Rais Samia Suluhu: Mkikidhi vigezo, Chato tutaifanya kuwa Mkoa

Rais Samia Suluhu: Mkikidhi vigezo, Chato tutaifanya kuwa Mkoa

Mama amekubali, amesema hata kama wataona vigezo havijakidhi basi watawaelekeza ili vigezo vikidhi

Ndio nimeanza kumuona huyu mama hamna kitu

Basi Butiama, Mkuranga, Bagamoyo, Masasi nazo zingefanywa mkoa basi kwa kuwa nazo zimetoa viongozi waliofanya makubwa tu

Unaipa chato kuwa mkoa wakati kuna mikoa mikubwa kama Morogoro haijagawanywa
Unajua maana ya kukidhi?
 
Sasa si kafa?? Kwanini watu walie,hadi wapoteze maisha?? Kwanini,..
Tafadhali jaribu kuficha upumbavu wako mbele ya hadhara hii
Hao walio zimia huku wameshikilia wanzuki mikononi na hawaachii hahahaaaaaa

Huu msiba umekuzwa kwa maslahi mapana ya walio ukuza hata lisu alipo rudi hapa alijaza watu hadi wana galagala yaan watu wengi kweli kweli , hakuna tukio linalo kosa wahudhuriaji

Usisahau hata kwa mwamposa watu walikuwa wwngi hadi walikufa pia
 
Kajibu hivi

'Suala la Chato kuwa Mkoa nimeambiwa tayari mchakato umeanza naelekeza lishughulikiwe kama vigezo vimekidhi Chato iwe Mkoa na kama vigezo havijakidhi tuwaelekeze nini cha kufanya ili viweze kukidhi na tumuenzi Hayati Magufuli.'


Ni jibu zuri sana sana na nijibu la kiuongozi na sio jibu la kukurupuka.
Hiki ni kiunzi cha awali kabisa mama amekiruka, naona wana Chato bado wana ndoto zilezile za enzi za Jiwe kufawanyia wanaChato kila wanachotaka
 
Kajibu hivi

'Suala la Chato kuwa Mkoa nimeambiwa tayari mchakato umeanza naelekeza lishughulikiwe kama vigezo vimekidhi Chato iwe Mkoa na kama vigezo havijakidhi tuwaelekeze nini cha kufanya ili viweze kukidhi na tumuenzi Hayati Magufuli.'


Ni jibu zuri sana sana na nijibu la kiuongozi na sio jibu la kukurupuka.
Ubinafsi umemsindikiza mpaka kaburini
 
Kama ufunguzi wa kituo cha mabasi ingekuwa bado kufunguliwa sasa hivi dar isingegawanyika kuwa jiji na manispaa zake
 
Hao walio zimia huku wameshikilia wanzuki mikononi na hawaachii hahahaaaaaa

Huu msiba umekuzwa kwa maslahi mapana ya walio ukuza hata lisu alipo rudi hapa alijaza watu hadi wana galagala yaan watu wengi kweli kweli , hakuna tukio linalo kosa wahudhuriaji

Usisahau hata kwa mwamposa watu walikuwa wwngi hadi walikufa pia
najaribu kufikiria tu:kwanini ujauzito wako haukutoka,? Kwanini ulimsumbua mama huyu asiye na hatia??
Kwamaana unataka ujidanganye hadi wew mwenyew?? Eti watu walikuwa na wanzuki?? Wote?? Pote alipopita wana act?? Vipi kuhusu mataifa mengine??
Kwanini usione aibu na kujitafakar upya kijana??
 
"Kuhusu suala la CHATO kuwa mkoa, nimekwisha kujulishwa kuwa mchakato umekwisha kuanza, sisi kama serikali tunaomba mkamilishe mchakato huo kisha mtuletee, Tukiona umekidhi vigezo tutaupandisha HADHI na Kama utakuwa haujakidhi vigezo tutawaambia nini cha kufanya ili ukidhi vigezo vya kuwa mkoa."- Samia Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania
1616763145555.png
 
Hao walio zimia huku wameshikilia wanzuki mikononi na hawaachii hahahaaaaaa

Huu msiba umekuzwa kwa maslahi mapana ya walio ukuza hata lisu alipo rudi hapa alijaza watu hadi wana galagala yaan watu wengi kweli kweli , hakuna tukio linalo kosa wahudhuriaji

Usisahau hata kwa mwamposa watu walikuwa wwngi hadi walikufa pia
Ni kawaida yetu kushangaa hata mwanga akianguka na ungo, iweje mkuu wa nchi katutoka gafla!?
 
Kwasisi tunaoona kwa kutumia jicho la tatu, chato ni mkoa tayari ni suala la muda tu
 
Back
Top Bottom