Rais Samia Suluhu, Kuzaliwa 20/1/20/1960 [64], Tundu Lissu, kuzaliwa 21/1/1968 [56]. Kwa takwimu hizi ni kwa vipi Lissu anaweza kuwa “mtoto wa Samia”?

Rais Samia Suluhu, Kuzaliwa 20/1/20/1960 [64], Tundu Lissu, kuzaliwa 21/1/1968 [56]. Kwa takwimu hizi ni kwa vipi Lissu anaweza kuwa “mtoto wa Samia”?

Chukulia kwa serious tone hiyo hiyo Mkuu, ila usiwaze kama ni ana haha juu yake bali waza anamuonea huruma na haina budi kwa TL ama kuwa makini zaidi au kufanya jambo fulani.

Kuna wakatu ujumbe unatolewa kwa njia za ajabu sana ni kiasi cha mlengwa kuweza kugundua ujumbe ndani ya ujumbe.

Naamini hata ukifuatilia mambo yaliyotokea siku chache kabla ya lile tukio la hovyo utakuta ujumbe ndani ya ujumbe uliopuuziwa au kutokubainika wazi.

Same hata kwako, kuna jumbe unapewa kila siku ila ni hauzingatii tu mazingira yaliyokuzunguka hivyo inakuwa ngumu kugundua.

Mtoto kautaaa....mtoto kautakaa!!
 
Akina Mkunazi Njiwa hata hawaelewi haya......

Huyu bibie tayari hofu ya kike imeshaanza kumsumbua.........

Huyu mwanamke hakustahili na hapaswi kustahili kupewa jukumu hili la kuongoza nchi. She's absolutely unfit......!
Wewe wasema...

Ni vetting iliyomfanya awepo hapo na wala si mawazo yako ya "negativities"...

Ni katiba yetu...msahafu mtakatifu zaidi kwa dola letu tukufu Tanzania....

She is fit as a sitting president for her fellow countrymen [emoji7]

May Adonai Yehovah Shamah bless her exquisitely ,amen amen[emoji7]

#Nchi kwanza na Samia[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Bi. Samia Suluhu Hassan (Rais wa JMT) ni mwanamke. Alizaliwa tarehe 27/1/1960 Umri wake Sasa ni miaka 64..............
View attachment 3079238

Tundu A. M. Lissu (Makamu M/Kiti CHADEMA Taifa Upande wa Tanganyika na mgombea Urais ktk uchaguzi mkuu wa 2020) ni mwanamume. Alizaliwa tarehe 20/1/1968. Umri wake kwa Sasa ni miaka 56...........
View attachment 3079239

Tofauti yao kiumri kati ya Bi. Samia Suluhu Hassan na Tundu Lissu ni miaka 8 kwa maana kuwa Samia Suluhu Hassan ni mkubwa kiumri kwa TL kwa miaka 8 tu...........

Juzi akiwa kwao Zanzibar, kamwita Tundu Lissu "mwanangu". Sijui kwa kutumia kigezo kipi. Je, kwa kigezo kuwa "kila mwanamke ni mama...?"

Lakini kama ametumia kigezo cha Umri, hapo atakuwa amechemka vibaya. Kwa vyovyote and by default hawezi kumzaa Tundu Lissu ktk Umri wake wa miaka 8........!!

Nadhani there's something wrong with this mama. Binafsi, naitazama na kuitafsiri hii "joke" ya huyu mama dhidi ya TL in a very serious note.....

Bila shaka, Tundu Lissu keshamshanganya kiasi cha yeye na kambi yake huko ikiongozwa na Lucas Mwashambwa kwa mbali akisaidiwa na Tlaatlaah kukabiliwa na tatizo sugu linalojulikana kwa lugha ya malkia wa Uingereza kama "tunduphobia syndrome.........!!"

Hakika kabisa huyu mama kumwita mwanamume aliye karibu kwa 99% kulingana naye kiumri "Mwanangu" ni kupitiwa na kuchanganyikiwa kwa kiwango cha juu sana.......!

Siku zote amekuwa akim - address kama "mdogo wangu". Wewe unafikiri juzi ikawaje aanze kumwita "mwanangu.....???"
Kwasababu kwamujibu wa bitabu vitakatifu vya munyaazi Mungu unaruhusiwa kuoa binti wa miaka 9 akifikisha miaka 12 anazaa kabisa .
 
