Rais Samia Suluhu, Kuzaliwa 20/1/20/1960 [64], Tundu Lissu, kuzaliwa 21/1/1968 [56]. Kwa takwimu hizi ni kwa vipi Lissu anaweza kuwa “mtoto wa Samia”?

Rais Samia Suluhu, Kuzaliwa 20/1/20/1960 [64], Tundu Lissu, kuzaliwa 21/1/1968 [56]. Kwa takwimu hizi ni kwa vipi Lissu anaweza kuwa “mtoto wa Samia”?

Mwanamke ni mama....

Kwa heshima ya ulezi wa akina mama sishangai kumsikia mwanamama akimuita mwanaume aliyemzidi umri kuwa ni MTOTO WAKE....

Hili hutolisikia nchi za ulaya bali kwetu waafrika na mila zetu za heshima za kuutukuza UMAMA NA UBABA.....

Hakika chifu Hangaya ni mama wa wengi ,kiumri ,kimadaraka na kimamlaka......[emoji7][emoji7]

#Ewe Mwenyezi Mungu tutunzie mja wako Rais Samia Suluhu Hassan ,aaamin aaaamin[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
No, you omitted something; she married at 18 yrs of age, Tundu was 10 yrs. That is how she remembers. A kid at 10 can call an 18 married mother in her calculations. Got it?
 
Mwanamke yeyote mwenye cheo au mamlaka ni mama by the late MWINYI sr.

Ingawa UVCCM wanataka kuharibu muktadha mzima wa hilo,na kujiweka alipo abdul na dada yake wanu.
 
Watanzania bhana mnatamani rais wa Nchi awe na visa na wapinzani ndio raha yenu kumtaja tu Tundu Lissu ni mwanangu mnaumia mbaya daah na yule ni Rais wa Nchi..
 
Ni mwanangu au mshikaji au shosti au yaani ni hivyoo
 
Bi. Samia Suluhu Hassan (Rais wa JMT) ni mwanamke. Alizaliwa tarehe 27/1/1960 Umri wake Sasa ni miaka 64..............
View attachment 3079238

Tundu A. M. Lissu (Makamu M/Kiti CHADEMA Taifa Upande wa Tanganyika na mgombea Urais ktk uchaguzi mkuu wa 2020) ni mwanamume. Alizaliwa tarehe 20/1/1968. Umri wake kwa Sasa ni miaka 56...........
View attachment 3079239

Tofauti yao kiumri kati ya Bi. Samia Suluhu Hassan na Tundu Lissu ni miaka 8 kwa maana kuwa Samia Suluhu Hassan ni mkubwa kiumri kwa TL kwa miaka 8 tu...........

Juzi akiwa kwao Zanzibar, kamwita Tundu Lissu "mwanangu". Sijui kwa kutumia kigezo kipi. Je, kwa kigezo kuwa "kila mwanamke ni mama...?"

Lakini kama ametumia kigezo cha Umri, hapo atakuwa amechemka vibaya. Kwa vyovyote and by default hawezi kumzaa Tundu Lissu ktk Umri wake wa miaka 8........!!

Nadhani there's something wrong with this mama. Binafsi, naitazama na kuitafsiri hii "joke" ya huyu mama dhidi ya TL in a very serious note.....

Bila shaka, Tundu Lissu keshamshanganya kiasi cha yeye na kambi yake huko ikiongozwa na Lucas Mwashambwa kwa mbali akisaidiwa na Tlaatlaah kukabiliwa na tatizo sugu linalojulikana kwa lugha ya malkia wa Uingereza kama "tunduphobia syndrome.........!!"

Hakika kabisa huyu mama kumwita mwanamume aliye karibu kwa 99% kulingana naye kiumri "Mwanangu" ni kupitiwa na kuchanganyikiwa kwa kiwango cha juu sana.......!

Siku zote amekuwa akim - address kama "mdogo wangu". Wewe unafikiri juzi ikawaje aanze kumwita "mwanangu.....???"
Mwanangu mwenyewe punguza nongwa basi.
 
Watanzania bhana mnatamani rais wa Nchi awe na visa na wapinzani ndio raha yenu kumtaja tu Tundu Lissu ni mwanangu mnaumia mbaya daah na yule ni Rais wa Nchi..
Siyo Watanzania ni baadhi ya wajinga wachache.

