Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,730
- 2,230
Hayo sikusikia vizuri. Basi atakuwa kakosea sana endapo hata hayo hajui yanatamkwaje. La sivyo bora atumie Kiswahili ikiwa wapo wakalimani wazuri zaidi ya yule wa Dodoma
Wewe umesikia hayo maneno mawili tu??--- basi na wewe una masikio mabovu au matamshi yako ni mabovu katika baadhi ya maneno ya kiingereza.
Mfano neno World alitamka "wold" na neno Worth alitamka "woth", hukusikia??.