Rais Samia tafadhali sana…..

Rais Samia tafadhali sana…..

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Anzia dakika ya 9:25 mpaka 9:40.


View: https://www.youtube.com/live/PEzgcxu_A50?si=AFWVhAKOGy8b_VG7

Akiwa kwenye ikulu ya Rashtrapati Bhavan huko New Delhi, India, baada ya kukagua gwaride la heshima lililoandaliwa kwa ajili yake kwenye ziara yake nchini humo, Rais Samia alipewa wasaa wa kusema machache.

Katika machache hayo aliyoyasema, Rais Samia kasema kuwa eti mahusiano katika ya Tanzania na India yaliasisiwa na Mahatma Gandhi na Julius Nyerere!

Sidhani kama hilo ni kweli.

Gandhi alikufa mwaka 1948. Mwaka huo huo Nyerere alikuwa bado ni mwalimu huko Tabora.

Sasa Gandhi na Nyerere walianzishaje hayo mahusiano baina ya hizi nchi mbili?

Huenda labda alimaanisha kusema Jawaharlal Nehru na Julius Nyerere? Kama alimaanisha hivyo, sawa.

Hii ni constructive criticism.

Awe anafanya ‘homework’ yake vizuri maana hii si mara ya kwanza yeye kusema vitu visivyo sahihi kwenye medani za kimataifa.

Kuna wakati aliwahi kusema kuwa Kamala Harris ndo mwanamke wa kwanza Marekani kugombea moja ya nafasi za juu kabisa nchini humo, kana kwamba hajui chochote kuhusu Geraldine Ferraro.

Aache uvivu. Awe anajiandaa vizuri kwa kusoma kabla hajafungua mdomo wake na kuanza kusema mambo yasiyo sahihi.
 
Anzia dakika ya 9:25 mpaka 9:40.


View: https://www.youtube.com/live/PEzgcxu_A50?si=AFWVhAKOGy8b_VG7

Akiwa kwenye ikulu ya Rashtrapati Bhavan huko New Delhi, India, baada ya kukagua gwaride la heshima lililoandaliwa kwa ajili yake kwenye ziara yake nchini humo, Rais Samia alipewa wasaa wa kusema machache.

Katika machache hayo aliyoyasema, Rais Samia kasema kuwa eti mahusiano katika ya Tanzania na India yaliasisiwa na Mahatma Gandhi na Julius Nyerere!

Sidhani kama hilo ni kweli.

Gandhi alikufa mwaka 1948. Mwaka huo huo Nyerere alikuwa bado ni mwalimu huko Tabora.

Sasa Gandhi na Nyerere walianzishaje hayo mahusiano baina ya hizi nchi mbili?

Huenda labda alimaanisha kusema Jawaharlal Nehru na Julius Nyerere? Kama alimaanisha hivyo, sawa.

Hii ni constructive criticism.

Awe anafanya ‘homework’ yake vizuri maana hii si mara ya kwanza yeye kusema vitu visivyo sahihi kwenye medani za kimataifa.

Kuna wakati aliwahi kusema kuwa Kamala Harris ndo mwanamke wa kwanza Marekani kugombea moja ya nafasi za juu kabisa nchini humo, kana kwamba hajui chochote kuhusu Geraldine Ferraro.

Aache uvivu. Awe anajiandaa vizuri kwa kusoma kabla hajafungua mdomo wake na kuanza kusema mambo yasiyo sahihi.

Fanya kazi kahhaba wewe, kwan rais wenu sikashadedi
 
Maana ya "kuasisi " haimaanishi walikutana pamoja, kuasisi ni kuweka misingi imara ya mahusiano, kwa maana hiyo Gadhi na Nyerere ndio walioweka misingi imara ya mahusiano kwa nyakati tofauti! Jifunze kiswahili wewe ngosha!
 
Maana ya "kuasisi " haimaanishi walikutana pamoja, kuasisi ni kuweka misingi imara ya mahusiano, kwa maana hiyo Gadhi na Nyerere ndio walioweka misingi imara ya mahusiano kwa nyakati tofauti! Jifunze kiswahili wewe ngosha!
Gandhi aliweka msingi gani ilhali hakuwa kuwepo kwenye serikali ya India?

Nehru na Nyerere ndo walioanzisha mahusiano kati ya Tanzania na India.
 
