Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Muweke kwenye mashuka, boxer, na T-shirt zako.
Uwe unamalizia sentensi fuka wwWe jamaa kichwani una akili au kamasi? Inamaana unataka kupinga kwamba Mh.Rais hajasema hayo?
Unajua maana ya kukidhi?Mama amekubali, amesema hata kama wataona vigezo havijakidhi basi watawaelekeza ili vigezo vikidhi
Ndio nimeanza kumuona huyu mama hamna kitu
Basi Butiama, Mkuranga, Bagamoyo, Masasi nazo zingefanywa mkoa basi kwa kuwa nazo zimetoa viongozi waliofanya makubwa tu
Unaipa chato kuwa mkoa wakati kuna mikoa mikubwa kama Morogoro haijagawanywa
Hao walio zimia huku wameshikilia wanzuki mikononi na hawaachii hahahaaaaaaSasa si kafa?? Kwanini watu walie,hadi wapoteze maisha?? Kwanini,..
Tafadhali jaribu kuficha upumbavu wako mbele ya hadhara hii
Hiki ni kiunzi cha awali kabisa mama amekiruka, naona wana Chato bado wana ndoto zilezile za enzi za Jiwe kufawanyia wanaChato kila wanachotakaKajibu hivi
'Suala la Chato kuwa Mkoa nimeambiwa tayari mchakato umeanza naelekeza lishughulikiwe kama vigezo vimekidhi Chato iwe Mkoa na kama vigezo havijakidhi tuwaelekeze nini cha kufanya ili viweze kukidhi na tumuenzi Hayati Magufuli.'
Ni jibu zuri sana sana na nijibu la kiuongozi na sio jibu la kukurupuka.
UmejuajeTena ni mbovu haswa
Ubinafsi umemsindikiza mpaka kaburiniKajibu hivi
'Suala la Chato kuwa Mkoa nimeambiwa tayari mchakato umeanza naelekeza lishughulikiwe kama vigezo vimekidhi Chato iwe Mkoa na kama vigezo havijakidhi tuwaelekeze nini cha kufanya ili viweze kukidhi na tumuenzi Hayati Magufuli.'
Ni jibu zuri sana sana na nijibu la kiuongozi na sio jibu la kukurupuka.
najaribu kufikiria tu:kwanini ujauzito wako haukutoka,? Kwanini ulimsumbua mama huyu asiye na hatia??Hao walio zimia huku wameshikilia wanzuki mikononi na hawaachii hahahaaaaaa
Huu msiba umekuzwa kwa maslahi mapana ya walio ukuza hata lisu alipo rudi hapa alijaza watu hadi wana galagala yaan watu wengi kweli kweli , hakuna tukio linalo kosa wahudhuriaji
Usisahau hata kwa mwamposa watu walikuwa wwngi hadi walikufa pia
Ni kawaida yetu kushangaa hata mwanga akianguka na ungo, iweje mkuu wa nchi katutoka gafla!?Hao walio zimia huku wameshikilia wanzuki mikononi na hawaachii hahahaaaaaa
Huu msiba umekuzwa kwa maslahi mapana ya walio ukuza hata lisu alipo rudi hapa alijaza watu hadi wana galagala yaan watu wengi kweli kweli , hakuna tukio linalo kosa wahudhuriaji
Usisahau hata kwa mwamposa watu walikuwa wwngi hadi walikufa pia