Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Mwanzoni kabisa mwa utawala wa Kikwete alishiri kwenye mkutano huko Ubelgiji. Katika mkutano ule nafikiri aliulizwa na wandishi wa habari. Nikisema wandishi simanishi hawa Makanjanja na Machawa wa bongoWakuu,
“Umasikini ni tafsiri, mtu anaweza kuja Tanzania akasema Tanzania ni nchi masikini, lakini ni tafsiri, inategemea vigezo gani ametumia. Mimi ukiniambia Tanzania ni nchi masikini ninakukatalia, ninakwambia Tanzania siyo masikini, sisi ni matajiri mno, tuna rasilimali, tuna maji, tuna ardhi nzuri, tuna kila kitu, lakini tuna mapungufu kwenye kuvitumia hivi na kuleta maisha bora kwa kila mtu"- Rais Samia.
Soma Pia: Jinsi Rais Samia alivyouliza maswali magumu kwenye mkutano wa G20
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akijibu swali la mwanahabari mwandamizi Absalom Kibanda katika mkutano wake na wahariri pamoja waandishi wa habari, uliofanyika huko nchini Brazil baada ya kushiriki mkutano wa G20.
Swali la mdau: Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Jk aliulizwa : kwann Tanzania ni maskini
Jk alijibu : hatamimi/yeye hajui kwann Tanzania ni maskini.
Hao ndiyo ccm na hao ndiyo maraisi wa Tanzania