Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Kwani amesema amechoka?Mwacheni apumzike¡
Wewe nani kakwambia CAG akishastaafu haruhusiwi kufanya kazi yeyote ile?Nani alikwambia CAG akishastaafu anaruhusiwa kupewa kazi nyingine na serikali?
KatibaWewe nani kakwambia CAG akishastaafu haruhusiwi kufanya kazi yeyote ile?
Komaa kichwa tu..werevu hawabishani ovyoovyo.Wewe nani kakwambia CAG akishastaafu haruhusiwi kufanya kazi yeyote ile?
Tuwekee kifungu cha Katiba hapa.Katiba
Sema hujuwi unachosema nitakuelewa. Siyo dhambi kama hujuwi kitu.Komaa kichwa tu..werevu hawabishani ovyoovyo.
Kweli mkuu, tatizo watu wengi hawajui.Katiba inamkataza kabisaNani alikwambia CAG akishastaafu anaruhusiwa kupewa kazi nyingine na serikali?
Wewe nani kakwambia CAG akishastaafu haruhusiwi kufanya kazi yeyote ile?
Mzee huyu nadhani apumzike tu lakini kwa ushauri anaweza kutumika. Wapo wengi tu wenye uadilifu kama yeye wanaweza kutumika wao.Tunapoongelea Professionalism Hakika huwezi kumwacha Musa Assad aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Huyu bwana alionesha msimamo wa kusimamia Taaluma yale pale alipoondolewa katika nafasi yake kwa nguvu na Hayati Dkt. JPM kwa sababu tu alisimamia kazi yake.
Nionavyo Mimi huyu atakuwa msaada sana kwa Serikali yako. Hatokuangusha.
Jiwe na yule mwenzake wa bungeni kijasho kiliwatoka,,,,Musa Assad ni shujaa katika nchi hiii. Hakutetereka na ile mikwara ya Jiwe nadhani hata jiwe mwenyewe ilimuuma sana.
Ateuliwe akafukue uozo wa mwendazakeMwacheni apumzike¡