Rais Samia Suluhu, Waganda wamekupigia 'Salute' kwa Kiingereza chako kizuri japo huna PhD yoyote

Unaharibu kila kitu, unapo tuletea Polepole kwenye mada za maana!
 
wewe binafsi kiingereza kimekusaidia nini katika maisha yako
 
Tunaacha kutumia Kiswahili tunashangilia lugha ya wakoloni.
Swala siyo kuwa tumeacha kuongea Kiswahili. Swala ni kuwa unashindwa vipi kuongea Kiingereza, lugha uliyojifunza toka darasa la tatu, na lugha uliyofanyia taaluma toka sekondari hadi digrii ya juu kabisa ya uzamivu?
 
Wewe Generalist ni mshamba na muathirika wa neo colonialism, unaona kuongea kiingereza ni dili, kwani ngeli na kizaramu zina tofauti gani? Zote si lugha tu tunajifunza?
Mbona hao wengine hawakuweza kujifunza? Kiongozi mkubwa asiyeweza kujieleza mbele ya wezake kwa lugha aliyoanza kuitumia toka Form I lazima kuna tatizo upstairs. Tusifiche ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…