Kaondoka na uwanja wa ndege unaenda kuwa pori la kulishia mifugo,Hiyo haitoshi kumuenzi jiwe wetu
Malizia kauliHakika Rais Mama Samia kaonesha kuheshimu Mamlaka.
Ombi la wana Chato kuomba kuwa Mkoa kalikabidhi kwa mamlaka husika.
"Mkikidhi vigezo tutaipa Chato kuwa Mkoa" Rais Mama Samia Suluhu
Kwa hiyo una maanisha RANCHI au SHAMBA KAMA SHAMBAKaondoka na uwanja wa ndege unaenda kuwa pori la kulishia mifugo
Itakua unasikiliza Lisu Redio FM ila kama umemsikiliza rais, mipango ya chato iko pale pale.Chato ndiyo mwisho wao kwisha sasa
Lipuuzi hilo jamaa lililoleta thread hayo ndio mapotoshaji moods muwe mnafuta thread zenye lengo la kupotosha.Malizia kauli
Kuna siku uliwahi kukosoa?Ni jambo jema!
Mama ametulia sana hana mambo ya mihemuko na kukurupuka.Hakika Rais Mama Samia kaonesha kuheshimu Mamlaka....
Una maana gani mkuu?Chato ndiyo mwisho wao kwisha sasa
Shamba kama shambaKwa hiyo una maanisha RANCHI au SHAMBA KAMA SHAMBA
Ni jambo jema!