Rais Samia: Tanzania siyo masikini, tumeshindwa tu kutumia rasilimali vizuri

Rais Samia: Tanzania siyo masikini, tumeshindwa tu kutumia rasilimali vizuri

Wakuu,


“Umasikini ni tafsiri, mtu anaweza kuja Tanzania akasema Tanzania ni nchi masikini, lakini ni tafsiri, inategemea vigezo gani ametumia. Mimi ukiniambia Tanzania ni nchi masikini ninakukatalia, ninakwambia Tanzania siyo masikini, sisi ni matajiri mno, tuna rasilimali, tuna maji, tuna ardhi nzuri, tuna kila kitu, lakini tuna mapungufu kwenye kuvitumia hivi na kuleta maisha bora kwa kila mtu"- Rais Samia.

Soma Pia: Jinsi Rais Samia alivyouliza maswali magumu kwenye mkutano wa G20

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akijibu swali la mwanahabari mwandamizi Absalom Kibanda katika mkutano wake na wahariri pamoja waandishi wa habari, uliofanyika huko nchini Brazil baada ya kushiriki mkutano wa G20.

Swali la mdau: Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Kwa hizi mboga mboga tuwe matajiri..? Siku wakikubali mawazo ya wengine wakalisha wataona namna ya kuinua nchi yetu sote hii
 
Sio kwamba tumeshindwa kutumia akili ?
1000015160.jpg
 
Wakuu,


“Umasikini ni tafsiri, mtu anaweza kuja Tanzania akasema Tanzania ni nchi masikini, lakini ni tafsiri, inategemea vigezo gani ametumia. Mimi ukiniambia Tanzania ni nchi masikini ninakukatalia, ninakwambia Tanzania siyo masikini, sisi ni matajiri mno, tuna rasilimali, tuna maji, tuna ardhi nzuri, tuna kila kitu, lakini tuna mapungufu kwenye kuvitumia hivi na kuleta maisha bora kwa kila mtu"- Rais Samia.

Soma Pia: Jinsi Rais Samia alivyouliza maswali magumu kwenye mkutano wa G20

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akijibu swali la mwanahabari mwandamizi Absalom Kibanda katika mkutano wake na wahariri pamoja waandishi wa habari, uliofanyika huko nchini Brazil baada ya kushiriki mkutano wa G20.

Swali la mdau: Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Hii nchi ni tajiri lakini utajiri unaporwa na matajiri wa ndani na nje

Matokeo yake tuna matajiri wa kutupwa (filthy rich) na masikini wa kutupwa

Kwa hiyo si suala la tafsiri kama unavyotueleza!

By the way Mheshimiwa snow kwa Kiswahili ni barafu au theluji. Tafadhali jivunie lugha yetu!!
 
Umaskini ni mpana na wenye marefu mengi, njia ya kwanza kabisa kuuondoa umaskini ni mfumo wa elimu , ikwepo sera nzuri ya elimu, halafu hizi propaganda za vyama vya siasa na uzingativu kwenye u serious badala ya burudani na michezo tunaweza kupiga hatua ya kwanza ya njia ya njia ya kuuondoa umaskini.
 
lakini tuna mapungufu kwenye kuvitumia hivi na kuleta maisha bora kwa kila mtu"-

Angesema ukweli tu hapo kuwa akili ndio shida
 
Wakuu,


“Umasikini ni tafsiri, mtu anaweza kuja Tanzania akasema Tanzania ni nchi masikini, lakini ni tafsiri, inategemea vigezo gani ametumia. Mimi ukiniambia Tanzania ni nchi masikini ninakukatalia, ninakwambia Tanzania siyo masikini, sisi ni matajiri mno, tuna rasilimali, tuna maji, tuna ardhi nzuri, tuna kila kitu, lakini tuna mapungufu kwenye kuvitumia hivi na kuleta maisha bora kwa kila mtu"- Rais Samia.

Soma Pia: Jinsi Rais Samia alivyouliza maswali magumu kwenye mkutano wa G20

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akijibu swali la mwanahabari mwandamizi Absalom Kibanda katika mkutano wake na wahariri pamoja waandishi wa habari, uliofanyika huko nchini Brazil baada ya kushiriki mkutano wa G20.

Swali la mdau: Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Ccm Shikamoo. Kazi ipo mitano tena
 
Ukiwa na maliasili nyingi lakini kuna umasikini wa akili wa kuitumia hiyo maliasili, wewe bado ni masikini.

Umasikini wa akili ndiyo mkubwa kuliko wote.

Hilo nalo mkaliangalie.
Hili nalo mkalitizame.
 
Back
Top Bottom