Rais Samia tafadhali iheshimu Katiba maana wewe umekuwa Rais by Default kwa Katiba kuheshimiwa na kupiganiwa, ipiganie Katiba

Rais Samia tafadhali iheshimu Katiba maana wewe umekuwa Rais by Default kwa Katiba kuheshimiwa na kupiganiwa, ipiganie Katiba

Mkuu mrangi , kwenye eneo hili, Mama anatakiwa asaidiwe!. Tutamsaidia kuelimisha na kuhamasisha kuhakikisha angalau 75% ya eligible voters wanajiandikisha na angalau 50% wanajitokeza na wanapiga kura ili kumpa legitimacy rais wa 2025 !.
P
Kuna rais hakuwahi kuwa na legitimacy kisa wapiga Kura walikua wachache!?
 
Kuna rais hakuwahi kuwa na legitimacy kisa wapiga Kura walikua wachache!?
Lengo la ballot and votes ni kupata numbers of votes ili kulegitimize ushindi. Legitimacy inapatikana kwa ushindi wa angalau zaidi ya 51 majority of the eligible voters!.

Sheria yetu ya uchaguzi is a bad law!, percentage ya ushindi ni simple majority!. Kujiandikisha kupiga kura ni hiari, kujitokeza kupiga kura ni hiari.

Sasa tuko milioni 60, eligible voters ni milioni 45, watu milioni 15 ni under 18. Hivyo uchaguzi wa 2025 tunatakiwa kuandikisha watu milioni 40, na siku ya kupiga kura wajitokeze wapiga kura milioni 30.

Kwa kanuni yetu ya simple majority, wakijitokeza watu 3, wawili wakamoigia mgombea mmoja, aliyepata kura mbili ni mshindi halali, lakini ushindi wa kura 2 kuongoza watu milioni 60 ambao hawakupiga kura, unakuwa ni ushindi halali kisheria na kikanuni lakini uliokosa legitimacy ya people mandate!. Kuna vitu ni leggit kabisa lakini havina legitimacy, kama zilivyo crimes against morality sio makosa yoyote kisheria but it is not right!.

2010, Watanzania tulikuwa 50 milions, wakajiandikisha 22 milions, waliojitokeza kupiga kura ni 8 milions, JK akachaguliwa na kura milioni 5!.

Hapa niliendesha kampeni kwa jamaa zangu fulani kuwa adui yao mkubwa anayewanyima kuingia Ikulu sio CCM, bali kukitafuta kile kitu kilichofanya watu milioni 14 wamejiandikisha kisha hawakujitokeza, wao waachane na kura milioni 5 za CCM, wazitafute zile kura milioni 14!, CCM, NEC, Jeshi, Polisi na TISS hata waibe vipi!, meza ingeoinduka!. Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
P
 
Lengo la ballot and votes ni kupata numbers of votes ili kulegitimize ushindi. Legitimacy inapatikana kwa ushindi wa angalau zaidi ya 51 majority of the eligible voters!.

Sheria yetu ya uchaguzi is a bad law!, percentage ya ushindi ni simple majority!. Kujiandikisha kupiga kura ni hiari, kujitokeza kupiga kura ni hiari.

Sasa tuko milioni 60, eligible voters ni milioni 45, watu milioni 15 ni under 18. Hivyo uchaguzi wa 2025 tunatakiwa kuandikisha watu milioni 40, na siku ya kupiga kura wajitokeze wapiga kura milioni 30.

Kwa kanuni yetu ya simple majority, wakijitokeza watu 3, wawili wakamoigia mgombea mmoja, aliyepata kura mbili ni mshindi halali, lakini ushindi wa kura 2 kuongoza watu milioni 60 ambao hawakupiga kura, unakuwa ni ushindi halali kisheria na kikanuni lakini uliokosa legitimacy ya people mandate!. Kuna vitu ni leggit kabisa lakini havina legitimacy, kama zilivyo crimes against morality sio makosa yoyote kisheria but it is not right!.

