Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,730
- 2,230
Hiyo helufi i inatupaga shida sana kwenye matamshi ya kiingereza . Ili kuwa kuwa kuendana nayo vizuri inabidi upige mazoezi mengi ya kuongea maneno ya kiingereza kwa kurejea kwenye kamsi.
Kuna mengine mengi yanatupaga shida wabongo kama vile ; 1. Build~ inatamkwa bild na sio biulid. 2. Determine ~inatamkwa ditamin, sio ditamain. 3. Passed ~ inatamkwa pasit na sio pasid. 4. Burry ( maana yake ni mazishi) inatamkwa beri na sio bari. To mention few.
PhD halali utaijua na Diploma Halali utaijua hata certificate halali utaijua.Jana Usiku nilipokea Meseji moja kutoka kwa Rafiki mkubwa kutoka Uganda akielezea Kufurahishwa Kwake na 'Kiingereza ' kizuri alichonacho Rais wa Tanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan.
"Mr. Generalist are you sure that this President of yours Mama Samia she's not a Briton? She speaks fluent English, very articulate, attractive and comfortable with it unlike other so called intellectuals with their doctorates on hand "
Na Waganda hawakuishia hapa tu kwa huyu Rafiki yangu Kunitumia hiyo Meseji bali hata ukienda huko Ugandans On Twitter ( UOT ) Wachangiaji wengi wamevutiwa na Uwezo mkubwa wa Kuongea Kiingereza ' kilichonyooka ' cha Mheshimiwa Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan.
Wameenda mbali zaidi na Kuhoji inakuwa Marais wengine (hasa Barani Afrika) wana Elimu Kubwa lakini walipokuwa wakiwasikiliza (wanapowasikiliza) huwa wanaongea Viingereza 'vibovu vibovu' tu wakati Makabatini mwao wamehifadhi Vyeti vya ' PhD ' zao.
Kongole sana Kwako Rais Mama Samia.
Hicho kiingereza kimeongeza pesa ngapi mfukoni?Jana Usiku nilipokea Meseji moja kutoka kwa Rafiki mkubwa kutoka Uganda akielezea Kufurahishwa Kwake na 'Kiingereza ' kizuri alichonacho Rais wa Tanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan.
"Mr. Generalist are you sure that this President of yours Mama Samia she's not a Briton? She speaks fluent English, very articulate, attractive and comfortable with it unlike other so called intellectuals with their doctorates on hand "
Na Waganda hawakuishia hapa tu kwa huyu Rafiki yangu Kunitumia hiyo Meseji bali hata ukienda huko Ugandans On Twitter ( UOT ) Wachangiaji wengi wamevutiwa na Uwezo mkubwa wa Kuongea Kiingereza ' kilichonyooka ' cha Mheshimiwa Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan.
Wameenda mbali zaidi na Kuhoji inakuwa Marais wengine (hasa Barani Afrika) wana Elimu Kubwa lakini walipokuwa wakiwasikiliza (wanapowasikiliza) huwa wanaongea Viingereza 'vibovu vibovu' tu wakati Makabatini mwao wamehifadhi Vyeti vya ' PhD ' zao.
Kongole sana Kwako Rais Mama Samia.
Fantastic!Wow!
You wont see me talking about you anymore!
Usiniambie kama Mama Le Prof Joyce hakijui vyema kizungu hahahahahahah nacheka sana eti anaweza kuomba ED. Hawa wasomi wetu aisee kuna wengi nawajua aisee tena MaPHD holder hawajui kbs lugha hii.Ndalichako amaweza akaomba ED ukimuambia akawakilishe mkutano ambao wanaongea Kiingereza
Hicho kiingereza kimeongeza pesa ngapi mfukoni?
Hapa tunajadili Kiingereza mambo ya Hisabati fungua uzi wako. Mtetezi wa le prof. NdalichakoNyie vilaza hamumuwezi kwa hisabati huyo mama.
Wewe unayejua kiingereza una hata ubarozi wa nyumba kumi au sehemu gani pameandikwa PHD lazima uwe unaongea kiingereza?Nafuu uishie Certificate kulikokuwa na PhD Fake na kiingereza cha Magufuli
uingereza inaizidi nini China?Matumizi ya lugha nimuhimu sana hatakama umesoma sayansi kilimo chako..eti umesoma sayansi kingereza chann wehu kweli
Wewe ndiye aibu kwasababu huelewi ulichoandika.Kingereza ni Zero aibu kwa University iliyo mtunuku
That is nothing but a colonial hangover !Jana Usiku nilipokea Meseji moja kutoka kwa Rafiki mkubwa kutoka Uganda akielezea Kufurahishwa Kwake na 'Kiingereza ' kizuri alichonacho Rais wa Tanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan.
"Mr. Generalist are you sure that this President of yours Mama Samia she's not a Briton? She speaks fluent English, very articulate, attractive and comfortable with it unlike other so called intellectuals with their doctorates on hand "
Na Waganda hawakuishia hapa tu kwa huyu Rafiki yangu Kunitumia hiyo Meseji bali hata ukienda huko Ugandans On Twitter ( UOT ) Wachangiaji wengi wamevutiwa na Uwezo mkubwa wa Kuongea Kiingereza ' kilichonyooka ' cha Mheshimiwa Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan.
Wameenda mbali zaidi na Kuhoji inakuwa Marais wengine (hasa Barani Afrika) wana Elimu Kubwa lakini walipokuwa wakiwasikiliza (wanapowasikiliza) huwa wanaongea Viingereza 'vibovu vibovu' tu wakati Makabatini mwao wamehifadhi Vyeti vya ' PhD ' zao.
Kongole sana Kwako Rais Mama Samia.
Sawa mkuu.Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.
Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.
Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?
Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.
Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake (na Clips zipo Mitandaoni) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
Aliyekuambia elimu ya mtu inapimwa kwa kujua kiingereza nani?
China tuiweke wapi sasa wakati tayari wana vyombo vyao huko anga za mbali.
Kiingereza kiko sahihi maana ndio muundo wake, ila sisi wakati mwingine hatujifunzi matamshi yake. Tunapojifunza maana ya maneno ya Kiingereza au lugha nyingine yoyote, pia tujifunze na matamshi yake.
Nakumbuka zamani tuliamini kila past tense inaishia "ed" au kila plural inaishia "s", tukakosea sana! Past tense ya beat ni beated; uwingi wa sheep ni sheeps. Kumbe siyo!
💯%!Nadhani aliandikiwa akawa anasoma kitu ambacho hata Mtu wa kawaida anaweza ngoja waje wageni kutoka Magharibi tumuone