Rais Samia Suluhu mteue Prof. Mussa Assad katika nafasi yoyote ile atakusaidia sana

Rais Samia Suluhu mteue Prof. Mussa Assad katika nafasi yoyote ile atakusaidia sana

Tunapoongelea Professionalism Hakika huwezi kumwacha Musa Assad aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Huyu bwana alionesha msimamo wa kusimamia Taaluma yale pale alipoondolewa katika nafasi yake kwa nguvu na Hayati Dkt. JPM kwa sababu tu alisimamia kazi yake.

Nionavyo Mimi huyu atakuwa msaada sana kwa Serikali yako. Hatokuangusha.
Kasome katiba ili ujue unachopendekeza hakiwezekani mpaka katiba ibadilike
 
Hayati Magufuli :Eti CAG kuna upotevu Trilion 1.5?


CAG Assad :Hapana mkuu taarifa hizo si za kweli.


CCM mbele kwa mbele
Ukiweza kuipata ile video ungejua vizur kuwa mzee alikuwa smart Sana alivyojibu Lile swali
 
Tunapoongelea Professionalism Hakika huwezi kumwacha Musa Assad aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Huyu bwana alionesha msimamo wa kusimamia Taaluma yale pale alipoondolewa katika nafasi yake kwa nguvu na Hayati Dkt. JPM kwa sababu tu alisimamia kazi yake.

Nionavyo Mimi huyu atakuwa msaada sana kwa Serikali yako. Hatokuangusha.

Kwahiyo Tanzania nzima ni Yeye tu pekee ndiyo ana Uwezo huo na Wengineo ni Vilaza tu?

Acheni Kutumika na Kutaka Kumpangia Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan awaridhishe.

Huu ni muda wa Watanzania wengine nao kupewa Nafasi ili nao watuonyeshe Uweledi wao.
 
Unamjua Assad vizuri na kashfa zake. Chuki zako za kijinga kwa JPM zisikufanye umpe utakatifu mtu hata usiyemjua. Wewe mtu akindikwa kuwa alisema jambo fulani na ukaona Hilo lilipingana na JPM Basi kwako anafaa. Kua kwanza. Huyo hafai hata kumung‘unyia pipi.
Taja kashfa zake nyie ndio wanafiki wenyewe.
 
Unamjua Assad vizuri na kashfa zake. Chuki zako za kijinga kwa JPM zisikufanye umpe utakatifu mtu hata usiyemjua. Wewe mtu akindikwa kuwa alisema jambo fulani na ukaona Hilo lilipingana na JPM Basi kwako anafaa. Kua kwanza. Huyo hafai hata kumung‘unyia pipi.
Kashfa za Asaad kutoka wapi tena. Walio na kashfa kama huwajui sema tukusaidie..?!
 
Kwahiyo Tanzania nzima ni Yeye tu pekee ndiyo ana Uwezo huo na Wengineo ni Vilaza tu?

Acheni Kutumika na Kutaka Kumpangia Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan awaridhishe.

Huu ni muda wa Watanzania wengine nao kupewa Nafasi ili nao watuonyeshe Uweledi wao.
Mimi naungana na mtoa hoja Tanzania hii hakuna mwenye msimamo mkali anaefanana na Mussa Assad.
 
Tusiangalie dini yake tuangalie uwezo. Ofisi ya CAG wakati wa Professor Mussa ilifanya vizuri sana kuibua madudu serikalini mpaka Marehemu alichukia na akaamua kumfukuza kazi kabla ya wakati.
 
Wazee wapo kazini miaka kibao, wamestaafu na kurudishwa, bado unapiga promo za wazee kurudishwa maofsini Wakati huo huo mnapiga kelele vijana hawana ajira???

Koma kabisa
Mijizi ya Sukuma gang utaijua tu mwa kujifanya ni watetezi wa "wanyonge".
 
Unamjua Assad vizuri na kashfa zake. Chuki zako za kijinga kwa JPM zisikufanye umpe utakatifu mtu hata usiyemjua. Wewe mtu akindikwa kuwa alisema jambo fulani na ukaona Hilo lilipingana na JPM Basi kwako anafaa. Kua kwanza. Huyo hafai hata kumung‘unyia pipi.
Hebu tupe kashfa zake itakuwa exclusive hiii

Maana hazijawahi kuandikwa kokote
 
Sifahamu kama kuna cheo serekali cha namna hii, lakini nafasi kama hii ingeliwepo ingelimsaidia sana rais wetu katika kudhibiti hasa manunuzi kwa kuweka mipaka, hivyo chombo hiki kikawa kinafanya filtering ya bei na kutoa miongozo mbalimbali, inasikitisha sana kwa muheshimiwa rais kujitahidi kwa nguvu zote huku wachache wakiona ndio wakati wao sahihi wa kufanya sabotage, Asad akiwepo kwa taaluma yake hakika rais wetu atakuwa na amani wakati wote, pia Prof Asad ni muislam safi kabisa, tukumbuke wenzetu wamelelewa katika utu zaidi na imani ya duniani sisi si lolote tunapita tu.
Wasalaam tupige soga!
 
Tunapoongelea Professionalism Hakika huwezi kumwacha Musa Assad aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Huyu bwana alionesha msimamo wa kusimamia Taaluma yale pale alipoondolewa katika nafasi yake kwa nguvu na Hayati Dkt. JPM kwa sababu tu alisimamia kazi yake.

Nionavyo Mimi huyu atakuwa msaada sana kwa Serikali yako. Hatokuangusha.
Hoja nzuri sana
 
Mwacheni apumzike¡
Bado ana nguvu ya kufanya kazi. Ikupendeze mh Raid umpe jukumu Hilo aweze kudhibiti kwenye manunuzi ya serikali. Huyu hata hicho Cha juu kilichowekwa kwenye ununuzi wa ndege ya mizigo usingesikia.
 
Wazee wapo kazini miaka kibao, wamestaafu na kurudishwa, bado unapiga promo za wazee kurudishwa maofsini Wakati huo huo mnapiga kelele vijana hawana ajira???

Koma kabisa
Tunataka watu waadilifu wafanye kazi uchumi ufunguke tuanzishe na viwanda na miradi mingine Ili na hao wasio na ajira wapate kazi.
 
Tunapoongelea Professionalism Hakika huwezi kumwacha Musa Assad aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Huyu bwana alionesha msimamo wa kusimamia Taaluma yale pale alipoondolewa katika nafasi yake kwa nguvu na Hayati Dkt. JPM kwa sababu tu alisimamia kazi yake.

Nionavyo Mimi huyu atakuwa msaada sana kwa Serikali yako. Hatokuangusha.
Katiba hairuhusu
 
Tunapoongelea Professionalism Hakika huwezi kumwacha Musa Assad aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Huyu bwana alionesha msimamo wa kusimamia Taaluma yale pale alipoondolewa katika nafasi yake kwa nguvu na Hayati Dkt. JPM kwa sababu tu alisimamia kazi yake.

Nionavyo Mimi huyu atakuwa msaada sana kwa Serikali yako. Hatokuangusha.
Amekusikia prof
 
Back
Top Bottom