imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Anamzidi Ndalichako kwa mbali sana.Even though she has a good pronunciation skill.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamzidi Ndalichako kwa mbali sana.Even though she has a good pronunciation skill.
Kwa hiyo kipimo cha uongozi bora ni language proficiency?
NGeli za kizaramo utazitumia wapi wewe hiyo ni lugha ya kuangulia nazi tu na mananasi ya pwani tu.Wewe Generalist ni mshamba na muathirika wa neo colonialism, unaona kuongea kiingereza ni dili, kwani ngeli na kizaramu zina tofauti gani? Zote si lugha tu tunajifunza?
Anamzidi Ndalichako kwa mbali sana.
Bangi haijawahi kumuacha mtu salamaApumzike nini? Na ana bahati kazikwa kwao Chato, ingekuwa ni hapa Dar ningekwenda kunya juu ya kaburi lake.
Kwani Generalist ndiye Mh. Rais Samia S.H mpaka ajisifie!!??Bado tunasafari ndefu kama nchi.
Yaani mtu kuzungumza Kingereza kizuri nalo ni swala la kujisifia?
hapana, Samia anajua kiingereza, sio kama wengine wale. anakifahamu na alishafanya kazi katika organisation ya kimataifa. sawa tu na polepole, hajaishi ulaya ila ile kufanya kazi na wazungu kwenye maNGO anao uwezo mkubwa sana kujieleza kwa kiingereza. so is Samia.
wewe binafsi kiingereza kimekusaidia nini katika maisha yakoNingeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.
Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.
Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?
Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.
Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
Good communication skills to be precise.Just pronounciation or grammatical skills???--- do you know Shaka ssali??
asante,Kwani kuna anayehangaika nae? Idiot!!!!
Dada Joy alisoma PhD kwa Kiha.Anamzidi Ndalichako kwa mbali sana.
Siyo ile ya zeeeeeeeeAmetoa hotuba nzuri ya dakika nane alopokuwa Uganda.
Anaongea fluently and she is apparently mentally tranquil.
Unataka kusema anaweza akaitelekeza ikulu?Nadhani aliandikiwa akawa anasoma kitu ambacho hata Mtu wa kawaida anaweza ngoja waje wageni kutoka Magharibi tumuone
Nakumbuka siku za mwanzo mshikaji aliikimbia ofisi akajifungia Dom wakati dar kuna watashaWazanzibar kwa ngeli wapo vizuri mkuu tofauti na wanyamwezi.(Wabara).
Anaona jamaa anataka kumtaja malaika wao aliyekuwa anajikanyaga kwa kizhunguSasa ndugu hapo kilichokukasirisha ni nini.
Swala siyo kuwa tumeacha kuongea Kiswahili. Swala ni kuwa unashindwa vipi kuongea Kiingereza, lugha uliyojifunza toka darasa la tatu, na lugha uliyofanyia taaluma toka sekondari hadi digrii ya juu kabisa ya uzamivu?Tunaacha kutumia Kiswahili tunashangilia lugha ya wakoloni.
Mbona hao wengine hawakuweza kujifunza? Kiongozi mkubwa asiyeweza kujieleza mbele ya wezake kwa lugha aliyoanza kuitumia toka Form I lazima kuna tatizo upstairs. Tusifiche ukweli.Wewe Generalist ni mshamba na muathirika wa neo colonialism, unaona kuongea kiingereza ni dili, kwani ngeli na kizaramu zina tofauti gani? Zote si lugha tu tunajifunza?