Rais Samia: Tanzania siyo masikini, tumeshindwa tu kutumia rasilimali vizuri

Rais Samia: Tanzania siyo masikini, tumeshindwa tu kutumia rasilimali vizuri

The way it is now will be different soon and some of the decisions made will be questionable
 
Kaanza kuchoka, aniachie nami japo mwezi moja nijaribu.

Milioni goli moja mimi nitaongeza milioni 10 kila goli, kipa akidaka, milioni 5, mpira ukikosa kosa goli milioni 2.5, penalt upate ukose milioni 1.

Kila timu itasafiri kwa ndege zetu bure, kwenda na kurudi.

Sasa hapo nitakuwa situmii rasilimali vizuri kweli ndugu zangu?
 
Kataja rasilimali zote kasahau umasikini wetu ni rasilimali "akili". Mimi nadhani IQ ya mtanzania iko chini sana, hivyo hata hizo rasilimali zingine hazina manufaa yoyote.
 
Raisi amekiri kuwa yeye, na chama chake, wameshindwa kuwaongoza Watanzania katika kujiletea maendeleo pamoja na kwamba tumebarikiwa rasilimali.
Nchi ambayo wanasiasa ni matajiri kuliko wafanyabiashara.
 

Attachments

  • IMG-20230424-WA0028(6).jpg
    IMG-20230424-WA0028(6).jpg
    60.6 KB · Views: 2
Kumbe ndo maana tukazigawa kwa wajomba na marafiki wa faida
Dipiwedi ipo na Bandari itaendelea kuwepo zama na zama zijazo hakuna atakaye ibeba na kuipeleka ujombani wala wapi 😳
Ila Dhahabu na Gesi yetu ikienda ujue imeenda jumla !!
Yanabakiaga mashimo tu !
Mama hajauza Rasilmali yeyote ya Nchi !
 
Kataja rasilimali zote kasahau umasikini wetu ni rasilimali "akili". Mimi nadhani IQ ya mtanzania iko chini sana, hivyo hata hizo rasilimali zingine hazina manufaa yoyote.
Katika Nchi yeyote Duniani wenye IQ kubwa huwa ni wachache lakini huwa Wanaheshimiwa na kulindwa ili waweze kuisaidia Nchi na watu wake !
Kwetu wenye IQ kubwa wanaonekana ni wakosoaji ni wapinzani ni maadui na ni wasaliti 😳 !

Watu wametanguliza maslahi yao na vyama vyao mbele badala ya maslahi ya Nchi Kwanza 😳🙄 !
 
Wakuu,


“Umasikini ni tafsiri, mtu anaweza kuja Tanzania akasema Tanzania ni nchi masikini, lakini ni tafsiri, inategemea vigezo gani ametumia. Mimi ukiniambia Tanzania ni nchi masikini ninakukatalia, ninakwambia Tanzania siyo masikini, sisi ni matajiri mno, tuna rasilimali, tuna maji, tuna ardhi nzuri, tuna kila kitu, lakini tuna mapungufu kwenye kuvitumia hivi na kuleta maisha bora kwa kila mtu"- Rais Samia.

Soma Pia: Jinsi Rais Samia alivyouliza maswali magumu kwenye mkutano wa G20

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akijibu swali la mwanahabari mwandamizi Absalom Kibanda katika mkutano wake na wahariri pamoja waandishi wa habari, uliofanyika huko nchini Brazil baada ya kushiriki mkutano wa G20.

Swali la mdau: Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Tàtizo yeye keshauza rasilimali zetu ngoroñgoro, bàndari nk àmetajirika sasa ànawasimanga masikini. Awape nào mbuga wauze siyo kuwasimanga.
 
🤣🤣😂😂 Sasa ndio anakumbuka. Toka 2021 alikuwa hajui.
Mimi nasema mtu asikae kwenye hicho kiti kabla hajajipanga...
 
Wakuu,


“Umasikini ni tafsiri, mtu anaweza kuja Tanzania akasema Tanzania ni nchi masikini, lakini ni tafsiri, inategemea vigezo gani ametumia. Mimi ukiniambia Tanzania ni nchi masikini ninakukatalia, ninakwambia Tanzania siyo masikini, sisi ni matajiri mno, tuna rasilimali, tuna maji, tuna ardhi nzuri, tuna kila kitu, lakini tuna mapungufu kwenye kuvitumia hivi na kuleta maisha bora kwa kila mtu"- Rais Samia.

