UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Ni kwamba kiujumla hiyo mikutano yote hairuhusiwi katika kiindi cha corona haijalishi ni ya ccm au ya upinzani, sasa sikutegemea kwamba upinzani na watataka kuufanya mikutano ya kisiasa kipindi cha corona.Kwa hiyo hiyo Corona inahusu mikutano ya wapinzani peke yao?
Amandla...