Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Subiri msiba uisheItakua unasikiliza Lisu Redio Fm ila kama umemsikiliza rais, mipango ya chato iko pale pale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri msiba uisheItakua unasikiliza Lisu Redio Fm ila kama umemsikiliza rais, mipango ya chato iko pale pale.
Upendeleo haupo tenaUna maana gani mkuu?
sasa ubaya utakua wapi kama wakielekezwa ikawapa vigezoMama amekubali, amesema hata kama wataona vigezo havijakidhi basi watawaelekeza ili vigezo vikidhi
Ndio nimeanza kumuona huyu mama ni picha tu ya Rais, atapelekeshwa na hao kundi la Magufuli
Muweke kwenye mashuka, boxer, na T-shirt zako.Hiyo haitoshi kumuenzi jiwe wetu..awekwe kwenye fedha yetu kama alivyo nyerere
Itakua unasikiliza Lisu Redio Fm ila kama umemsikiliza rais, mipango ya chato iko pale pale.
Angekuwa jiwe kauli ambayo angitoa hapo nadhan hata mwombaj angeaibikaHakika Rais Mama Samia kaonesha kuheshimu Mamlaka.
Ombi la wana Chato kuomba kuwa Mkoa kalikabidhi kwa mamlaka husika.
"Mkikidhi vigezo tutaipa Chato kuwa Mkoa" Rais Mama Samia Suluhu
Nimekusoma mkuu ndiyo maana MATAGA wameamua kuporomosha matusi tu.Upendeleo haupo tena
Chato hapo ndiyo tunawaaga rasmiItakua unasikiliza Lisu Redio Fm ila kama umemsikiliza rais, mipango ya chato iko pale pale.
Wabinafsi sana. Kuna mkoa kama Manyara,ni mkubwa mno.Walilewa madaraka hawa...Chato!
Badala ya kufikiria kugawa mkoa kama Moro,Tabora nk ...ukagawe Geita...very primitive argumentation...alichowafanyia vinawatosha!
Unaifahanu Chato? Ni Wilaya ndogo, ipo mkoa wa Geita, Geita nayo ilikuwa sehemu ya mkoa wa mwanza Kisha awamu ya Kikwete ndio ikagawanywasasa ubaya utakua wapi kama wakielekezwa ikawapa vigezo
Ingekuwa mwamba angeshakurupuka hapo hapo kua kuanzia sasa nasema huu ni mkoa, asante mama unaanza vzr.Kajibu hivi
'Suala la Chato kuwa Mkoa nimeambiwa tayari mchakato umeanza naelekeza lishughulikiwe kama vigezo vimekidhi Chato iwe Mkoa na kama vigezo havijakidhi tuwaelekeze nini cha kufanya ili viweze kukidhi na tumuenzi Hayati Magufuli.'
Ni jibu zuri sana sana na nijibu la kiuongozi na sio jibu la kukurupuka.
Hajafikia hadhi ya kuwekwa kwenye fedha maana hakuna alicho fanya akawazidi wenzie walio pitaunafiki sio mzuri sema kwake makelele yalikuwa mengi sana kumtukuza.Hiyo haitoshi kumuenzi jiwe wetu..awekwe kwenye fedha yetu kama alivyo Nyerere