Rais Samia Suluhu: Mkikidhi vigezo, Chato tutaifanya kuwa Mkoa

Rais Samia Suluhu: Mkikidhi vigezo, Chato tutaifanya kuwa Mkoa

Kumekuwa na tetesi za muda mrefu tangu Mh. Magufuli aingie madarakani kwa mara ya kwanza mwaka 2015 kwamba alikuwa na mpango kabambe wa kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa. Habari hiyo imekuwa ikikanushwa kwa hisia kali na wafuasi wa CCM ndani ya JF kuonesha kwamba wanaosema hivyo ni wazushi na wana nia mbaya ya kuonesha labda MH. Magufuli alikuwa anajipendelea ukizingatia udogo wa mji na uchanga wa wilaya ya Chato.
Lakini mtu aliyeandaliwa kuwasilisha salaam za Wanachato siku ya mazishe, Mzee maarufu pale Chato aitwaye Magambo ameweka wazi kwamba marehemu katika uhai wake aliwaahidi kuigeuza Chato kuwa mkoa kabla ya 2025.
Akijibu hoja hiyo Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kulifanyia kazi kama litakidhi vigezo vilivyowekwa. Lakini facial expression yake imeonesha mshitumko juu ya jambo hili kwa kuliona kama jipya. Baadhi ya maneno aliyotumia ni "Nasikia mmeshaanza mchakato". Jambo jema Kama hili la kuliongezea thamani eneo mojawapo katika nchi hii halikupaswa kuwa siri hata kwa watu muhimu na wawezeshaji. Tulifichwa mchakato huu ili iweje? Yaani walitegemea siku moja tuamke na kukuta Chato ni mkoa ghafla?
Tabia hii ya kuweka siri vitu vinavyopaswa kuwa wazi haileti Afya kwa Utangamano wa nchi yetu. Mh. Samia asikubali kuendelea na utaratibu wa usiri usio wa lazima unaiweza kuibua fikra za upendeleo.
Zile ni chai za yule mzee na wenzake wanapokaa vijiweni
 
Kwasisi tunaoona kwa kutumia jicho la tatu, chato ni mkoa tayari ni suala la muda tu
Ukikidhi vigezo alisikika raisi. Shida ni vigezo si jambo lingine. Ukishakidhi vigezo kwann usiwe mkoa?
 
Kumekuwa na tetesi za muda mrefu tangu Mh. Magufuli aingie madarakani kwa mara ya kwanza mwaka 2015 kwamba alikuwa na mpango kabambe wa kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa. Habari hiyo imekuwa ikikanushwa kwa hisia kali na wafuasi wa CCM ndani ya JF kuonesha kwamba wanaosema hivyo ni wazushi na wana nia mbaya ya kuonesha labda MH. Magufuli alikuwa anajipendelea ukizingatia udogo wa mji na uchanga wa wilaya ya Chato.
Lakini mtu aliyeandaliwa kuwasilisha salaam za Wanachato siku ya mazishe, Mzee maarufu pale Chato aitwaye Magambo ameweka wazi kwamba marehemu katika uhai wake aliwaahidi kuigeuza Chato kuwa mkoa kabla ya 2025.
Akijibu hoja hiyo Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kulifanyia kazi kama litakidhi vigezo vilivyowekwa. Lakini facial expression yake imeonesha mshitumko juu ya jambo hili kwa kuliona kama jipya. Baadhi ya maneno aliyotumia ni "Nasikia mmeshaanza mchakato". Jambo jema Kama hili la kuliongezea thamani eneo mojawapo katika nchi hii halikupaswa kuwa siri hata kwa watu muhimu na wawezeshaji. Tulifichwa mchakato huu ili iweje? Yaani walitegemea siku moja tuamke na kukuta Chato ni mkoa ghafla?
Tabia hii ya kuweka siri vitu vinavyopaswa kuwa wazi haileti Afya kwa Utangamano wa nchi yetu. Mh. Samia asikubali kuendelea na utaratibu wa usiri usio wa lazima unaiweza kuibua fikra za upendeleo.
Ikiwa mkoa,itasaidia nini?itaongeza kipato kwa wananchi?itaongeza ajira?zaidi itaongeza gharama na watumishi tu,RC,DC,RAC ambao hawazalishi kitu zaidi ya kula mishahara tu,
Bora wangesema tujenge kiwanda,Mi Afrika bwana shida sana.inataka mkoa,mie kijana wa bodaboda itanisaidia kwa lipi?
Mtu mmoja aniambie Mara ya mwisho kusikia USA,au UK imeongeza mkoa au wilaya,au jimbo,lini?
 
