Kasome katiba ili ujue unachopendekeza hakiwezekani mpaka katiba ibadilikeTunapoongelea Professionalism Hakika huwezi kumwacha Musa Assad aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Huyu bwana alionesha msimamo wa kusimamia Taaluma yale pale alipoondolewa katika nafasi yake kwa nguvu na Hayati Dkt. JPM kwa sababu tu alisimamia kazi yake.
Nionavyo Mimi huyu atakuwa msaada sana kwa Serikali yako. Hatokuangusha.
Ukiweza kuipata ile video ungejua vizur kuwa mzee alikuwa smart Sana alivyojibu Lile swaliHayati Magufuli :Eti CAG kuna upotevu Trilion 1.5?
CAG Assad :Hapana mkuu taarifa hizo si za kweli.
CCM mbele kwa mbele
Tunapoongelea Professionalism Hakika huwezi kumwacha Musa Assad aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Huyu bwana alionesha msimamo wa kusimamia Taaluma yale pale alipoondolewa katika nafasi yake kwa nguvu na Hayati Dkt. JPM kwa sababu tu alisimamia kazi yake.
Nionavyo Mimi huyu atakuwa msaada sana kwa Serikali yako. Hatokuangusha.
Jibu ni moja tuA na B yote majibu.
Taja kashfa zake nyie ndio wanafiki wenyewe.Unamjua Assad vizuri na kashfa zake. Chuki zako za kijinga kwa JPM zisikufanye umpe utakatifu mtu hata usiyemjua. Wewe mtu akindikwa kuwa alisema jambo fulani na ukaona Hilo lilipingana na JPM Basi kwako anafaa. Kua kwanza. Huyo hafai hata kumung‘unyia pipi.
Umegonga penyeweKatiba sio msahafu Assad apewe shavu, atamsaidia sana Mama
Kashfa za Asaad kutoka wapi tena. Walio na kashfa kama huwajui sema tukusaidie..?!Unamjua Assad vizuri na kashfa zake. Chuki zako za kijinga kwa JPM zisikufanye umpe utakatifu mtu hata usiyemjua. Wewe mtu akindikwa kuwa alisema jambo fulani na ukaona Hilo lilipingana na JPM Basi kwako anafaa. Kua kwanza. Huyo hafai hata kumung‘unyia pipi.
Mimi naungana na mtoa hoja Tanzania hii hakuna mwenye msimamo mkali anaefanana na Mussa Assad.Kwahiyo Tanzania nzima ni Yeye tu pekee ndiyo ana Uwezo huo na Wengineo ni Vilaza tu?
Acheni Kutumika na Kutaka Kumpangia Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan awaridhishe.
Huu ni muda wa Watanzania wengine nao kupewa Nafasi ili nao watuonyeshe Uweledi wao.
Ubarikiwe sana..Nakushukuru mkuu kwa masahihisho.
Mijizi ya Sukuma gang utaijua tu mwa kujifanya ni watetezi wa "wanyonge".Wazee wapo kazini miaka kibao, wamestaafu na kurudishwa, bado unapiga promo za wazee kurudishwa maofsini Wakati huo huo mnapiga kelele vijana hawana ajira???
Koma kabisa
Hebu tupe kashfa zake itakuwa exclusive hiiiUnamjua Assad vizuri na kashfa zake. Chuki zako za kijinga kwa JPM zisikufanye umpe utakatifu mtu hata usiyemjua. Wewe mtu akindikwa kuwa alisema jambo fulani na ukaona Hilo lilipingana na JPM Basi kwako anafaa. Kua kwanza. Huyo hafai hata kumung‘unyia pipi.
Hoja nzuri sanaTunapoongelea Professionalism Hakika huwezi kumwacha Musa Assad aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Huyu bwana alionesha msimamo wa kusimamia Taaluma yale pale alipoondolewa katika nafasi yake kwa nguvu na Hayati Dkt. JPM kwa sababu tu alisimamia kazi yake.
Nionavyo Mimi huyu atakuwa msaada sana kwa Serikali yako. Hatokuangusha.
Bado ana nguvu ya kufanya kazi. Ikupendeze mh Raid umpe jukumu Hilo aweze kudhibiti kwenye manunuzi ya serikali. Huyu hata hicho Cha juu kilichowekwa kwenye ununuzi wa ndege ya mizigo usingesikia.Mwacheni apumzike¡
Tunataka watu waadilifu wafanye kazi uchumi ufunguke tuanzishe na viwanda na miradi mingine Ili na hao wasio na ajira wapate kazi.Wazee wapo kazini miaka kibao, wamestaafu na kurudishwa, bado unapiga promo za wazee kurudishwa maofsini Wakati huo huo mnapiga kelele vijana hawana ajira???
Koma kabisa
Hebu tupe kashfa zake itakuwa exclusive hiii
Maana hazijawahi kuandikwa kokote
Katiba hairuhusuTunapoongelea Professionalism Hakika huwezi kumwacha Musa Assad aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Huyu bwana alionesha msimamo wa kusimamia Taaluma yale pale alipoondolewa katika nafasi yake kwa nguvu na Hayati Dkt. JPM kwa sababu tu alisimamia kazi yake.
Nionavyo Mimi huyu atakuwa msaada sana kwa Serikali yako. Hatokuangusha.
Amekusikia profTunapoongelea Professionalism Hakika huwezi kumwacha Musa Assad aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Huyu bwana alionesha msimamo wa kusimamia Taaluma yale pale alipoondolewa katika nafasi yake kwa nguvu na Hayati Dkt. JPM kwa sababu tu alisimamia kazi yake.
Nionavyo Mimi huyu atakuwa msaada sana kwa Serikali yako. Hatokuangusha.