Rais Samia Suluhu tumia madaraka yako mwachie huru Mbowe

Rais Samia Suluhu tumia madaraka yako mwachie huru Mbowe

PhD

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2009
Posts
4,692
Reaction score
3,891
Kwa heshima kubwa Mheshimiwa Rais SSH nawasilisha kwako ombi maalum kwamba, kwa mamlaka uliyo nayo na kwa kutumia ofisi zilizopo kikatiba mwachie huru Ndg. Freeman Aikael Mbowe.

Hoja yangu naijenga katika misingi ya kuliponya Taifa na majeraha ya chuki na kutokuelewana.

Mhe. Rais nakariri maelezo ya ZZK ya hivi majuzi kuwa mashtaka ya Mbowe hayana maslahi kwa Taifa.

Mhe. Rais. Nakuomba sana na naomba kuwasilisha. Naamini kwa dhati utazingatia ombi hili maalum kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
 
Huwezi kuachia huru mtu ambaye haja hukumiwa kisheria. Tatizo ni waache kuweka kesi za kijinga kijinga za siasa
 
Kwa heshima kubwa Mheshimiwa Rais SSH nawasilisha kwako ombi maalum kwamba, kwa mamlaka uliyo nayo na kwa kutumia ofisi zilizopo kikatiba mwachie huru Ndg. FREEMA AIKAEL MBOWE.

Hoja yangu naijenga katika misingi ya kuliponya Taifa na majeraha ya chuki na kutokuelewana.

Mhe. Rais nakariri maelezo ya ZZK ya hivi majuzi kuwa mashtaka ya Mbowe hayana maslahi kwa Taifa.

Mhe. Rais. Nakuomba sana na naomba kuwasilisha. Naamini kwa dhati utazingatia ombi hili maalum kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
Tatizo ni Mbowe kuwa mvumilivu, CCM imetumia kila aina ya njia zikiwemo kumfunga bila makosa kama ilivyowahi kuthibitishwa na mahakama, kusambaratisha biashara zake, kumpiga na kumjeruhi lakini wapi Mbowe hataki kuacha siasa ili CCM ipumue na ipate usingizi. Sasa hatua hii ni jaribio la mama wa majaribio ya kumdhibiti Mbowe kwa hali na mali na liwalo na liwe.
Ukweli ni siku Mbowe wakimtoa Chadema CCM italipuka kwa vifiyo mpaka wafu wataipata habari huko waliko.
 
Kwa heshima kubwa Mheshimiwa Rais SSH nawasilisha kwako ombi maalum kwamba, kwa mamlaka uliyo nayo na kwa kutumia ofisi zilizopo kikatiba mwachie huru Ndg. FREEMA AIKAEL MBOWE.

Hoja yangu naijenga katika misingi ya kuliponya Taifa na majeraha ya chuki na kutokuelewana.

Mhe. Rais nakariri maelezo ya ZZK ya hivi majuzi kuwa mashtaka ya Mbowe hayana maslahi kwa Taifa.

Mhe. Rais. Nakuomba sana na naomba kuwasilisha. Naamini kwa dhati utazingatia ombi hili maalum kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
unajuje km sio yeye ssh aliagiza mbowe aozee jela? Jitafakari
 
Huyo bibi akishapigiliamsumari suala la mbowe, hivyo tusahau huruma yake. Tutafute namna nyingine.
 
Tatizo ni Mbowe kuwa mvumilivu, CCM imetumia kila aina ya njia zikiwemo kumfunga bila makosa kama ilivyowahi kuthibitishwa na mahakama, kusambaratisha biashara zake, kumpiga na kumjeruhi lakini wapi Mbowe hataki kuacha siasa ili CCM ipumue na ipate usingizi. Sasa hatua hii ni jaribio la mama wa majaribio ya kumdhibiti Mbowe kwa hali na mali na liwalo na liwe.
Ukweli ni siku Mbowe wakimtoa Chadema CCM italipuka kwa vifiyo mpaka wafu wataipata habari huko waliko.
Unaamini kuondoka kwa Mbowe (kwa namna yoyote ile) knaweza kuwapa nafuu CCM?Mimi sidhani hivyo!! Nkiangalia mtu kama Heche awe ndiye Mwenyekiti naamini hali itakuw atofauti sana.
Hakuna aliyejua kuwa mtu anaweza kuua askari "cold blood" na akatamba barabarani hapa Tanzania lakini imetokea.Binafsi naomba kama Mbowe ana hatia afungwe hata kunyongwa lakini ithibitike wazi!
 
Kwa heshima kubwa Mheshimiwa Rais SSH nawasilisha kwako ombi maalum kwamba, kwa mamlaka uliyo nayo na kwa kutumia ofisi zilizopo kikatiba mwachie huru Ndg. FREEMA AIKAEL MBOWE.

Hoja yangu naijenga katika misingi ya kuliponya Taifa na majeraha ya chuki na kutokuelewana.

Mhe. Rais nakariri maelezo ya ZZK ya hivi majuzi kuwa mashtaka ya Mbowe hayana maslahi kwa Taifa.