Mahatma Ghandi aliasisi upande wa India 🇮🇳 na kambarage aliasisi upande wa Tanzania 🇹🇿 kila mtu kwa muda wake

Au kuasisi ni lazima mkae mezani muhesabu moja, mbili, tatuuuuu
 
hahahahah daah bado tunasafari ndeeeefuuu sana kama vitu vidogo hivi wameshindwa kungamua je vikubwa
 
Gandhi alikufa mwaka 1948. Mwaka huo huo Nyerere alikuwa bado ni mwalimu huko Tabora.

Hata mimi niliposoma taarifa ya January Makamba kuhusu ziara hiyo nilitafakari nikajiuliza( Imetolewa na:Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali), Mahatma Ghandi aliishi Afrika ya Kusini wakati mwalimu Julius Nyerere hajazaliwa vitabu vya historia vinasema. Sasa hapa taarifa iliandikwa kwa lugha ya Kiswahili na imeshindwa kubeba ujumbe sahihi.


05 October 2023
Dar es Salaam, Tanzania

WAZIRI MAKAMBA AZUNGUMZIA RATIBA YA RAIS SAMIA INDIA , OCTOBER 8 HADI 11 OCTOBER 2023



View: https://m.youtube.com/watch?v=oWJixy8Wugc

5 Oct2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya Kitaifa nchini India kuanzia tarehe 8 hadi 11 Oktoba 2023 kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya India, Mheshimiwa Droupadi Murmu.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (Mb) amewaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salam kuwa ziara hiyo inafanyika ikiwa ni miaka minane imepita tangu ziara ya mwisho ya Kiongozi wa Tanzania nchini humo iliyofanywa na Rais wa Awamu ya Nne, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete mwaka 2015.

Akiongelea umuhimu wa ziara hiyo, Mhe. waziri January Makamba amesema ziara hiyo ni muhimu kutokana na historia iliyopo kati ya Tanzania na India kidiplomasia, kiuchumi, kibiashara, kidini, kiutamaduni na Maisha ya India ambayo yapo nchini Tanzania.

Amesema ziara hiyo ina lenga kuendeleza ushirikiano kati ya Tanzania na India na kuongeza kuwa katika ziara hiyo makubaliano ya kushirikiana kupitia sekta za kimkakati kama afya, viwanda, ulinzi na usalama, elimu, teknolojia ya habari na mawasiliano, uchumi wa buluu, maji, kilimo, biashara na uwekezaji pamoja na kutangaza fursa za biashara na uwekezaji za Tanzania ili kuvutia wawekezaji na wafanyabiashara wa India waje nchini.

Akiongelea faida zinazotarajiwa kupatikana kutokana na ziara hiyo, Mhe. Makamba amesema katika ziara hiyo inatarajiwa kuwa hati mbalimbali za makubaliano MoU zitasainiwa na hivyo kuleta tija katika maeneo ya Mafunzo ambapo Maelfu ya Watanzania watapata nafasi za mafunzo na kujengewa uwezo katika nyanja mbalimbali nhini India na kuongeza kuwa India imeazimia kutoa ufadhili na fursa za mafunzo zaidi ya elfu moja katika fani mbalimbali.

Amesema ziara hiyo itawezesha maendeleo na mapinduzi ya kidijitali na inatarajiwa kuwa India itaanzisha kiwanda cha mitambo ya kuunda bidhaa za kielektroniki na kuanzisha mifumo ya kutumia Akili Tarakilishi AI nchini.

Amesema kuwa ziara hiyo inatarajia kuinua ubora wa huduma za Afya nchini ambapo taasisi ya upandikizaji wa figo na kiwanda cha kutengeneza chanjo za wanyama na binadamu zenye ubora vitaanzishwa, kuwezesha ushirikiano mkubwa kati ya Hospitali zetu na Hospitali za India zinazotoa huduma za afya kwa mifumo ya Tiba Asilia pamoja na kuwezesha upatikanaji wa dawa zenye ubora kwa gharama nafuu.

Akiongelea faida itakazopata sekta ya Kilimo Mhe Waziri Makamba amesema kupata masoko kwa mazao ya kilimo kwa kuwa tunazalisha mbaazi, korosho na mazao mengine ambayo India ni sehemu ya soko pamoja na kuinua na kuongeza biashara ya mazao yanayozalishwa nchini hususan mbaazi, kunde, parachichi na ufuta. “

Tukumbuke kuwa bei ya mbaazi mwaka huu imekuwa kubwa hii ni kwa sababu India wamenunua mbaazi kwa wingi kwahiyo ziara hii itahakikisha soko la mbaazi linakuwa kubwa na linaendelea kuwepo sio msimu huu lipo au msimu ufuatao linakosekana,” alisema Mhe. Waziri.