2010, Watanzania tulikuwa 50 milions, wakajiandikisha 22 milions, waliojitokeza kupiga kura ni 8 milions, JK akachaguliwa na kura milioni 5!.

Hapa niliendesha kampeni kwa jamaa zangu fulani kuwa adui yao mkubwa anayewanyima kuingia Ikulu sio CCM, bali kukitafuta kile kitu kilichofanya watu milioni 14 wamejiandikisha kisha hawakujitokeza, wao waachane na kura milioni 5 za CCM, wazitafute zile kura milioni 14!, CCM, NEC, Jeshi, Polisi na TISS hata waibe vipi!, meza ingeoinduka!. Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
P
So bottom line ni kuing'oa ccm!!!...hutakiwi kuwa na mtazamo huo bro,ni miongoni mwa watu wenye fikra pevu,tufikirie nchi zaidi,ccm itoke aingie nani!?..si kwamba Mimi ni mnazi wa ccm Bali nchi
 
Kwenye eneo la haki, so far Rais Samia ameisha onyesha kwa kauli na matendo, is the best of the best... ila sasa kwa kwa kadri siku zinavyokwenda, naona kama na yeye anaanza... itaendelea!, nitamalizia ...
asate Pascal Mayalla kuna kitu anakianza kwa mbali kama ulivyosema. alianza vema kabisa, sasa anamfuata magufuli...lile jeneza lilianza na kutoa mguu sasa limefunuka babisa..by Kipanya Masoud
 
asate Pascal Mayalla kuna kitu anakianza kwa mbali kama ulivyosema. alianza vema kabisa, sasa anamfuata magufuli...lile jeneza lilianza na kutoa mguu sasa limefunuka babisa..by Kipanya Masoud
Mkuu Retired , Mama anahitaji kusaidiwa ili aendelee kutembea mumo mumo kwenye reli, akitaka kutoka nje ya reli tumrudishe, kama urudishaji huu Wito: Ibara ya 18 ya Katiba iheshimiwe na wote! Kusifu na kupongeza ni haki, kupinga na kukosoa pia ni haki - si uadui, si chuki, si kinyume!
Humo nimesema
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Leo
View attachment 2428894
View attachment 2428861
Kwa Maslahi ya Taifa" ya leo inajikita kwenye Ibara ya 18 ya Katiba kuhusu moja ya haki muhimu sana ndani ya katiba, yetu ya JMT ya mwaka 1977, kuanzia Ibara ya 18 – 24, katiba yetu imetoa haki zifuatazo: 18. Uhuru wa Maoni. 19. Uhuru wa mtu kuamini dini atakayo. 20. Uhuru wa mtu kushirikiana na wengine. 21. Uhuru wa kushiriki shughuli za umma. 22. Haki ya kufanya kazi. 23. Haki ya kupata ujira wa haki. 24. Haki ya kumiliki mali.

Haki hizi sio hisani sio huruma, sio option, kusema zinaweza kutolewa au laa!, haki hizi ni stahili, zinapaswa kutolewa na kuheshimiwe na Watanzania wote ikiwemo serikali na viongozi, na taasisi zote. Kwa leo nitajikita zaidi kwenye Ibara ya 18, inasema

18: Uhuru wa Maoni Sheria Na. 15 ya 1984 ib. 6"

(1) Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na pia ana uhuru wa kutoingiliwa kati mawasiliano yake.

(2) Kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali nchini na duniani kote ambayo ni muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi, na pia juu ya masuala muhimu kwa jamii.

