Hizi taasisi za dini wala zisijitee kwa chichote,ni wafanyabiashara kama wengine tu,tena gharama zao zipo juu acha walipe Kodi tu.
Kuna hospitali wilaya fulani inamilikiwa na taasisi ya kidini ila Mgojwa alipelekwa kutoka kituo cha serikalini kabla hio Ambulance haijaondoka wanataka walipwe hela yao,kama mgonjwa hana pesa wanaambiwa ondoka nae hatuwezi kumpokea,halafu ndio useme taasisi za dini zinatoa huduma?
Halafu Unakuta lihospitali lina jina eti la Mtakatifu gani sijui,utakatifu upi wakati mnakataa wagonjwa wasio na kipato?
Hospitali hizi hizi tunazichangia kanisani tukiziita ni zetu lakini ugue uone kama huna hela utatibiwa kisa wewe muumini.
Ni bora hata hospitali za wapagani