigezo kuwa "kila mwanamke ni mama...?"

Lakini kama ametumia kigezo cha Umri, hapo atakuwa amechemka vibaya. Kwa vyovyote and by default hawezi kumzaa Tundu Lissu ktk Umri wake wa miaka 8........!!

Nadhani there's something wrong with this mama. Binafsi, naitazama na kuitafsiri hii "joke" ya huyu mama dhidi ya TL in a very serious note.....

Bila shaka, Tundu Lissu keshamshanganya kiasi cha yeye na kambi yake huko ikiongozwa na Lucas Mwashambwa kwa mbali akisaidiwa na Tlaatlaah kukabiliwa na tatizo sugu linalojulikana kwa lugha ya malkia wa Uingereza kama "tunduphobia syndrome.........!!"

Hakika kabisa huyu mama kumwita mwanamume aliye karibu kwa 99% kulingana naye kiumri "Mwanangu" ni kupitiwa na kuchanganyikiwa kwa kiwango cha juu sana.......!

Siku zote amekuwa akim - address kama "mdogo wangu". Wewe unafikiri juzi ikawaje aanze kumwita "mwanangu.....???"
Ni Kwa sababu Lissu hazeeki unaweza kudhani unamzaa. Kumbe ni Mzee Mwenzio.
 
Mwanamke ni mama....

Kwa heshima ya ulezi wa akina mama sishangai kumsikia mwanamama akimuita mwanaume aliyemzidi umri kuwa ni MTOTO WAKE....

Hili hutolisikia nchi za ulaya bali kwetu waafrika na mila zetu za heshima za kuutukuza UMAMA NA UBABA.....

Hakika chifu Hangaya ni mama wa wengi ,kiumri ,kimadaraka na kimamlaka......[emoji7][emoji7]

#Ewe Mwenyezi Mungu tutunzie mja wako Rais Samia Suluhu Hassan ,aaamin aaaamin[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
In politics, mwanamke mliye sawa naye kiumri akianza kujitetea kwa kauli kuwa "hujui Mimi ni mama yako", tambua mara moja kuwa ameshalegea, yuko tayari kutoa chochote........

Hii ni tabia ya "Delilah" yule mwanamke mnafiki wa kwenye biblia aliyejifanya kumpenda Samson, mnadhiri wa Mungu.......!!
 
Back
Top Bottom