Rais Samia Suluhu kuzungumza na Wazee wa Dar es Salaam Ijumaa Mei 7, 2021

Mama waongezee wazee Penseni na Bima ya Afya ya ukweli.
Ni kweli. Kama mishahara imeshindikana basi walao hao wazee wachache waliobaki na wanapokea pension kupitia hazina awaongezee kiwango maana ni aibu kuwa pamoja na kujitolea kizalendo wanachopewa sasa hivi ni pension kichekesho
 
Saa ngapi itakuwa
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
 
Itakuwa ni saa ngapi ?
 
Wakuu hapa sijaelewa vizuri kwa vile tumeambiwa jiji la Dar ni ILALA tu, na leo Mh Rais Samia anakutana na Wazee ila sijajua kama ni wa makoa wa Dar au jiji la Dar, mwenye kujua atujuze
 
Saa ngapi
 
Wazee wale waliokuwa na heshima zao wote wameshafariki waliobaki kidogo corona ikamalizia hawa waliobaki wahuni wajana ila leo wamezeeka tu lakini sio original. wazee original wameisha.
 
Tumefuka ukumbini toka saa saba na nusu mpaka muda huu hakuna lolote linaendelea.

Mpaka muda huu mama hajafika ukumbini na hakuna taarifa yoyote ile. Mwisho wa siku tumeanza kuongelea Dabi ya kesho tu. Wahusika kama mpo humu nawaambie hamtutendei haki kabisa
 
Kwani nawe ni miongoni mwa wazee wadar.
 
Umekaa Kona ipi mzee mwenzangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…