Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye msiba kunakua na ahadi nyingi sana suhiri watu watawanyike sasa. Danadana kibao..Mama amekubali, amesema hata kama wataona vigezo havijakidhi basi watawaelekeza ili vigezo vikidhi
Ndio nimeanza kumuona huyu mama hamna kitu
Basi Butiama, Mkuranga, Bagamoyo, Masasi nazo zingefanywa mkoa basi kwa kuwa nazo zimetoa viongozi waliofanya makubwa tu
Unaipa chato kuwa mkoa wakati kuna mikoa mikubwa kama Morogoro haijagawanywa
Nahifadhi comment ili nione Kama miezi mitano ijayo utakuwa bado na fikra hizi au utakuwa unaendelea kulalamika mitandaoniChato ndiyo mwisho wao kwisha sasa
Mkuu, ndio ulikuwa mpago wenyewe - kumega sehemu ya Mkoa wa Kagera specifically Ngara may be part ya Karagwe na Kasulu - usifikiri Burigi ilikuwa inapigiwa debe as if it belongs to Chato bila sababu. Mpango huo nilikuwa siuingi mkono hata kidogo, hasa uporaji wa Ziwa Burigi na kulibatiza Chato /Burigi wakati ukweli ni kwamba Ziwa hilo lipo Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera.Hapo Kagera tunamegwa tena ....
Tunza mkuuNahifadhi comment ili nione Kama miezi mitano ijayo utakuwa bado na fikra hizi au utakuwa unaendelea kulalamika mitandaoni
Umemsikia au umehadithiwa?? Kwa Kauli ya Rais Chato haiwezi kuwa Mkoa kwa maana haiwezi kidhi vigezo vya kuwa mkoa.Mama amekubali, amesema hata kama wataona vigezo havijakidhi basi watawaelekeza ili vigezo vikidhi
Ndio nimeanza kumuona huyu mama hamna kitu
Basi Butiama, Mkuranga, Bagamoyo, Masasi nazo zingefanywa mkoa basi kwa kuwa nazo zimetoa viongozi waliofanya makubwa tu
Unaipa chato kuwa mkoa wakati kuna mikoa mikubwa kama Morogoro haijagawanywa
Watawala wetu huwa wanafurahia sana ujinga wetu.Ikiwa mkoa,itasaidia nini?itaongeza kipato kwa wananchi?itaongeza ajira?zaidi itaongeza gharama na watumishi tu,RC,DC,RAC ambao hawazalishi kitu zaidi ya kula mishahara tu,
Bora wangesema tujenge kiwanda,Mi Afrika bwana shida sana.inataka mkoa,mie kijana wa bodaboda itanisaidia kwa lipi?
Mtu mmoja aniambie Mara ya mwisho kusikia USA,au UK imeongeza mkoa au wilaya,au jimbo,lini?
Haya mawazo ya kijinga tu mnadhani dhahabu na mbuga za wanyama vinavyochangia mikoa mingine isiyo na chocote nayo ameondoka navyo ukiachia akili na nguvu ya wana Chato? Wivu mwingine wa kipumbavu.Kaondoka na uwanja wa ndege unaenda kuwa pori la kulishia mifugo
We naye pumzika na mzee, haya mambo tuachie wanaumeHaya mawazo ya kijinga tu mnadhani dhahabu na mbuga za wanyama vinavyochangia mikoa mingine isiyo na chocote nayo ameondoka navyo ukiachia akili na nguvu ya wana Chato? Wivu mwingine wa kipumbavu.
Kuna tatizo lolote chato ikiwa mkoa?Kumekuwa na tetesi za muda mrefu tangu Mh. Magufuli aingie madarakani kwa mara ya kwanza mwaka 2015 kwamba alikuwa na mpango kabambe wa kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa. Habari hiyo imekuwa ikikanushwa kwa hisia kali na wafuasi wa CCM ndani ya JF kuonesha kwamba wanaosema hivyo ni wazushi na wana nia mbaya ya kuonesha labda MH. Magufuli alikuwa anajipendelea ukizingatia udogo wa mji na uchanga wa wilaya ya Chato.
Lakini mtu aliyeandaliwa kuwasilisha salaam za Wanachato siku ya mazishe, Mzee maarufu pale Chato aitwaye Magambo ameweka wazi kwamba marehemu katika uhai wake aliwaahidi kuigeuza Chato kuwa mkoa kabla ya 2025.
Akijibu hoja hiyo Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kulifanyia kazi kama litakidhi vigezo vilivyowekwa. Lakini facial expression yake imeonesha mshitumko juu ya jambo hili kwa kuliona kama jipya. Baadhi ya maneno aliyotumia ni "Nasikia mmeshaanza mchakato". Jambo jema Kama hili la kuliongezea thamani eneo mojawapo katika nchi hii halikupaswa kuwa siri hata kwa watu muhimu na wawezeshaji. Tulifichwa mchakato huu ili iweje? Yaani walitegemea siku moja tuamke na kukuta Chato ni mkoa ghafla?
Tabia hii ya kuweka siri vitu vinavyopaswa kuwa wazi haileti Afya kwa Utangamano wa nchi yetu. Mh. Samia asikubali kuendelea na utaratibu wa usiri usio wa lazima unaiweza kuibua fikra za upendeleo.
Hahaha kama mmedata hiviHiyo haitoshi kumuenzi jiwe wetu..awekwe kwenye fedha yetu kama alivyo Nyerere
Nani atakubali kwanza kwenda kuishi Chato tena?Kwenye kuomboleza ndo kauli zake...subiri msiba uishe tunarudi kwenye vipaombele vya nchi..
Unafikiri hosptal ya Rufaa chato itapata bajet kama zilivyo hosptal za Rufaa?
Ukitaka kujua mie ni mwanamme nitumie dada, shangazi, na mama zako hata bibi si mbaya sana.We naye pumzika na mzee, haya mambo tuachie wanaume
Na kama hautakidhi atawapa muongozo jinsi gani wataweza lupata vigezo.Wilaya tajwa hapo juu zinaunganishwa na mbuga ya Burigi-Chato. Kwa ukubwa wake, zinatosha kuwa mkoa. Mkoa huu utakuwa na kila vigezo vya kuwa mkoa kwa vile una idadi ya kutosha ya watu, eneo, na kila sababu ya kuwa mkoa hata pasina kuwa ndiko alikozaliwa Magufuli.n Rais Samia amesema ataufanya mkoa kama utakidhi vigezo. Hapo nimetaja vichache. Je wewe unashaurije?
Tetetete umeanza lini tena mkuu au bwashee kasafiri?Ukitaka kujua mie ni mwanamme nitumie dada, shangazi, na mama zako hata bibi si mbaya sana/
Duh...aisee...kazi mnayo...wapotoshaji mko wengi aisee..duh...Yaani hata aibu huna....Rais hajasema hivyo...amesema mchakato umeanza na Kama vigezo havitoshi wataelekeza namna ya kufanya kukamilisha vigezo ili Chato iwe mkoa kumuenzi JPM...umesikia wewe .mpotoshaji?Umemsikia au umehadithiwa?? Kwa Kauli ya Rais Chato haiwezi kuwa Mkoa kwa maana haiwezi kidhi vigezo vya kuwa mkoa.