Hivi mnaosema chato kumejengwa mabangaloo ya habari mbona siyaoni kupitia TV?
 
Unaifahanu chato? Ni Wilaya ndogo, ipo mkoa wa Geita, Geita nayo ilikuwa sehemu ya mkoa wa mwanza Kisha awamu ya Kikwete ndio ikagawanywa

Kugawa sio mbaya, lakini je, hakuna mikoa yenye uhitaji mkubwa zaidi ya Chato?

Mkoa wa Morogoro unaufahamu ukubwa wake?
Nilikuwa naunga mkono mambo mengi ya Dk. Magufuli lakini hili la kutaka kuifanya Chato kuwa Mkoa siliungi mkono hata kidogo, Chato iendelee kubaki aidha Mkoani Geita au iunganishwe tena na Wilaya ya Biharamulo - Mikoa yenye uhitaji wa kugawanywa ni Morogoro na Tabora sio Chato, na Ziwa Burigi ni sehemu ya Mkoa wa Kagera tangu utawala wa Wajerumani, kusema kwamba Burigi hipo Chato walitaka kulazimisha mambo.
 
Nilikuwa naunga mkono mambo mengi ya Dk. Magufuli lakini hili la kutaka kuifanya Chato kuwa Mkoa siliungi mkono hata kidogo, Chato iendelee kubaki aidha Mkoani Geita au iunganishwe tena na Wilaya ya Biharamulo - Mikoa yenye uhitaji wa kugawanywa ni Morogoro na Tabora sio Chato, na Ziwa Burigi ni sehemu ya Mkoa wa Kagera tangu utawala wa Wajerumani, kusema kwamba Burigi hipo Chato walitaka kulazimisha mambo.
Amekufa mmeanza kusema ukweli!
 
Hivi mnaosema chato kumejengwa mabangaloo ya habari mbona siyaoni kupitia TV?
Nani anayesema maneno hayo??

Mimi nimesikia watu wanalalamika kuhusu miradi ya maji Chato kipaumbele, Uwanja wa ndege,Hotel ya nyota 3 ya TANAPA,chuo cha beta,hospitali ya wilaya,hospitali ya rufaa, Mbuga ya wanyama...sasa sijui kama hayo ndo mabangaloo au??
 
Itakua unasikiliza Lisu Redio Fm ila kama umemsikiliza rais, mipango ya chato iko pale pale.
Uko sahihi...kwa mujibu wa Rais Chato itakuwa mkoa ....Kama vigezo havitoshelezi kwa Sasa wataelekezwa namna ya kufanya kukamilisha vigezo hivyo...na tayari vigezo vingi tayari...hospitali ya rufaa inakamilishwa, uwanja wa Ndege inakamilishwa ambao hata Boeing zitatua, vyuo, viwanda, miundo mbinu Yaani barabara tayari ni za lami, hoteli nyita tatu inajengwa...na kadhalika na kadhalika...miaka mitatu ijayo Chato itakuwa mkoa...
 
Nani anayesema maneno hayo??

Mimi nimesikia watu wanalalamika kuhusu miradi ya maji Chato kipaumbele, Uwanja wa ndege,Hotel ya nyota 3 ya TANAPA,chuo cha beta,hospitali ya wilaya,hospitali ya rufaa, Mbuga ya wanyama...sasa sijui kama hayo ndo mabangaloo au??
Kwa kifupi nyie ni wapotoshaji.
 
Mama amekubali, amesema hata kama wataona vigezo havijakidhi basi watawaelekeza ili vigezo vikidhi

Ndio nimeanza kumuona huyu mama hamna kitu

Basi Butiama, Mkuranga, Bagamoyo, Masasi nazo zingefanywa mkoa basi kwa kuwa nazo zimetoa viongozi waliofanya makubwa tu

Unaipa chato kuwa mkoa wakati kuna mikoa mikubwa kama Morogoro haijagawanywa
Naww unaamini kuwa itakuwa hivyo? yale ni maneno ya faraja msibani tu hakuna kingine

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom