ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kabla hajaziuza ulikuwa imeendelea?Rasilimali zipi anaongelea? Kila siku anaziuza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla hajaziuza ulikuwa imeendelea?Rasilimali zipi anaongelea? Kila siku anaziuza
Unaijua Trilioni 1.5 lakini?Kukopa kopa viela vidogo kama Trillion 1.5 ni hulka ya kimaskini🤔
Sasa Hilo sio swala la Rais hata hivyo Serikali ya Samia ndio imejitahidi sana kufanya hizo jitihadaKama analijua hilo mbona jitihada za kuzitumia rasilimali kukuza uchumi bado ni mdogo inside of kuziuza na kuzibinafsisha.
Nani akulishe wewe? Kulisha Africa ni possible tuu Kwa kutumia large scale commercial farmingDuh. Hapo Kishapu tu pana njaa wameshindwa kuwalisha ndiyo itakuwa kulisha Afrika
Wakati yeye ndiye dereva na chama chake kimekuwa kwenye madaraka tangu uhuru na wapiga domo wanasema kimeleta maendeleo.
Huko nje na nyie pia.Sasa anamwambia nani hayo maneno?
Kwa hizi mboga mboga tuwe matajiri..? Siku wakikubali mawazo ya wengine wakalisha wataona namna ya kuinua nchi yetu sote hiiWakuu,
“Umasikini ni tafsiri, mtu anaweza kuja Tanzania akasema Tanzania ni nchi masikini, lakini ni tafsiri, inategemea vigezo gani ametumia. Mimi ukiniambia Tanzania ni nchi masikini ninakukatalia, ninakwambia Tanzania siyo masikini, sisi ni matajiri mno, tuna rasilimali, tuna maji, tuna ardhi nzuri, tuna kila kitu, lakini tuna mapungufu kwenye kuvitumia hivi na kuleta maisha bora kwa kila mtu"- Rais Samia.
Soma Pia: Jinsi Rais Samia alivyouliza maswali magumu kwenye mkutano wa G20
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akijibu swali la mwanahabari mwandamizi Absalom Kibanda katika mkutano wake na wahariri pamoja waandishi wa habari, uliofanyika huko nchini Brazil baada ya kushiriki mkutano wa G20.
Swali la mdau: Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Hii nchi ni tajiri lakini utajiri unaporwa na matajiri wa ndani na njeWakuu,
“Umasikini ni tafsiri, mtu anaweza kuja Tanzania akasema Tanzania ni nchi masikini, lakini ni tafsiri, inategemea vigezo gani ametumia. Mimi ukiniambia Tanzania ni nchi masikini ninakukatalia, ninakwambia Tanzania siyo masikini, sisi ni matajiri mno, tuna rasilimali, tuna maji, tuna ardhi nzuri, tuna kila kitu, lakini tuna mapungufu kwenye kuvitumia hivi na kuleta maisha bora kwa kila mtu"- Rais Samia.
Soma Pia: Jinsi Rais Samia alivyouliza maswali magumu kwenye mkutano wa G20
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akijibu swali la mwanahabari mwandamizi Absalom Kibanda katika mkutano wake na wahariri pamoja waandishi wa habari, uliofanyika huko nchini Brazil baada ya kushiriki mkutano wa G20.
Swali la mdau: Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Ni usd 1 bn,Unaijua Trilioni 1.5 lakini?
Ccm Shikamoo. Kazi ipo mitano tenaWakuu,
“Umasikini ni tafsiri, mtu anaweza kuja Tanzania akasema Tanzania ni nchi masikini, lakini ni tafsiri, inategemea vigezo gani ametumia. Mimi ukiniambia Tanzania ni nchi masikini ninakukatalia, ninakwambia Tanzania siyo masikini, sisi ni matajiri mno, tuna rasilimali, tuna maji, tuna ardhi nzuri, tuna kila kitu, lakini tuna mapungufu kwenye kuvitumia hivi na kuleta maisha bora kwa kila mtu"- Rais Samia.
Soma Pia: Jinsi Rais Samia alivyouliza maswali magumu kwenye mkutano wa G20
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akijibu swali la mwanahabari mwandamizi Absalom Kibanda katika mkutano wake na wahariri pamoja waandishi wa habari, uliofanyika huko nchini Brazil baada ya kushiriki mkutano wa G20.
Swali la mdau: Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Hili nalo mkalitizame.Ukiwa na maliasili nyingi lakini kuna umasikini wa akili wa kuitumia hiyo maliasili, wewe bado ni masikini.
Umasikini wa akili ndiyo mkubwa kuliko wote.
Hilo nalo mkaliangalie.
$1bln ni pesa ndogo sana 😂😂😂Ni usd 1 bn,
Pesa kiduchu sana Kwa nchi kukopa, ndio maana tunakopa na miradi Bado haisongi.
Watanzania wengi wakiwa wanajisifia utajiri wa nchi yao watataja ardhi, mito, madini, wanyama, watataja kila kitu.Hili nalo mkalitizame.