Amesema ziara hii pia itawezesha uwekezaji wa moja kwa moja kwa kuvutia uwekezaji kutoka kwa wafanyabiashara wakubwa na kampuni mbalimbali kutoka India; kuimarisha Ulinzi na Usalama katika usafiri wa majini ambapo India inatarajia kuanzisha karakana ya utengenezaji wa vyombo vya majini na ukarabati.

Mhe. waziri January Makamba amesema katika ziara hiyo Mhe. Rais Samia anatarajiwa kufungua Kongamano la biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na India litakalowezesha wafanyabiashara na kampuni mbalimbali za nchini kupata fursa za kufanya biashara ya bidhaa zao na uwekezaji nchini India na kushiriki mikutano ya uwili na majadiliano kati ya wafanyabiashara wa Tanzania na wafanyabiashara wa India pamoja na kushuhudia ubadilishinaji wa Hati za Makubaliano kati ya Sekta Binafsi za Tanzania na India.

Akiongelea kuhusu ushirikiano kati ya Tanzania na India, Mhe. waziri January Makamba amesema Uhusiano huo uliasisiwa na waasisi wa mataifa hayo Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Hayati Mahatma Gandhi ulitokana na falsafa za viongozi hao ambao walipenda kutafuta suluhu ya amani pasipokuwa na umwagaji damu.

Akiongelea yatakayojiri katika ziara hiyo Mhe. Waziri Makamba amesema Mhe. Rais Samia akiwasili nchini India atapokelewa rasmi tarehe 9 Oktoba, 2023 na Rais wa India, Mhe. Droupadi Murmu ambaye ataambatana na Mhe. Narendra Modi, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya India na kufanyiwa sherehe za mapokezi rasmi ambayo yatahusisha gwaride rasmi na kupigiwa mizinga 21.

Baada ya mapokezi hayo, Mhe. Rais Samia atakuwa na mazungumzo ya faragha na Mhe. Waziri Mkuu Modi na kufuatiwa na mazungumzo ya uwili kati ya ujumbe wa Tanzania na India na watashuhudia ubadilishanaji wa Mikataba na Hati za Makubaliano kati ya Tanzania MoU na India na baadaye kuzungumza na waandishi wa habari kuelezea muhtasari wa mazungumzo yao.

Jioni ya siku hiyo tarehe 9 October 2023 Mhe. Rais Samia atazungumza na mwenyeji wake, Rais wa India, Mhe. Droupadi Murmu na kushiriki dhifa ya kitaifa itakayoandaliwa kwa heshima yake na mwenyeji wake katika Ikulu ya India.Imetolewa na:Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali
 
Anzia dakika ya 9:25 mpaka 9:40.


View: https://www.youtube.com/live/PEzgcxu_A50?si=AFWVhAKOGy8b_VG7

Akiwa kwenye ikulu ya Rashtrapati Bhavan huko New Delhi, India, baada ya kukagua gwaride la heshima lililoandaliwa kwa ajili yake kwenye ziara yake nchini humo, Rais Samia alipewa wasaa wa kusema machache.

Katika machache hayo aliyoyasema, Rais Samia kasema kuwa eti mahusiano katika ya Tanzania na India yaliasisiwa na Mahatma Gandhi na Julius Nyerere!

Sidhani kama hilo ni kweli.

Gandhi alikufa mwaka 1948. Mwaka huo huo Nyerere alikuwa bado ni mwalimu huko Tabora.

Sasa Gandhi na Nyerere walianzishaje hayo mahusiano baina ya hizi nchi mbili?

Huenda labda alimaanisha kusema Jawaharlal Nehru na Julius Nyerere? Kama alimaanisha hivyo, sawa.

Hii ni constructive criticism.

Awe anafanya ‘homework’ yake vizuri maana hii si mara ya kwanza yeye kusema vitu visivyo sahihi kwenye medani za kimataifa.

Kuna wakati aliwahi kusema kuwa Kamala Harris ndo mwanamke wa kwanza Marekani kugombea moja ya nafasi za juu kabisa nchini humo, kana kwamba hajui chochote kuhusu Geraldine Ferraro.

Aache uvivu. Awe anajiandaa vizuri kwa kusoma kabla hajafungua mdomo wake na kuanza kusema mambo yasiyo sahihi.

Haha ata AI kama ChatGPT na Bard huwa zinakosea
 
Tukisema elimu ya kuunga unga tunaambiwa haters.

Hii yote ni athari ya uelewa mdogo kiasi cha kushindwa kung'amua makosa madogo madogo.