Haki hizi na uhuru huu wa kutoa maoni, unakwenda sambamba na mipaka ya kawaida ya uhuru, yaani hakuna uhuru usio na mipaka, mwisho wa uhuru wako ni pale uhuru wa mtu mwingine unapoishia. Huu uhuru wa kutoa mawazo yako, unapaswa kuheshimiwa na wote, hata kama hukubaliani na mawazo hayo, na wewe pia unapaswa kuheshimu uhuru, maoni na mawazo yaw engine, hata kama hukubaliani nayo

Leo nimejikita kwenye ibara hii, kufuatia juzi kati hapa, kuna mtu ametoa mawazo yake kuhusu jambo fulani, mtu huyo ameshambuliwa kila kona kwa kushukiwa kama mwewe anavyotaka kunyakua kifaranga cha kuku, wengine wakimbeza, wengine wamdhihaki na wengine hata kufikia kiwango cha kumtukana na kumdhalilisha!

Kilichopelekea mtu huyo kushambuliwa, ni kwa sababu tuu amekosoa jambo fulani!. Kutokana na kutoa nawazo yake ya ukosoaji, naona kuna watu wanataka kuingilia haki hii muhimu na kujimilikisha wao kwa kuingilia uhuru wa maoni wa watu wengine na hata kuwapangia ni maoni gani watoe!. Yaani wenye haki ni wanaosifu tuu na kupongeza, lakini ukikosoa, inakuwa nongwa

Toka enzi za Rais Mwinyi, Rais Mkapa, Rais Kikwete na Rais Magufuli, wote walisifiwa na walikosolewa!. Ile haki ya kusifu na kupongeza, inapaswa kwenda sambamba na haki ya kukosoa!. Hivyo kuna watu wanataka haki iwe na haki ya kusifu tuu na kupongeza tuu, lakini kukosolewa iwe nongwa, ni kosa, ni dhambi!.

Rais Samia Suluhu Hassan akihutubia katika mkutano wa 47 wa wanasheria Afrika Mashariki uliofanyika mkoani Arusha, amesema haya kuhusu kushirikisha watu/taasisi ambazo ziko dhidi yake

"Sasa mimi nikijua wewe ni dhidi yangu nitakushirikishaje? Siwezi kukushirikisha, si ndiyo!"

Kukosoa serikali, sio kosa, wala ukosoaji, sio uadui, sio chuki, na sio dhidi ya serikali, ukosoaji wa serikali ni differing opinion ambao pia ni haki na unalindwa na katiba.
Paskali
Hivyo kila akitoka nje ya reli, tumrudishe relini in a gentle manner using soft words.
P
 
Kwenye eneo hili la haki za binaadamu, Mama Samia, apewe kongole sana, huyu ni mpenda haki, muwaza haki, msema haki, mtenda haki.
Ameonyesha kwa kauli na matendo!.
Mifano iko mingi tuu ya kumwaga hapa nakupa mifano mitano tuu!, ukitaka 10, nakupa, ukitaka 20 nakupa
- Asante Mungu kwa Rais Samia: Ni Msema Kweli na Mtenda Kweli, Ni Msema Haki na Mtenda Haki. Je, Ataruhusu Ubatili Huu Kuendelea Ndani ya Katiba Yetu?
Kwenye eneo la haki, so far Rais Samia ameisha onyesha kwa kauli na matendo, is the best of the best... ila sasa kwa kwa kadri siku zinavyokwenda, naona kama na yeye anaanza... itaendelea!, nitamalizia ...

P
Wakili msomi! Nashangazwa na lauli hizi kutokea kwako.
Au kwa vile bado ni njuka katika fani hiyo? Hebu Anza kuingia mahakamani uone uozo unaoendelea kufanywa na ofisi ya DPP, jeshi la polisi na Mahakama yenyewe kuhusu neno na tendo HAKI.
Kama wakili achana na nadharia za hapa JF na yaandikwayo na Uhuru na Mzalendo au kutangazwa na TBC, Ingia huko field tafuta wahanga wa kuwapa msaada wa kisheria ndio utaona hayo mazito na kujua hali ilivyo mbaya

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Retired , hivi mpaka leo ni zaidi ya mwaka, hujaujua tuu utendaji wa Samia?.
Mbona hili limekwisha kitambo pale tuu alipounda kamati ya Mkandala!, kilichobaki ni bado tuu kutangazwa!.
P
Kamati ya kina Mukandala ni utapeli wa mchana kweupe. Ni aina fulani ya delaying tactic ili mama Samia atawale bila pressure. Wapinzani walikubaliana na ule utapeli ni kujimaliza wenyewe. Mapendekezo yatakayotekelezwa ni yale yasiyo na madhara kwa CCM.
 
