Rais Samia Suluhu, Waganda wamekupigia 'Salute' kwa Kiingereza chako kizuri japo huna PhD yoyote

Rais Samia Suluhu, Waganda wamekupigia 'Salute' kwa Kiingereza chako kizuri japo huna PhD yoyote

Siyo wote wanaoongea Kiingereza wana elimu mkuu,Kiingereza ni lugha na wala siyo elimu.

Ukisema English ni Elimu utaonekana huna elimu

Kuna Warusi, Wataliano, Wafaransa hawazungumzi Kiingereza sio kwamba hawana elimu...KIINGEREZA NI LUGHA
Waambie wakupe Formula ya BOYLE'S LAW kwa wanaojua Kiingereza
 
Jana Usiku nilipokea Meseji moja kutoka kwa Rafiki mkubwa kutoka Uganda akielezea Kufurahishwa Kwake na 'Kiingereza ' kizuri alichonacho Rais wa Tanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan.

"Mr. Generalist are sure that this President of yours Mama Samia she's not a Briton? She speaks fluent English, very articulate, attractive and comfortable with it unlike other so called intellectuals with their doctorates on hand "

Na Waganda hawakuishia hapa tu kwa huyu Rafiki yangu Kunitumia hiyo Meseji bali hata ukienda huko Ugandans On Twitter ( UOT ) Wachangiaji wengi wamevutiwa na Uwezo mkubwa wa Kuongea Kiingereza ' kilichonyooka ' cha Mheshimiwa Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan.

Wameenda mbali zaidi na Kuhoji inakuwa Marais wengine (hasa Barani Afrika) wana Elimu Kubwa lakini walipokuwa wakiwasikiliza (wanapowasikiliza) huwa wanaongea Viingereza 'vibovu vibovu' tu wakati Makabatini mwao wamehifadhi Vyeti vya ' PhD ' zao.

Kongole sana Kwako Rais Mama Samia.
Sema tu humpendi Hayati kwani angeshindwa kusoma????
 
Kuna nchi bado inaamini katika lockdown? Kamsikilize mshauri wa masuala ya afya wa Uingereza kuhusu corona then linganisha na hotuba za Magufuli kuhusu corona mwaka jana, namnukuu, "tutajuaje, kama liugonjwa tutaendelea kuishi nalo kama magonjwa mengine" Yule jamaa wa UK kasema exactly the same as of what Magufuli said.
Mazindu Msambule nadhani unatatizo la kusoma na kuelewa. Ni hivi, hapa tunavyoongea Uingereza wamefunga mipaka yao na kuzuia muingliano na nchi nyingi mpaka za ulaya. Wanachanja raia wao wote kwa nguvu kubwa wanaamini kuwa ikifika June 2021, watakuwa wamesha kamilisha chanjo kwa raia wao wote hivyo hakutakuwa tena na shida ya lock down na ugonjwa huo utakuwa kama mafua.
Haya sema sasa sisi Tanzania tuko wapi?
Na ndio maana hakusema sasa hivi ugonjwa huo ni kama mafua UK, bali June , sasa hivi ni April na kuna lockdown ya nguvu.
Soma uelewe ndugu yangu sio kushabikia tu ujinga.
 
Wapi Prof. Joyce Ndalichako
Nipe tofauti Kati ya Reading and Speaking.Unajua hakuna anayependa kubagua Serikali kwani Serikali zote zimetokana na Mungu Mtasababisha hata tusiokuwa na itikadi fulani tuanze kuwakataa kwa propaganda za kijinga kama hizi ebu tuacheni tupumzike bado tuna Majonzi Makubwa hasa sisi Watanzania masikini.
 
Ni upumbavu kukandia watu wanaojua kingereza kuwa ni watumwa
Hata sisi makapuku kama tunataka kazi nzuri ya kuishi maisha ya kujikimu na familia yako, lazima masharti hiyo kazi ujue kingereza, hata kama ni ya serikali achilia mbali kazi mashirika ya nje yenye mshahara mzuri.
Kama hujui jifunze lakini usilete za sungura sizitaki mbichi hizi...........
 
Jana Usiku nilipokea Meseji moja kutoka kwa Rafiki mkubwa kutoka Uganda akielezea Kufurahishwa Kwake na 'Kiingereza ' kizuri alichonacho Rais wa Tanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan.

