Ndio, na linaongozwa na Kamishna JeneraliUhamiaji ni jeshi?
Wameula hao😁Uhamiaji ni jeshi?
Hawa watanywe mipakani na haswa mpaka wa Burundi watu wanaingia kwa maelfu na kujifanya Waha.Hata TANAPA ni jeshi,
Jeshi usu
Rais Samia ni bandika banduka hakuna kupoa..Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara mkoani Tanga, siku ya Jumapili Agosti 14 Mwaka huu.
Katika ziara yake mkoani Tanga Rais Samia Suluhu anatarajiwa kuzindua Chuo cha Jeshi la uhamiaji cha Taifa pamoja na kufunga mafunzo ya askari 818 wa Jeshi la uhamiaji chuoni hapo.
Rais Samia anafanya ziara mkoani Tanga ikiwa ni siku moja tu tangu ahitimishe ziara ya siku Tisa katika mikoa mitatu tofauti nchini (Mbeya, Njombe na Iringa) kuanzia tarehe 5 hadi 13.
View attachment 2323177
Uhamiaji ni jeshi?
Safi Sana,Moro kuna ishu Gani tena?Ukisoma vizuri hiyo kazi ni saa moja asubuhi, alafu anaenda Tanga kisha Morogoro, kazi juu ya kazi
No hapana ni Sukuma Gang [emoji16]Uhamiaji ni jeshi?
Ukisoma vizuri hiyo kazi ni saa moja asubuhi, alafu anaenda Tanga kisha Morogoro, kazi juu ya kazi
Labda jamaa alijua ni sungu sungu wa mchana.Sasa je!au ulifikiri ni shirikishi
Uhamiaji ni jeshi?