Bi. Samia Suluhu Hassan (Rais wa JMT) ni mwanamke. Alizaliwa tarehe 27/1/1960 Umri wake Sasa ni miaka 64..............
View attachment 3079238

Tundu A. M. Lissu (Makamu M/Kiti CHADEMA Taifa Upande wa Tanganyika na mgombea Urais ktk uchaguzi mkuu wa 2020) ni mwanamume. Alizaliwa tarehe 20/1/1968. Umri wake kwa Sasa ni miaka 56...........
View attachment 3079239

Tofauti yao kiumri kati ya Bi. Samia Suluhu Hassan na Tundu Lissu ni miaka 8 kwa maana kuwa Samia Suluhu Hassan ni mkubwa kiumri kwa TL kwa miaka 8 tu...........

Juzi akiwa kwao Zanzibar, kamwita Tundu Lissu "mwanangu". Sijui kwa kutumia kigezo kipi. Je, kwa kigezo kuwa "kila mwanamke ni mama...?"

Lakini kama ametumia kigezo cha Umri, hapo atakuwa amechemka vibaya. Kwa vyovyote and by default hawezi kumzaa Tundu Lissu ktk Umri wake wa miaka 8........!!

Nadhani there's something wrong with this mama. Binafsi, naitazama na kuitafsiri hii "joke" ya huyu mama dhidi ya TL in a very serious note.....

Bila shaka, Tundu Lissu keshamshanganya kiasi cha yeye na kambi yake huko ikiongozwa na Lucas Mwashambwa kwa mbali akisaidiwa na Tlaatlaah kukabiliwa na tatizo sugu linalojulikana kwa lugha ya malkia wa Uingereza kama "tunduphobia syndrome.........!!"

Hakika kabisa huyu mama kumwita mwanamume aliye karibu kwa 99% kulingana naye kiumri "Mwanangu" ni kupitiwa na kuchanganyikiwa kwa kiwango cha juu sana.......!

Siku zote amekuwa akim - address kama "mdogo wangu". Wewe unafikiri juzi ikawaje aanze kumwita "mwanangu.....???"
Kwa heshima.

Ova
 
Mimi naitazama na kuitafsiri hiyo joke with a very serious note hasahasa ukitazama na kuzingatia yanayoendelea sasa ktk nchi yetu.......

Wewe nenda kalime pareto huko...........

Lakini sisi pamoja na hayo, bado macho yetu na akili na ufahamu wetu na udadisi wetu kufuatilia na kuchunguza kila jambo uko upright......

Hata hivyo, Asante kwa maoni na mtazamo wako maana na wewe ndivyo ulivyo......!!
Mbona nimekuwa nikiamini wewe ni mtu mwenye akili timamu? Au ndo umeamua kuni-prove wrong?
 
Bi. Samia Suluhu Hassan (Rais wa JMT) ni mwanamke. Alizaliwa tarehe 27/1/1960 Umri wake Sasa ni miaka 64..............
View attachment 3079238

Tundu A. M. Lissu (Makamu M/Kiti CHADEMA Taifa Upande wa Tanganyika na mgombea Urais ktk uchaguzi mkuu wa 2020) ni mwanamume. Alizaliwa tarehe 20/1/1968. Umri wake kwa Sasa ni miaka 56...........
View attachment 3079239

Tofauti yao kiumri kati ya Bi. Samia Suluhu Hassan na Tundu Lissu ni miaka 8 kwa maana kuwa Samia Suluhu Hassan ni mkubwa kiumri kwa TL kwa miaka 8 tu...........

Juzi akiwa kwao Zanzibar, kamwita Tundu Lissu "mwanangu". Sijui kwa kutumia kigezo kipi. Je, kwa kigezo kuwa "kila mwanamke ni mama...?"

Lakini kama ametumia kigezo cha Umri, hapo atakuwa amechemka vibaya. Kwa vyovyote and by default hawezi kumzaa Tundu Lissu ktk Umri wake wa miaka 8........!!

Nadhani there's something wrong with this mama. Binafsi, naitazama na kuitafsiri hii "joke" ya huyu mama dhidi ya TL in a very serious note.....

