#COVID19 Rais Samia: Tanzania haitakubali chanjo ya Corona kabla ya kujiridhisha

#COVID19 Rais Samia: Tanzania haitakubali chanjo ya Corona kabla ya kujiridhisha

Hizi drama za corona zinasisimua na kuchekesha sana.

Miezi michache nyuma, kulizuka wimbi kubwa la vifo vya viongozi wakubwa na watu mashuhuri, tukaambiwa wamekufa kwa corona.

Muendelezo wa vifo ulichachamaa mpaka ukamkumba Rais John Magufuli. Naye "tukaaminishwa" amefariki kwa corona kinyume na taarifa rasmi ya daktari.

Tangu alipofariki Rais Magufuli, hatusikia tena kuhusu vifo vya vigogo wa serikali.

Tukaambiwa corona imeenda likizo (annual leave) na kwamba itarejea kwa makali hapo baadae.

Pamoja na drama zote hizi za kuigiza, sisi wakazi wa Kariakoo siku zote tunasongamana na hakuna hata mmoja aliyeugua japo mafua ya bahati mbaya.

Hata yale mabarakoa sijayaona. Watu wanadunda tu.

Hakuna cha wimbi wala mawimbi. Kila siku watu wapo tu na wanaendelea na maisha yao wakiwa na afya zile zile.

Tukaambiwa linakuja wimbi sijui la pili. Wenyewe wanaita ati "second wave".

Hilo wimbi nalo likaja likatukuta vile vile na likaondoka likatuacha vile vile.

Hivi sasa tunaambiwa kuwa hilo wimbi limekimbilia India. Likipiga "rivasi" linarudi tena Tanganyika likiwa na maguvu mengi.

Bibi samia anatueleza habari za chanjo. Bila shaka ziko mbioni kuja.

Najiuliza, hizo chanjo anamdunga nani?

Sisi wakazi wa Kariakoo na kwingineko, wala hatuna ugonjwa wowote ule.

Tunapoelezwa kuhusu chanjo, tunahamaki!

Wale wajuzi wa corona hebu mtueleze, hizo chanjo mnamdunga nani?

Mnawadunga hawa hawa watu ninawaona wakiwa na afya tele kila siku?

Ama kuna wagonjwa mahali ambao hatujaambiwa kuhusu taarifa zao?
Endelea kusongamana,kama no hivyo umekuja kutushawishi na sisi tusongamane au shida no chanjo.
 
Hizi drama za corona zinasisimua na kuchekesha sana.

Miezi michache nyuma, kulizuka wimbi kubwa la vifo vya viongozi wakubwa na watu mashuhuri, tukaambiwa wamekufa kwa corona.

Muendelezo wa vifo ulichachamaa mpaka ukamkumba Rais John Magufuli. Naye "tukaaminishwa" amefariki kwa corona kinyume na taarifa rasmi ya daktari.

Tangu alipofariki Rais Magufuli, hatusikia tena kuhusu vifo vya vigogo wa serikali.

Tukaambiwa corona imeenda likizo (annual leave) na kwamba itarejea kwa makali hapo baadae.

Pamoja na drama zote hizi za kuigiza, sisi wakazi wa Kariakoo siku zote tunasongamana na hakuna hata mmoja aliyeugua japo mafua ya bahati mbaya.

Hata yale mabarakoa sijayaona. Watu wanadunda tu.

Hakuna cha wimbi wala mawimbi. Kila siku watu wapo tu na wanaendelea na maisha yao wakiwa na afya zile zile.

Tukaambiwa linakuja wimbi sijui la pili. Wenyewe wanaita ati "second wave".

Hilo wimbi nalo likaja likatukuta vile vile na likaondoka likatuacha vile vile.

Hivi sasa tunaambiwa kuwa hilo wimbi limekimbilia India. Likipiga "rivasi" linarudi tena Tanganyika likiwa na maguvu mengi.

Bibi samia anatueleza habari za chanjo. Bila shaka ziko mbioni kuja.

Najiuliza, hizo chanjo anamdunga nani?

Sisi wakazi wa Kariakoo na kwingineko, wala hatuna ugonjwa wowote ule.

Tunapoelezwa kuhusu chanjo, tunahamaki!

Wale wajuzi wa corona hebu mtueleze, hizo chanjo mnamdunga nani?

Mnawadunga hawa hawa watu ninawaona wakiwa na afya tele kila siku?

