smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,098
wasiosoma utawajua kirahisi sana wanakuwaga na chuki hao!!! Heee!!Bado tunasafari ndefu kama nchi.
Yaani mtu kuzungumza Kingereza kizuri nalo ni swala la kujisifia?
Na bado tutaongea english nzuri mpaka mfe!!! Kwa vinyongo vyenu!!! Hata humu itakuws english tupu.km mie muongo tafsiri hayo maneno yako kwa kiingereza.
Bora mama ali keep low profile wkt wa jiwe!! Angejua kuwa anaongea fluently jiwe linge muundia majungu.
Stupid nonsensical.....