Kukopi katika mtihani ni akili pia. Ukiwa na akili ndogo unaishia kuigilizia mpaka jina la unaemkopia, ndio haya sasa.
 
Hata mimi niliposoma taarifa ya January Makamba kuhusu ziara hiyo nilitafakari nikajiuliza( Imetolewa na:Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali), Mahatma Ghandi aliishi Afrika ya Kusini wakati mwalimu Julius Nyerere hajazaliwa vitabu vya historia vinasema. Sasa hapa taarifa iliandikwa kwa lugha ya Kiswahili na imeshindwa kubeba ujumbe sahihi.


05 October 2023
Dar es Salaam, Tanzania

WAZIRI MAKAMBA AZUNGUMZIA RATIBA YA RAIS SAMIA INDIA , OCTOBER 8 HADI 11 OCTOBER 2023



View: https://m.youtube.com/watch?v=oWJixy8Wugc

5 Oct2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya Kitaifa nchini India kuanzia tarehe 8 hadi 11 Oktoba 2023 kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya India, Mheshimiwa Droupadi Murmu.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (Mb) amewaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salam kuwa ziara hiyo inafanyika ikiwa ni miaka minane imepita tangu ziara ya mwisho ya Kiongozi wa Tanzania nchini humo iliyofanywa na Rais wa Awamu ya Nne, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete mwaka 2015.

Akiongelea umuhimu wa ziara hiyo, Mhe. waziri January Makamba amesema ziara hiyo ni muhimu kutokana na historia iliyopo kati ya Tanzania na India kidiplomasia, kiuchumi, kibiashara, kidini, kiutamaduni na Maisha ya India ambayo yapo nchini Tanzania.

Amesema ziara hiyo ina lenga kuendeleza ushirikiano kati ya Tanzania na India na kuongeza kuwa katika ziara hiyo makubaliano ya kushirikiana kupitia sekta za kimkakati kama afya, viwanda, ulinzi na usalama, elimu, teknolojia ya habari na mawasiliano, uchumi wa buluu, maji, kilimo, biashara na uwekezaji pamoja na kutangaza fursa za biashara na uwekezaji za Tanzania ili kuvutia wawekezaji na wafanyabiashara wa India waje nchini.

Akiongelea faida zinazotarajiwa kupatikana kutokana na ziara hiyo, Mhe. Makamba amesema katika ziara hiyo inatarajiwa kuwa hati mbalimbali za makubaliano MoU zitasainiwa na hivyo kuleta tija katika maeneo ya Mafunzo ambapo Maelfu ya Watanzania watapata nafasi za mafunzo na kujengewa uwezo katika nyanja mbalimbali nhini India na kuongeza kuwa India imeazimia kutoa ufadhili na fursa za mafunzo zaidi ya elfu moja katika fani mbalimbali.

Amesema ziara hiyo itawezesha maendeleo na mapinduzi ya kidijitali na inatarajiwa kuwa India itaanzisha kiwanda cha mitambo ya kuunda bidhaa za kielektroniki na kuanzisha mifumo ya kutumia Akili Tarakilishi AI nchini.

Amesema kuwa ziara hiyo inatarajia kuinua ubora wa huduma za Afya nchini ambapo taasisi ya upandikizaji wa figo na kiwanda cha kutengeneza chanjo za wanyama na binadamu zenye ubora vitaanzishwa, kuwezesha ushirikiano mkubwa kati ya Hospitali zetu na Hospitali za India zinazotoa huduma za afya kwa mifumo ya Tiba Asilia pamoja na kuwezesha upatikanaji wa dawa zenye ubora kwa gharama nafuu.

Akiongelea faida itakazopata sekta ya Kilimo Mhe Waziri Makamba amesema kupata masoko kwa mazao ya kilimo kwa kuwa tunazalisha mbaazi, korosho na mazao mengine ambayo India ni sehemu ya soko pamoja na kuinua na kuongeza biashara ya mazao yanayozalishwa nchini hususan mbaazi, kunde, parachichi na ufuta. “

Tukumbuke kuwa bei ya mbaazi mwaka huu imekuwa kubwa hii ni kwa sababu India wamenunua mbaazi kwa wingi kwahiyo ziara hii itahakikisha soko la mbaazi linakuwa kubwa na linaendelea kuwepo sio msimu huu lipo au msimu ufuatao linakosekana,” alisema Mhe. Waziri.