Ama kuna wagonjwa mahali ambao hatujaambiwa kuhusu taarifa zao?
We kama hutaki chanjo, tulia tu kila mtu na maisha yake isiwe tabu... na kila mtu na chaguo na maisha yake...kazi iendelee.
 
Hizi drama za corona zinasisimua na kuchekesha sana.

Miezi michache nyuma, kulizuka wimbi kubwa la vifo vya viongozi wakubwa na watu mashuhuri — Tukaambiwa wamefariki kwa corona.

Muendelezo wa vifo ulichachamaa mpaka ukamkumba Rais John Magufuli. Naye "tukaaminishwa" amefariki kwa corona kinyume na taarifa rasmi ya daktari.

Tangu alipofariki Rais Magufuli, hatusikia tena kuhusu vifo vya vigogo wa serikali.

Tukaambiwa corona imeenda likizo (annual leave) na kwamba itarejea kwa makali hapo baadaye.

Pamoja na drama zote hizi za kuigiza, sisi wakazi wa Kariakoo siku zote tunasongamana na hakuna hata mmoja aliyeugua japo mafua ya bahati mbaya.

Hata yale mabarakoa sijayaona. Watu wanadunda tu.

Hakuna cha wimbi wala mawimbi. Kila siku watu wapo tu na wanaendelea na maisha yao wakiwa na afya zile zile.

Tukaambiwa linakuja wimbi sijui la pili. Wenyewe wanaita ati "second wave".

Hilo wimbi nalo likaja likatukuta vile vile na likaondoka likatuacha vile vile.

Hivi sasa tunaambiwa kuwa hilo wimbi limekimbilia India. Likipiga "rivasi" linarudi tena Tanganyika likiwa na maguvu mengi.

Bibi samia anatueleza habari za chanjo. Bila shaka ziko mbioni kuja.

Najiuliza, hizo chanjo anamdunga nani?

Sisi wakazi wa Kariakoo na kwingineko, wala hatuna ugonjwa wowote ule.

Tunapoelezwa kuhusu chanjo, tunahamaki!

Wale wajuzi wa corona hebu mtueleze, hizo chanjo mnamdunga nani?

Mnawadunga hawa hawa watu ninawaona wakiwa na afya tele kila siku?

Ama kuna wagonjwa mahali ambao hatujaambiwa kuhusu taarifa zao?
Kwanza kbs hata kama kuna wagonjwa ww hujui ukitaka kuzungumzia hili fanya tafiti mahospitalini ukishirikiana na madaktari, pili huez pata ushahid wa hiki unachoamini kwa kuzunguka sehem ambazo c rasmi kwa wagonjwa, tatu Usiseme hatuna ugonjwa wowote.. sema sina ugonjwa wowote, mwisho kbs chanjo kama itakuja itakua kwa wengine ww unaweza achana nayo. OVER!!!
 
Uzuri wake hata ikija inakuwa option, kama huitaki unakaa mbali tu...wanaoitaka watachanja.

Corona mwaka jana ilipiga ikatembea na watu Tanzania na kwingineko, vumbi likatulia ilipokuja tena kuanzia Nov to April imepita na wengi pia na wengine waliumwa, binafsi nawajua walioumwa serious na ambao hawakuwa serious....decembere to April misiba ilikuwa mingi sana uraiani na wale jamaa zetu wa Moshi barabara ilikuwa busy kweli....ghafla April mpaka sasa imetoweka tena....tumuombe Mungu atunusuru na pia tuchukue tahadhari...wanaoteseka na Corona hawakuomba iwapige ni mipango tu ya Mungu..
 
Wewe kama hutaki chanjo tulia ... wengine wanahitaji sababu either wanamagonjwa sugu ama ni wazeee....

Huu ugonjwa sio wa kubezwa especially kama una tatizo la kiafya ama una umri mkubwa .

Kaa kimya mzee
 
Hizi drama za corona zinasisimua na kuchekesha sana.

Miezi michache nyuma, kulizuka wimbi kubwa la vifo vya viongozi wakubwa na watu mashuhuri — Tukaambiwa wamefariki kwa corona.

Muendelezo wa vifo ulichachamaa mpaka ukamkumba Rais John Magufuli. Naye "tukaaminishwa" amefariki kwa corona kinyume na taarifa rasmi ya daktari.

Tangu alipofariki Rais Magufuli, hatusikia tena kuhusu vifo vya vigogo wa serikali.

Tukaambiwa corona imeenda likizo (annual leave) na kwamba itarejea kwa makali hapo baadaye.

Pamoja na drama zote hizi za kuigiza, sisi wakazi wa Kariakoo siku zote tunasongamana na hakuna hata mmoja aliyeugua japo mafua ya bahati mbaya.