"Mr. Generalist are sure that this President of yours Mama Samia she's not a Briton? She speaks fluent English, very articulate, attractive and comfortable with it unlike other so called intellectuals with their doctorates on hand "

Na Waganda hawakuishia hapa tu kwa huyu Rafiki yangu Kunitumia hiyo Meseji bali hata ukienda huko Ugandans On Twitter ( UOT ) Wachangiaji wengi wamevutiwa na Uwezo mkubwa wa Kuongea Kiingereza ' kilichonyooka ' cha Mheshimiwa Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan.

Wameenda mbali zaidi na Kuhoji inakuwa Marais wengine (hasa Barani Afrika) wana Elimu Kubwa lakini walipokuwa wakiwasikiliza (wanapowasikiliza) huwa wanaongea Viingereza 'vibovu vibovu' tu wakati Makabatini mwao wamehifadhi Vyeti vya ' PhD ' zao.

Kongole sana Kwako Rais Mama Samia.
Hv mkuu waganda si kama sisi2 sasa vingereza vya nn sasa kama sikuwashobokea wazungu2
 
Bado tunasafari ndefu kama nchi.

Yaani mtu kuzungumza Kingereza kizuri nalo ni swala la kujisifia?
Kuna mambo mengine unaweza sema kama tumerogwa, tunapenda sana kusifia mambo au vitu visivyotusaidia chochote yaani utafikiri kiingereza kimewahi kutujengea hata kilomita moja ya barabara ya lami jinsi watu wanavyokishabikia,
 
Tanzania maduka ya stationery yote yamejaa vifaa vya kuandikia toka China ambao hawajawahi kututawala.Vifaa havitoki Kwa waingereza au wajerumani waliotutawala vinatoka china

Soko lote la stationery nchi nzima asilimia 99 limeshikwa na Mchina sio mwingereza wala mjerumani
Mtanzania hataishi kwa steshenare tu...
 
then don"t blame others kwa kushindwa kujua kiingeteza hata wao izo sorry wanaziweza kuzitoa baada ya kukosea
Lugha ya wengine ni ya wengine tuheshimiane tuvumiliane.Kama mtu anaekeweka anamaanisha nini akiongea lugha ya wengine inatosha.Ukikomaa kuwa mtu aongee kingerezs fluently wakati kingereza sio lugha yake ya kwanza pekee ka mwingereza na mumarekani unamuonea.

Mimi kingereza nakijua kwa kiasi changu kwangu ni lugha ya tatu

Ninaongea kilugha fluently.Shuleni nikafunzwa kiswahili nakiongea Fluently.Secondary nk nikasoma kiingereza kama lugha ya tatu.Kunilinganisha kiingereza changu na Mwingereza na mmarekani ambaye toka kuzaliwa anaongea lugha hiyo tu si haki
Magufuli alikua anaongea kizilankende na kihaya na kisukuma na kiswahili fluently kiingereza ilikuwa lugha yake ya tano alijitahidi kiasi chake.Sijui Mama Samia English ni lugha yake ya ngapi.

Zanzibar second language ni English ya mwnzo ni kiswahili hakuna lugha za makabila
 
Jana Usiku nilipokea Meseji moja kutoka kwa Rafiki mkubwa kutoka Uganda akielezea Kufurahishwa Kwake na 'Kiingereza ' kizuri alichonacho Rais wa Tanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan.

"Mr. Generalist are sure that this President of yours Mama Samia she's not a Briton? She speaks fluent English, very articulate, attractive and comfortable with it unlike other so called intellectuals with their doctorates on hand "

Na Waganda hawakuishia hapa tu kwa huyu Rafiki yangu Kunitumia hiyo Meseji bali hata ukienda huko Ugandans On Twitter ( UOT ) Wachangiaji wengi wamevutiwa na Uwezo mkubwa wa Kuongea Kiingereza ' kilichonyooka ' cha Mheshimiwa Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan.

Wameenda mbali zaidi na Kuhoji inakuwa Marais wengine (hasa Barani Afrika) wana Elimu Kubwa lakini walipokuwa wakiwasikiliza (wanapowasikiliza) huwa wanaongea Viingereza 'vibovu vibovu' tu wakati Makabatini mwao wamehifadhi Vyeti vya ' PhD ' zao.

Kongole sana Kwako Rais Mama Samia.
Utakuwa punguwani wa akili sio bure
 
Back
Top Bottom