Yaani Rais unataka aheshimu katiba na wakati huo huo unataka aingilie mahakama?kwahiyo kina Halima haki Yao ya kimahakama na kikatiba aikanyage kukufurahisha wewe mwana Chadema.??halafu unataka aheshimu katiba? seriously?
Da rafiki nilikuwa naamini IQ yako ipo juu. Hivi Mbowe alimtoa nani Gerezani? Je uhuru wa mahakama uliingiliwa? Katiba ilivunjwa? Hapa ujue kuna kitu kinaitwa lugha. Na ni sahihi 1+1 =2 na pia ni sahihi pia 2+2=22
Hii kitu alinifundisha Mwalimu wangu wa hesabu level ya chuo. Kwamba kabla hujakimbilia kusolve tatizo, angalia mazingira ya tatizo na misingi iliyojisimika katika tatizo hilo, hiyo ndio itakupa jawabu sahihi na sio jawabu mgogoro.
Mwalimu alituambia tu prove kuea 1+1= 11 ni sahihi! Yaani siku hiyo tulimuana kawa chizi. Kufupisha point yangu, katika kuprove ukweli kuwa 1+1 =11 unatakiwa ueleze kwanza lugha inayotumika hapo, mfano lugha ya maumbo, umbo la 1 ukaongeza umbo jingine lenye alama ile ile unapata maumbo 11. Apo hesabu imekubali na jibu ni sahihi.
 
Wakili msomi! Nashangazwa na lauli hizi kutokea kwako.
Au kwa vile bado ni njuka katika fani hiyo? Hebu Anza kuingia mahakamani uone uozo unaoendelea kufanywa na ofisi ya DPP, jeshi la polisi na Mahakama yenyewe kuhusu neno na tendo HAKI.
Kama wakili achana na nadharia za hapa JF na yaandikwayo na Uhuru na Mzalendo au kutangazwa na TBC, Ingia huko field tafuta wahanga wa kuwapa msaada wa kisheria ndio utaona hayo mazito na kujua hali ilivyo mbaya

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Asante kwa ushauri, mimi ni wakili wa kujitegemea kwa kujitolea, nikijikita kwenye kutoa msaada wa kisheria on human rights abuse.
P
 
Mkuu mrangi , kwenye eneo hili, Mama anatakiwa asaidiwe!. Tutamsaidia kuelimisha na kuhamasisha kuhakikisha angalau 75% ya eligible voters wanajiandikisha na angalau 50% wanajitokeza na wanapiga kura ili kumpa legitimacy rais wa 2025 !.
P
Hapa kazi ipo, kama kigugumizi hiki kitaendelea 2025 kura watapiga wanachama wa ccm na vile vyama vilivyoungana vinavyojiita upinzani. Ni ushindi wa kishindo utavunja rekodi ya 2020
 
Kamati ya kina Mukandala ni utapeli wa mchana kweupe. Ni aina fulani ya delaying tactic ili mama Samia atawale bila pressure. Wapinzani walikubaliana na ule utapeli ni kujimaliza wenyewe. Mapendekezo yatakayotekelezwa ni yale yasiyo na madhara kwa CCM.
Ile ilikuwa kutengeneza ulaji na kazi iendelee. Kazi gani, kutawala! Mana jibu lilitolewa wakati wa kupokea ile ripoti kuwa'......kilichoandiwa ni maoni tu na si vinginevyo.....'
 
Back
Top Bottom