Hata yale mabarakoa sijayaona. Watu wanadunda tu.

Hakuna cha wimbi wala mawimbi. Kila siku watu wapo tu na wanaendelea na maisha yao wakiwa na afya zile zile.

Tukaambiwa linakuja wimbi sijui la pili. Wenyewe wanaita ati "second wave".

Hilo wimbi nalo likaja likatukuta vile vile na likaondoka likatuacha vile vile.

Hivi sasa tunaambiwa kuwa hilo wimbi limekimbilia India. Likipiga "rivasi" linarudi tena Tanganyika likiwa na maguvu mengi.

Bibi samia anatueleza habari za chanjo. Bila shaka ziko mbioni kuja.

Najiuliza, hizo chanjo anamdunga nani?

Sisi wakazi wa Kariakoo na kwingineko, wala hatuna ugonjwa wowote ule.

Tunapoelezwa kuhusu chanjo, tunahamaki!

Wale wajuzi wa corona hebu mtueleze, hizo chanjo mnamdunga nani?

Mnawadunga hawa hawa watu ninawaona wakiwa na afya tele kila siku?

Ama kuna wagonjwa mahali ambao hatujaambiwa kuhusu taarifa zao?
Mkuu

Unauliza wakati shehena ilishatinga mlangoni? Ushoga tayari njia nyeupe ila hatatangaza hadgarani!!!

Timu iliyoundwa tayari imekuwa 'compromised' majibu yatakayotoka yataendana na kileambacho tayari kinaonekana hadharani wanakifanya
 
Hizi drama za corona zinasisimua na kuchekesha sana.

Miezi michache nyuma, kulizuka wimbi kubwa la vifo vya viongozi wakubwa na watu mashuhuri — Tukaambiwa wamefariki kwa corona.

Muendelezo wa vifo ulichachamaa mpaka ukamkumba Rais John Magufuli. Naye "tukaaminishwa" amefariki kwa corona kinyume na taarifa rasmi ya daktari.

Tangu alipofariki Rais Magufuli, hatusikia tena kuhusu vifo vya vigogo wa serikali.

Tukaambiwa corona imeenda likizo (annual leave) na kwamba itarejea kwa makali hapo baadaye.

Pamoja na drama zote hizi za kuigiza, sisi wakazi wa Kariakoo siku zote tunasongamana na hakuna hata mmoja aliyeugua japo mafua ya bahati mbaya.

Hata yale mabarakoa sijayaona. Watu wanadunda tu.

Hakuna cha wimbi wala mawimbi. Kila siku watu wapo tu na wanaendelea na maisha yao wakiwa na afya zile zile.

Tukaambiwa linakuja wimbi sijui la pili. Wenyewe wanaita ati "second wave".

Hilo wimbi nalo likaja likatukuta vile vile na likaondoka likatuacha vile vile.

Hivi sasa tunaambiwa kuwa hilo wimbi limekimbilia India. Likipiga "rivasi" linarudi tena Tanganyika likiwa na maguvu mengi.

Bibi samia anatueleza habari za chanjo. Bila shaka ziko mbioni kuja.

Najiuliza, hizo chanjo anamdunga nani?

Sisi wakazi wa Kariakoo na kwingineko, wala hatuna ugonjwa wowote ule.

Tunapoelezwa kuhusu chanjo, tunahamaki!

Wale wajuzi wa corona hebu mtueleze, hizo chanjo mnamdunga nani?

Mnawadunga hawa hawa watu ninawaona wakiwa na afya tele kila siku?

Ama kuna wagonjwa mahali ambao hatujaambiwa kuhusu taarifa zao?
Nasema mtanikumbuka kwa mazuri na sio mabaya...nimesacrifice maisha yangu kwa ajili yenu...

Mkuu serikali imesema inatujali chanjo km ikija itakuwa salama...huenda ni vigezo vya wawekezaji lazima tuchome...
 
Kwanza kbs hata kama kuna wagonjwa ww hujui ukitaka kuzungumzia hili fanya tafiti mahospitalini ukishirikiana na madaktari, pili huez pata ushahid wa hiki unachoamini kwa kuzunguka sehem ambazo c rasmi kwa wagonjwa, tatu Usiseme hatuna ugonjwa wowote.. sema sina ugonjwa wowote, mwisho kbs chanjo kama itakuja itakua kwa wengine ww unaweza achana nayo. OVER!!!
I see.
 
Back
Top Bottom