Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Sasa hivi ndiyo basi tenaWilaya iwe mkoa ama kweli chato pame kucha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi ndiyo basi tenaWilaya iwe mkoa ama kweli chato pame kucha
ndo ufikirie sasa,kwanini watu wengi hivo wampigie keleleHajafikia hadhi ya kuwekwa kwenye fedha maana hakuna alicho fanya akawazidi wenzie walio pitaunafiki sio mzuri sema kwake makelele yalikuwa mengi sana kumtukuza.
Ni suala la mda tu hakuna atakae kuwa anaikumbuka chato tena, hili suala bado bichi so lazima aongee hvyoItakua unasikiliza Lisu Redio Fm ila kama umemsikiliza rais, mipango ya chato iko pale pale.
Acha wanune lakini ndiyo ukweliNimekusoma mkuu ndiyo maana MATAGA wameamua kuporomosha matusi tu.
Sasa si kafa?? Kwanini watu walie,hadi wapoteze maisha?? Kwanini,..Mfalme juha alipenda kusifiwa hata akiwa uchi umwambie kapendeza sana na anavutia.
Tena ni mbovu haswamama hana jipya nashangaa watanzania wana very high expectations...But whyyyyy
Alinyamazisha vyombo vya habari vyote akabaki kusifiwa tuHajafikia hadhi ya kuwekwa kwenye fedha maana hakuna alicho fanya akawazidi wenzie walio pitaunafiki sio mzuri sema kwake makelele yalikuwa mengi sana kumtukuza.
True kumuenzi mtu sio kwa kuvunja utaratibuMama amekubali, amesema hata kama wataona vigezo havijakidhi basi watawaelekeza ili vigezo vikidhi
Ndio nimeanza kumuona huyu mama hamna kitu
Basi Butiama, Mkuranga, Bagamoyo, Masasi nazo zingefanywa mkoa basi kwa kuwa nazo zimetoa viongozi waliofanya makubwa tu
Unaipa chato kuwa mkoa wakati kuna mikoa mikubwa kama Morogoro haijagawanywa
Unadhani maeneo mengine hayataki kuwa mikoa? Unadhani hayajui vigezo?Mama amekubali, amesema hata kama wataona vigezo havijakidhi basi watawaelekeza ili vigezo vikidhi
Ndio nimeanza kumuona huyu mama hamna kitu
Basi Butiama, Mkuranga, Bagamoyo, Masasi nazo zingefanywa mkoa basi kwa kuwa nazo zimetoa viongozi waliofanya makubwa tu
Unaipa chato kuwa mkoa wakati kuna mikoa mikubwa kama Morogoro haijagawanywa