Rais Samia Suluhu mteue Prof. Mussa Assad katika nafasi yoyote ile atakusaidia sana

Rais Samia Suluhu mteue Prof. Mussa Assad katika nafasi yoyote ile atakusaidia sana

Tunapoongelea Professionalism Hakika huwezi kumwacha Musa Assad aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Huyu bwana alionesha msimamo wa kusimamia Taaluma yale pale alipoondolewa katika nafasi yake kwa nguvu na Hayati Dkt. JPM kwa sababu tu alisimamia kazi yake.

Nionavyo Mimi huyu atakuwa msaada sana kwa Serikali yako. Hatokuangusha.

Tatizo letu Watanzania huwa tunasahau upesi sana. Huyu Assad Wengi wenu mnaemsifia na hata kutaka kumtafutia kaziKwa Samai ni mtu ambae ameitia hasara sana nchi hii akiwa mkurugenzi wa bodi ya NSSF na Mwenyekiti wa AUDIT committee wa bodi hiyo. Hayo magofu ya NSSF yaliyoko huko Kigamboni na watu kuyalilia kila siku ni mazao ya ASSAD akiwa mjumbe wa bodi na Ramadhan Kitwana Dau akiwa mkurugenzi mkuu wa NSSF.
Kwa mapendkezo yake kuwa wajumbe wa bodi za mashirika wawajibishwe, yeye angetakiwa kuwajibishwa kwa ubadhirifu waliofanya pale NSSF!
Assad hana moral authority ya kuwanyooshea kidole mafisadi wanaohujumu mashirika ya umma kwani yeye pia ni mmoja wao.
 
Eti alionyesha msimamo
aliulizwa mbeli ya PILATO
eti CAG kuna upotevu wa T.1.5 sijui aliogopa akakana mbele ya pilato hakuna upotevu nikasema ukitaka kupima msimamo wa mtu ni kumuuliza hadharani tu
Tatizo hujui uhasibu .magu aliuliza swali kijanja .ukienda halmashauli ilitumiwa gari 2 hazipo hama cag husemi ziliibiwa unasema hazipo.sasa magu alimuuliza ziliibiwa? Anaeweza sema ziliibiwa ni mahakama tu.alimvizia ajichanganye.mzee mbobez akachomoa
 
Sasa kuswali na misikiti inaingiaje hapa? au mna agenda ya siri nyie wagalatia ndio maana mnapingana na mtoa hoja?

Mnataka afanye kazi ngapi? Hivi sasa si yuko Chuo Kikuu cha waislam Morogoro ! Wengi wenu mna mihemko,tafuteni historia yake alipokuwa board member wa NSSF na rafiki yake Ramadhani Dau na jinsi walivyolihujumu shirika-hapo ndio mtafahamu uadilifu wake.
 
Katiba hairuhusu kufanya hivyo!

Sijuimnaelewa?!

Tafuteni kujua zaidi.
 
Back
Top Bottom