Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
Kwa mawazo haya leo! Mikutano ya kisiasa izuiwe mpaka akili ziwakae.Dikteta ameua watanzania wangapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mawazo haya leo! Mikutano ya kisiasa izuiwe mpaka akili ziwakae.Dikteta ameua watanzania wangapi?
Kama nyie zilivyo wakaaa baada ya dikteta kuondokaKwa mawazo haya leo! Mikutano ya kisiasa izuiwe mpaka akili ziwakae.
ona huyu sasa na hangover zake...nchi yoyote corrateral damage zipo..sasa we jifanye kimbelembele ukitumika na mataifa ya nje kufanya uhaini humu ndani uone watakufanya nnKama nyie zilivyo wakaaa baada ya dikteta kuondoka
Tetetetete mpuuzi wewe hizo enzi hazipo tena, twenda na Samia hakuna namna maza apige hata mpka 2035 poa tuona huyu sasa na hangover zake...nchi yoyote corrateral damage zipo..sasa we jifanye kimbelembele ukitumika na mataifa ya nje kufanya uhaini humu ndani uone watakufanya nn
Awaache wakusanyike na siku akiamua kuzuia awazuie wote. Itamuondolea dhambi ya kuvunja katiba.Ndio maana nikasema mnazidi kumuwekea ugumu, pengine sasa anafikiria kuzuia hiyo mikusanyiko ya chama chake ila nyie ndio kwanza mnakuja na ugumu zaidi.
Kwanini msingesema awazuie wote kwa sababu ya corona?Awaache wakusanyike na siku akiamua kuzuia awazuie wote. Itamuondolea dhambi ya kuvunja katiba.
Amandla...
Magufuli alishasema Tanzania hakuna CoronaKwanini msingesema awazuie wote kwa sababu ya corona?
Huyo alikuwa Magufuli vp Mama Samia?Magufuli alishasema Tanzania hakuna Corona
Samia na Magufuli ni kitu kimojaHuyo alikuwa Magufuli vp Mama Samia?
NgawethuuHiyo ni mipaka feki maana matusi, kudhalilishana na kutishana kukifanywa na mwenye nguvu mnafumbia macho. Wengine wakirudia yale yale mnataka wachukuliwe hatua.
Amandla.....
Mikutano ya ndani inatosha sana tu. Mbowe alishakiri kuwa mikutano ya ndani imesaidia sana Chadema. Acheni watu wafanye shughuli zao za uzalishaji mali.
Kwanini msingesema awazuie wote kwa sababu ya corona?
Hayo mashamba kalime wewe hatuli kwako sisi.UPINZANI MNA HAHA SANA HAPO MTU HATA HAUJANYWA CHAI UMEAMKA NA HANGOVER YAKO YA FARU JOHN UNATAKA UHURU WA KUPIGA KELELE...AMKA NENDA KAFANYE KAZI MDA WA KUWAFANYA WATANZANIA KAMA WAPUMBAVU UMEPITA....KUNA MASHAMBA MENGI YA KULIMA AU KAMA MNAONA MNABANWA FUNGUENI MAKANISA YA KITAPELI NA KUJIITA MANABII BADO MTAPATA WAJINGA....LINI USHASIKIA TRUMP AMEFANYA MKUTANO WA HADHARA KUMNANGA TRUMP BAADA YA KUKOSA URAISI
Wakati inazuiwa hakukuwa na corona ila sasa kuna corona unaanzaje kutaka kuruhusiwa hiyo mikutano kwa mazingira haya ya corona?Kwani mikutano ya kisiasa ilizuiwa kwa sababu ya Corona?
Amandla...
Wakati inazuiwa hakukuwa na corona ila sasa kuna corona unaanzaje kutaka kuruhusiwa hiyo mikutano kwa mazingira haya ya corona?
kwahiyo unataka wapiga wananchi sio?ndo maana magufuri aliwanyoshaHayo mashamba kalime wewe hatuli kwako sisi.