Amesema ziara hii pia itawezesha uwekezaji wa moja kwa moja kwa kuvutia uwekezaji kutoka kwa wafanyabiashara wakubwa na kampuni mbalimbali kutoka India; kuimarisha Ulinzi na Usalama katika usafiri wa majini ambapo India inatarajia kuanzisha karakana ya utengenezaji wa vyombo vya majini na ukarabati.

Mhe. waziri January Makamba amesema katika ziara hiyo Mhe. Rais Samia anatarajiwa kufungua Kongamano la biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na India litakalowezesha wafanyabiashara na kampuni mbalimbali za nchini kupata fursa za kufanya biashara ya bidhaa zao na uwekezaji nchini India na kushiriki mikutano ya uwili na majadiliano kati ya wafanyabiashara wa Tanzania na wafanyabiashara wa India pamoja na kushuhudia ubadilishinaji wa Hati za Makubaliano kati ya Sekta Binafsi za Tanzania na India.

Akiongelea kuhusu ushirikiano kati ya Tanzania na India, Mhe. waziri January Makamba amesema Uhusiano huo uliasisiwa na waasisi wa mataifa hayo Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Hayati Mahatma Gandhi ulitokana na falsafa za viongozi hao ambao walipenda kutafuta suluhu ya amani pasipokuwa na umwagaji damu.

Akiongelea yatakayojiri katika ziara hiyo Mhe. Waziri Makamba amesema Mhe. Rais Samia akiwasili nchini India atapokelewa rasmi tarehe 9 Oktoba, 2023 na Rais wa India, Mhe. Droupadi Murmu ambaye ataambatana na Mhe. Narendra Modi, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya India na kufanyiwa sherehe za mapokezi rasmi ambayo yatahusisha gwaride rasmi na kupigiwa mizinga 21.

Baada ya mapokezi hayo, Mhe. Rais Samia atakuwa na mazungumzo ya faragha na Mhe. Waziri Mkuu Modi na kufuatiwa na mazungumzo ya uwili kati ya ujumbe wa Tanzania na India na watashuhudia ubadilishanaji wa Mikataba na Hati za Makubaliano kati ya Tanzania MoU na India na baadaye kuzungumza na waandishi wa habari kuelezea muhtasari wa mazungumzo yao.

Jioni ya siku hiyo tarehe 9 October 2023 Mhe. Rais Samia atazungumza na mwenyeji wake, Rais wa India, Mhe. Droupadi Murmu na kushiriki dhifa ya kitaifa itakayoandaliwa kwa heshima yake na mwenyeji wake katika Ikulu ya India.Imetolewa na:Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali

Screenshot_20231009-120505.png
 
Anzia dakika ya 9:25 mpaka 9:40.


View: https://www.youtube.com/live/PEzgcxu_A50?si=AFWVhAKOGy8b_VG7

Akiwa kwenye ikulu ya Rashtrapati Bhavan huko New Delhi, India, baada ya kukagua gwaride la heshima lililoandaliwa kwa ajili yake kwenye ziara yake nchini humo, Rais Samia alipewa wasaa wa kusema machache.

Katika machache hayo aliyoyasema, Rais Samia kasema kuwa eti mahusiano katika ya Tanzania na India yaliasisiwa na Mahatma Gandhi na Julius Nyerere!

Sidhani kama hilo ni kweli.

Gandhi alikufa mwaka 1948. Mwaka huo huo Nyerere alikuwa bado ni mwalimu huko Tabora.

Sasa Gandhi na Nyerere walianzishaje hayo mahusiano baina ya hizi nchi mbili?

Huenda labda alimaanisha kusema Jawaharlal Nehru na Julius Nyerere? Kama alimaanisha hivyo, sawa.

Hii ni constructive criticism.

Awe anafanya ‘homework’ yake vizuri maana hii si mara ya kwanza yeye kusema vitu visivyo sahihi kwenye medani za kimataifa.

Kuna wakati aliwahi kusema kuwa Kamala Harris ndo mwanamke wa kwanza Marekani kugombea moja ya nafasi za juu kabisa nchini humo, kana kwamba hajui chochote kuhusu Geraldine Ferraro.

Aache uvivu. Awe anajiandaa vizuri kwa kusoma kabla hajafungua mdomo wake na kuanza kusema mambo yasiyo sahihi.

Mwenzako anajua ukishayapata madaraka basi yanakupatia ujiniaz.

Ndo maana hawana maandalizi zaidi ya rehearsals za maandalizi ya itifaki kisha the deal done.

Hapo anasubiri kuambiwa saini hapa, saini hapa na saini hapa kisha miaka 2 baadaye tunastuka tumeuvagaa
 
Back
Top Bottom