Aina hii ya watu hawezi kumtambulisha dada yake kama dada kwakuwa kamzidi umri atakutambulisha huyu ni mdogo wangu, kumbe mwanamke hata ukimpita umri kwa kuzaliwa ni dada and na kinyume chake.
 
Mama Samia Suluhu Hassan ni Mama wa Taifa kwa cheo chake, yeye ni Mama wa watanzania wote Lissu akiwa mmoja wao.
 
mwanangu means mshikaji huku Buza 😃Alafu mbona TAL hasononeki?alipopigwa risasi yeye alienda kumwona Nairobi,bila ya kujali kilichowapata Nyalandu,na akaenda Ubeljiji,Nampenda mpaka basi siasa za huu mama,natamani nami aniite Mwanangu,yaani utanzania wetu hauwezi kamwe kuuwawa na vyama vya siasa..
 
Siyo Watanzania ni baadhi ya wajinga wachache.

Aina hii ya watu hawezi kumtambulisha dada yake kama dada kwakuwa kamzidi umri atakutambulisha huyu ni mdogo wangu, kumbe mwanamke hata ukimpita umri kwa kuzaliwa ni dada and na kinyume chake.
Watanzania wengi wamedumaa ndio maana Nchi inaendeshwa wanavyotaka..
 
Huko CCM kabudi na lukuvi ni kaka zake makonda wa karibu kabisa
 
Lissu anastahili kabisa kuitwa mtoto kwa sababu kuna mengi sana anayotakiwa kufundishwa na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
 
Kwanini MUNGU hatumuiti babu au mpaka leo hajafikisha miaka 100? siyo wote wanaomuita Rais mama kuwa ni watoto wake, unapokuwa kiongozi tayari unawaongoza wote ni watoto wako hata kama wanakuzidi umri.
 
Bi. Samia Suluhu Hassan (Rais wa JMT) ni mwanamke. Alizaliwa tarehe 27/1/1960 Umri wake Sasa ni miaka 64..............
View attachment 3079238

Tundu A. M. Lissu (Makamu M/Kiti CHADEMA Taifa Upande wa Tanganyika na mgombea Urais ktk uchaguzi mkuu wa 2020) ni mwanamume. Alizaliwa tarehe 20/1/1968. Umri wake kwa Sasa ni miaka 56...........
View attachment 3079239

Tofauti yao kiumri kati ya Bi. Samia Suluhu Hassan na Tundu Lissu ni miaka 8 kwa maana kuwa Samia Suluhu Hassan ni mkubwa kiumri kwa TL kwa miaka 8 tu...........

Juzi akiwa kwao Zanzibar, kamwita Tundu Lissu "mwanangu". Sijui kwa kutumia kigezo kipi. Je, kwa kigezo kuwa "kila mwanamke ni mama...?"

Lakini kama ametumia kigezo cha Umri, hapo atakuwa amechemka vibaya. Kwa vyovyote and by default hawezi kumzaa Tundu Lissu ktk Umri wake wa miaka 8........!!

Nadhani there's something wrong with this mama. Binafsi, naitazama na kuitafsiri hii "joke" ya huyu mama dhidi ya TL in a very serious note.....

Bila shaka, Tundu Lissu keshamshanganya kiasi cha yeye na kambi yake huko ikiongozwa na Lucas Mwashambwa kwa mbali akisaidiwa na Tlaatlaah kukabiliwa na tatizo sugu linalojulikana kwa lugha ya malkia wa Uingereza kama "tunduphobia syndrome.........!!"

Hakika kabisa huyu mama kumwita mwanamume aliye karibu kwa 99% kulingana naye kiumri "Mwanangu" ni kupitiwa na kuchanganyikiwa kwa kiwango cha juu sana.......!

Siku zote amekuwa akim - address kama "mdogo wangu". Wewe unafikiri juzi ikawaje aanze kumwita "mwanangu.....???"
Unajua mkishaanza kutuita mama huwa tunawaona nyie ni watoto hata kama tumelingana,enyi wanaume msiwaite wake zenu mama au watu ambao mnalingana umri au mmekaribiana,wataanza kubehave as one ikiwezekana hata kuwacommand
 
Back
Top Bottom