Rais Samia Suluhu, Waganda wamekupigia 'Salute' kwa Kiingereza chako kizuri japo huna PhD yoyote

Rais Samia Suluhu, Waganda wamekupigia 'Salute' kwa Kiingereza chako kizuri japo huna PhD yoyote

Kwa kuwa wewe na ungwini wako umezoea kukariri unafikiri unaweza kukariri hisabati pia?

kati yake na yule aliyeweka div 5 nani aliyeharibu mfumo wa elimu?
Huyo mwanamke kilaza hajui English.

PERIOD
 
Badala ya kuhoji vipengele vya mkataba aliosaini unasifia kingereza...
Vipengele vitatusaidia nini? English ndo mpango mzima. Na aliyekuwa hajui English kaondoka na harudi tenaaaaaaaaaa milele ni mwendo wa kutafuta hela kwa utash tukiflow lugha ya maendeleo ENGLISH!
 
Ilibidi nimuite mtoto wangu mwishoni nikamuuliza umegundua nini akaniambia anasoma vizuri but shida mbona hanyanyui kichwa,unapotoa hutubia inatakiwa hata kama unasoma ujitahidi nusu ya uso uwe kwenye kusoma na nusu uangalie audience,sio wewe umeinama tu unasoma kama mwalimu wa imla

Angalieni hotuba ya Kikwete kwenye msiba wa Marina,vile ndo atleast unatakiwa usome
 
Jana Usiku nilipokea Meseji moja kutoka kwa Rafiki mkubwa kutoka Uganda akielezea Kufurahishwa Kwake na 'Kiingereza ' kizuri alichonacho Rais wa Tanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan.

"Mr. Generalist are you sure that this President of yours Mama Samia she's not a Briton? She speaks fluent English, very articulate, attractive and comfortable with it unlike other so called intellectuals with their doctorates on hand "

Na Waganda hawakuishia hapa tu kwa huyu Rafiki yangu Kunitumia hiyo Meseji bali hata ukienda huko Ugandans On Twitter ( UOT ) Wachangiaji wengi wamevutiwa na Uwezo mkubwa wa Kuongea Kiingereza ' kilichonyooka ' cha Mheshimiwa Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan.

Wameenda mbali zaidi na Kuhoji inakuwa Marais wengine (hasa Barani Afrika) wana Elimu Kubwa lakini walipokuwa wakiwasikiliza (wanapowasikiliza) huwa wanaongea Viingereza 'vibovu vibovu' tu wakati Makabatini mwao wamehifadhi Vyeti vya ' PhD ' zao.

Kongole sana Kwako Rais Mama Samia.
Deleted the post.
 
Jana Usiku nilipokea Meseji moja kutoka kwa Rafiki mkubwa kutoka Uganda akielezea Kufurahishwa Kwake na 'Kiingereza ' kizuri alichonacho Rais wa Tanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan.

"Mr. Generalist are you sure that this President of yours Mama Samia she's not a Briton? She speaks fluent English, very articulate, attractive and comfortable with it unlike other so called intellectuals with their doctorates on hand "

Na Waganda hawakuishia hapa tu kwa huyu Rafiki yangu Kunitumia hiyo Meseji bali hata ukienda huko Ugandans On Twitter ( UOT ) Wachangiaji wengi wamevutiwa na Uwezo mkubwa wa Kuongea Kiingereza ' kilichonyooka ' cha Mheshimiwa Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan.

Wameenda mbali zaidi na Kuhoji inakuwa Marais wengine (hasa Barani Afrika) wana Elimu Kubwa lakini walipokuwa wakiwasikiliza (wanapowasikiliza) huwa wanaongea Viingereza 'vibovu vibovu' tu wakati Makabatini mwao wamehifadhi Vyeti vya ' PhD ' zao.

Kongole sana Kwako Rais Mama Samia.
Ndiyo watu wajue kwanini Dr. John Pombe Joseph Magufuli(HAYATI)alikuwa AKILAZIMISHA EAST AFRICA AFRICA YOTE watu waongee Kiswahili ili kuficha UDHAIFU WAKE kwenye lugha ya Malkia....!!!
 
Tunaacha kutumia Kiswahili tunashangilia lugha ya wakoloni.

Tena kati ya walio waliodhalilisha utu ni walioleta hicho kiswahili! Waarabu walituletea biashara ya utumwa na lugha ya kiswahili. Sio kiingereza!! Chagua kati ya mkoloni na muuza watu!

Mkiwa mnatetea kiswahili, kuweni na sababu za maana. Mkoloni mpaka leo amewaachia mkitumia lugha yake, elimu yake, mifumo yake ya kifedha, sheria nk. Muuza watu kawaachia lugha na nini tena??

Sio kosa kujua kiswahili na kiingereza!!
 
Jiwe kama anaona yanayoendelea huku!!! Hakika atakua analia sana!!!!

R I P Alcoholic!!!!!
 
Watu wanamsifia lugha. Badala ya kusifia dili ya bomba la mafuta. Hongera JPM

Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
 
Nadhani aliandikiwa akawa anasoma kitu ambacho hata Mtu wa kawaida anaweza ngoja waje wageni kutoka Magharibi tumuone
Hakusoma eliu ya chini ya miembe yule na hana tabia za kutafuta excuses kama elimu bongo ilivyo.
 
Mtoa maada wewe ni mshamba ni dalili za kua mtumwa kichwani Jambo la lugha linakufanya umuone mtu wa maana zaidi yakile alichokiongea yaani ungekuja hapa nakusema mambo aliyosema ningekuona wa maana.

Wabongo sijui vp ko kwenye kingereza ndio mmeona pana tatizo kubwa lakutufanya tuwe underdeveloped kingereza sawa ni muhimu lakini haipaswi kuonekana kua ndio kitu ambacho kitawakomboa watu mazima kwani hicho hicho kingereza Cha mtu mweusi si ndio kinatumika kusahini mikataba ya kipumbavu.

Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
 
Badala ya kuhoji vipengele vya mkataba aliosaini unasifia kingereza...

Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
 
Kiingereza kiko sahihi maana ndio muundo wake, ila sisi wakati mwingine hatujifunzi matamshi yake. Tunapojifunza maana ya maneno ya Kiingereza au lugha nyingine yoyote, pia tujifunze na matamshi yake.

Nakumbuka zamani tuliamini kila past tense inaishia "ed" au kila plural inaishia "s", tukakosea sana! Past tense ya beat ni beated; uwingi wa sheep ni sheeps. Kumbe siyo!
Hata hilo nalo tunalikosea sana kulitamka vyema sababu ya hicho kiishio "--- mine" (main), utasikia mtu anatamka "ditamain" badala ya "ditamin"., kiingereza wakati mwingine hovyo kweli.[emoji12]
 
Back
Top Bottom