Bila shaka, Tundu Lissu keshamshanganya kiasi cha yeye na kambi yake huko ikiongozwa na Lucas Mwashambwa kwa mbali akisaidiwa na Tlaatlaah kukabiliwa na tatizo sugu linalojulikana kwa lugha ya malkia wa Uingereza kama "tunduphobia syndrome.........!!"

Hakika kabisa huyu mama kumwita mwanamume aliye karibu kwa 99% kulingana naye kiumri "Mwanangu" ni kupitiwa na kuchanganyikiwa kwa kiwango cha juu sana.......!

Siku zote amekuwa akim - address kama "mdogo wangu". Wewe unafikiri juzi ikawaje aanze kumwita "mwanangu.....???"
Nani kama mama.....

Wanawake bwana
 
Kwani we unamuita mama si anaweza kuwa bibi ako.
 
Ni kukosa agenda au nini? Vijana wanavyoitana kiongozi, mwana, mkuu huwa ndo iko hivyo? Acheni upuuzi. Ongeleeni hata kilimo cha pareto au alizeti Singida.
Vijana ni wahuni sasa unataka ku apply sheria hiyo hadi kwa Raisi?
 
Ni kukosa agenda au nini? Vijana wanavyoitana kiongozi, mwana, mkuu huwa ndo iko hivyo? Acheni upuuzi. Ongeleeni hata kilimo cha pareto au alizeti Singida.
Sio kukosa agenda. Wangekutata simba akiwa 20 chura angeweza kujazwa.
 
Refer Muhamad alichomfanyia Aisha ndio ujue kule kizimkazi miaka 8 kinapigwa pipe na kinazaa vizuri so ni mama yake kweli
 
Wewe umezaliwa 78 ila unamuita demu wako WA 2004 mama...... Kwann vijana mnakula na ajenda dhaifu hivi aseeee
 
Bi. Samia Suluhu Hassan (Rais wa JMT) ni mwanamke. Alizaliwa tarehe 27/1/1960 Umri wake Sasa ni miaka 64..............
View attachment 3079238

Tundu A. M. Lissu (Makamu M/Kiti CHADEMA Taifa Upande wa Tanganyika na mgombea Urais ktk uchaguzi mkuu wa 2020) ni mwanamume. Alizaliwa tarehe 20/1/1968. Umri wake kwa Sasa ni miaka 56...........
View attachment 3079239

Tofauti yao kiumri kati ya Bi. Samia Suluhu Hassan na Tundu Lissu ni miaka 8 kwa maana kuwa Samia Suluhu Hassan ni mkubwa kiumri kwa TL kwa miaka 8 tu...........

Juzi akiwa kwao Zanzibar, kamwita Tundu Lissu "mwanangu". Sijui kwa kutumia kigezo kipi. Je, kwa kigezo kuwa "kila mwanamke ni mama...?"

Lakini kama ametumia kigezo cha Umri, hapo atakuwa amechemka vibaya. Kwa vyovyote and by default hawezi kumzaa Tundu Lissu ktk Umri wake wa miaka 8........!!

Nadhani there's something wrong with this mama. Binafsi, naitazama na kuitafsiri hii "joke" ya huyu mama dhidi ya TL in a very serious note.....

Bila shaka, Tundu Lissu keshamshanganya kiasi cha yeye na kambi yake huko ikiongozwa na Lucas Mwashambwa kwa mbali akisaidiwa na Tlaatlaah kukabiliwa na tatizo sugu linalojulikana kwa lugha ya malkia wa Uingereza kama "tunduphobia syndrome.........!!"

Hakika kabisa huyu mama kumwita mwanamume aliye karibu kwa 99% kulingana naye kiumri "Mwanangu" ni kupitiwa na kuchanganyikiwa kwa kiwango cha juu sana.......!

Siku zote amekuwa akim - address kama "mdogo wangu". Wewe unafikiri juzi ikawaje aanze kumwita "mwanangu.....???"
Shh, mengine yaache yapite si kila jambo ni la kuhoji vinginevyo utakuja gombana na mama yako, baba ni baba tu na mtoto ni mtoto tu.
 
Tatizo hapo ni kuwa rais wa Tanzania Huwa anajiona wtz wote ni wadogo na anawazidi akili kulingana na katiba mbovu ambaye amempa madaraka makubwa ya kuweza kufanya chochote ikiwemo ya kuwaona watanzania wote anawazidi umri na kuwaita watoto wake
 
Back
Top Bottom