Rais Samia: Tanzania inakusudia kuandaa Mashindano ya AFCON 2027. Viwanja 3 vipya kujengwa

Pamoja na kuwa serekali imeahid kujenga pia vilabu navyo viwe na malengo hayo Kama simba na yanga wanapaswa kuwa na viwanja vyao
Wananchi wenyewe wabaili kama nini....wamechangksha mil 60 tuu mpaka leo... Hiyo hela sii inaisha kusafisha uwanja tuu🀣🀣🀣🀣

Sie tunalzimisha tuu hizo hela za afcon bora tuwakopeshe vijan tuu majobless
 
Kituo cha Michezo kujengwa Zanzibar πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220603-105021.png
    148.2 KB · Views: 14
Kuwa na timu tatu ligi kuu sio tatizo. Afu jifunze kujitambua mm sio mpumbavu mpuuzi wewe. Hizo timu basi zijijengee viwanja vyao. Viwanja vitakavyo jengwa na serikali sio mali ya vilabu hivyo. Tumia akili yalo vzr? Huna hoja afu unatukana watu.
Mwanza ni washamba wapumbafu. Mkoa mzima wamekalia majungu TU. Miaka nenda rudi hawana team league kuu.

Huko kumejaa matawi makubwa ya yanga. Sasa uwanja wajengewe wa mini au kufugia ng'ombe?
 
Mama Anaupiga Mwingi Sana
 
Mwanza ni washamba wapumbafu. Mkoa mzima wamekalia majungu TU. Miaka nenda rudi hawana team league kuu.

Huko kumejaa matawi makubwa ya yanga. Sasa uwanja wajengewe wa mini au kufugia ng'ombe?
Uwanja wa taifa sio wa vilabu. Timu zijijengee zenyewe. Hizo club sio za serikali hivyo zijipange
 
Maandalizi ya AFCON yanaendelea πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220603-163413.png
    167 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220603-143533.png
    137.6 KB · Views: 13
πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220603-165837.png
    79.8 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220603-165900.png
    161.1 KB · Views: 12
wataifishe mali za hayati Mayanga alizozipata kwa kuwateka na kuwapora akina Manji kisha pesa itakayopatikana ielekezwe huko kwenye viwanja
 
1. Mbeya City
2. Tanzania prison/ Mecco mbeya
3. Mbeya Kwanza
4. Ihefu FC
5. Kengold FC
6. BOMA FC

Hizo zote ziko Mbeya, hata kama hupendi ukweli ndio huo.
Eti hamupendwi nan asiyejua wanyakyusa washamba kaleni maparachichi mlishaanza kutaka kujitenga na washamba wenzenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…