Mhe. Rais. Nakuomba sana na naomba kuwasilisha. Naamini kwa dhati utazingatia ombi hili maalum kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
Mbowe sio malaika ni Gaidi lililo jificha kwenye kichaka cha siasa.
Serikali haiwezi kuyumbishwa na Gaidi, Jeshi la Polisi na vyombo vyote vya ulinzi vipo imara.
Mbowe hawezi kuwa Juu ya sheria za Tanzania.
Mbowe ni Raia kama walivyo raia wengine wahalifu waliopo mahabusu.
Kama Mbowe ataachiwa kwa shinikinikizo lolote lile basi ni bora wahalifu wote waliopo jela nao waachiwe huru jambo ambalo halitowezekana.
 
Mbowe sio malaika ni Gaidi lililo jificha kwenye kichaka cha siasa.
Serikali haiwezi kuyumbishwa na Gaidi, Jeshi la Polisi na vyombo vyote vya ulinzi vipo imara.
Mbowe hawezi kuwa Juu ya sheria za Tanzania.
Mbowe ni Raia kama walivyo raia wengine wahalifu waliopo mahabusu.
Kama Mbowe ataachiwa kwa shinikinikizo lolote lile basi ni bora wahalifu wote waliopo jela nao waachiwe huru jambo ambalo halitowezekana
 
Kwa heshima kubwa Mheshimiwa Rais SSH nawasilisha kwako ombi maalum kwamba, kwa mamlaka uliyo nayo na kwa kutumia ofisi zilizopo kikatiba mwachie huru Ndg. FREEMA AIKAEL MBOWE.

Hoja yangu naijenga katika misingi ya kuliponya Taifa na majeraha ya chuki na kutokuelewana.

Mhe. Rais nakariri maelezo ya ZZK ya hivi majuzi kuwa mashtaka ya Mbowe hayana maslahi kwa Taifa.

Mhe. Rais. Nakuomba sana na naomba kuwasilisha. Naamini kwa dhati utazingatia ombi hili maalum kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

2902928_Kutoka_Ukonga_leo_Ijumaa_Askofu_Mkuu_wa_KKKT_Dr._Fredrick_Shoo_amefika_gereza_la_Ukong...jpg
 
Huwezi kuachia huru mtu ambaye haja hukumiwa kisheria. Tatizo ni waache kuweka kesi za kijinga kijinga za siasa
DPP anaweza kuambiwa na Raisi na yeye akotoa Nole prosecution...mwisho wa kesi
 
Kwa heshima kubwa Mheshimiwa Rais SSH nawasilisha kwako ombi maalum kwamba, kwa mamlaka uliyo nayo na kwa kutumia ofisi zilizopo kikatiba mwachie huru Ndg. FREEMA AIKAEL MBOWE.

Hoja yangu naijenga katika misingi ya kuliponya Taifa na majeraha ya chuki na kutokuelewana.

Mhe. Rais nakariri maelezo ya ZZK ya hivi majuzi kuwa mashtaka ya Mbowe hayana maslahi kwa Taifa.

Mhe. Rais. Nakuomba sana na naomba kuwasilisha. Naamini kwa dhati utazingatia ombi hili maalum kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
Hili ni jambo la msingi.Mama anafanya kazi nzuri.Asikubali kushauriwa vibaya.

Tuna mambo ya msingi ya kufanya kuliko kesi ya Mboe
 
Mbowe sio malaika ni Gaidi lililo jificha kwenye kichaka cha siasa.
Serikali haiwezi kuyumbishwa na Gaidi, Jeshi la Polisi na vyombo vyote vya ulinzi vipo imara.
Mbowe hawezi kuwa Juu ya sheria za Tanzania.
Mbowe ni Raia kama walivyo raia wengine wahalifu waliopo mahabusu.
Kama Mbowe ataachiwa kwa shinikinikizo lolote lile basi ni bora wahalifu wote waliopo jela nao waachiwe huru jambo ambalo halitowezekana
 
Huwezi kuachia huru mtu ambaye haja hukumiwa kisheria. Tatizo ni waache kuweka kesi za kijinga kijinga za siasa
Hata wajinga wanajua kuwa kesi ya mbowe ni ya kubumba iliyotengenezwa na viongozi wajinga wasiojiamini
 
Mbowe sio malaika ni Gaidi lililo jificha kwenye kichaka cha siasa.
Serikali haiwezi kuyumbishwa na Gaidi, Jeshi la Polisi na vyombo vyote vya ulinzi vipo imara.
Mbowe hawezi kuwa Juu ya sheria za Tanzania.
Mbowe ni Raia kama walivyo raia wengine wahalifu waliopo mahabusu.
Kama Mbowe ataachiwa kwa shinikinikizo lolote lile basi ni bora wahalifu wote waliopo jela nao waachiwe huru jambo ambalo halitowezekana
Ugaidi unausikia kwenye magazeti . Kwa kiswahili Cha huko kwenu dar tanzania endeleeni kulitamka neno ugaidi Kila siku dhamani ya Hilo neno itawagharimu sana sana especially kwenye investors . Sijasikia kauli ya "National Counter Teorism Center "( NCTC) kuhusu ugaidi Kwa tanzania.
 
Back
Top Bottom