Soma Pia: Jinsi Rais Samia alivyouliza maswali magumu kwenye mkutano wa G20

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akijibu swali la mwanahabari mwandamizi Absalom Kibanda katika mkutano wake na wahariri pamoja waandishi wa habari, uliofanyika huko nchini Brazil baada ya kushiriki mkutano wa G20.

Swali la mdau: Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Nakubaliana na Mama.
 
Hii video inayomwonesha Mh Rais Samia alisema yakuwa watanzania wameshindwa KUTUMIA rasirimali zilizopo Tanzania kujikomboa ilo ni uwongo wa mchana kweupe na linatakiwa kupingwa na kila mtanzania ambae anathamini rasirimali zetu

Dunia ya Leo uwezi sema tumekosa technolojia ya KUTOSHA wasomi wa KUTOSHA la hasha Bali hapa hoja ni kuwa ni mtanzania Gani amefundishwa KUTUMIA rasirimali zetu anashindwa?

Ni lini tulifumdishwa KUTUMIA mitambo ya kisasa kuchimba Madeni tukashindwa?

Lini tulifundishwa KUPANDA mrima kilimanjaro.tukashindwa?
Tanzania ndo nchi pekee mwanafunzi anafundishwa kuimba rasrimali lakini hafundishwi thamani yake,

Thamani ya rasrimali za nchi ni nyara ya serikali na wanaccm wachache

Hatuwezi sema watanzania sio masikini watanzania ni masikini na umaskini wao sio takwa la Mungu ni takwa la ccm na genge lake.
 
Hata Rais wa awamu ya Nne Kikwete aliulizwa na waandishi huko Paris kwamba kwanini Tanzania ni masikini ??
Akajibu hata yeye hajui ni kwanini Tanzania ni masikini !!!
 
Hii video inayomwonesha Mh Rais Samia alisema yakuwa watanzania wameshindwa KUTUMIA rasirimali zilizopo Tanzania kujikomboa ilo ni uwongo wa mchana kweupe na linatakiwa kupingwa na kila mtanzania ambae anathamini rasirimali zetu

Dunia ya Leo uwezi sema tumekosa technolojia ya KUTOSHA wasomi wa KUTOSHA la hasha Bali hapa hoja ni kuwa ni mtanzania Gani amefundishwa KUTUMIA rasirimali zetu anashindwa?

Ni lini tulifumdishwa KUTUMIA mitambo ya kisasa kuchimba Madeni tukashindwa?

Lini tulifundishwa KUPANDA mrima kilimanjaro.tukashindwa?
Tanzania ndo nchi pekee mwanafunzi anafundishwa kuimba rasrimali lakini hafundishwi thamani yake,

Thamani ya rasrimali za nchi ni nyara ya serikali na wanaccm wachache

Hatuwezi sema watanzania sio masikini watanzania ni masikini na umaskini wao sio takwa la Mungu ni takwa la ccm na genge lake.
Hii video inayomwonesha Mh Rais Samia alisema yakuwa watanzania wameshindwa KUTUMIA rasirimali zilizopo Tanzania kujikomboa ilo ni uwongo wa mchana kweupe na linatakiwa kupingwa na kila mtanzania ambae anathamini rasirimali zetu

Dunia ya Leo uwezi sema tumekosa technolojia ya KUTOSHA wasomi wa KUTOSHA la hasha Bali hapa hoja ni kuwa ni mtanzania Gani amefundishwa KUTUMIA rasirimali zetu anashindwa?

Ni lini tulifumdishwa KUTUMIA mitambo ya kisasa kuchimba Madeni tukashindwa?

Lini tulifundishwa KUPANDA mrima kilimanjaro.tukashindwa?
Tanzania ndo nchi pekee mwanafunzi anafundishwa kuimba rasrimali lakini hafundishwi thamani yake,

Thamani ya rasrimali za nchi ni nyara ya serikali na wanaccm wachache

Hatuwezi sema watanzania sio masikini watanzania ni masikini na umaskini wao sio takwa la Mungu ni takwa la ccm na genge lake.
Gentleman,
uoga na uvuvi wako ndiyo umaskini wako. Jikasirikie mwenyewe acha visingizio kwa wengine.

kua maskini au tajiri Tanzania ni uamuzi wako binafsi tu 🐒
 
Back
Top Bottom